TANESCO kuna mtaa eneo la Kimara unaitwa Kaburi moja
Huku tatizo la umeme limekuwa kawaida,juzi tumekaa siku tatu hamna umeme, jana tena umeme umekatika mpaka leo na ni kwa baadhi ya nyumba.

Tumejaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja ila hakuna ufatiliaji.
Tafadhali tusaidieni katika hili leo yenyewe hakuna umeme mpaka sasa.

TANESCO
TANESCO
 
Mimi naomba kujua ile habari njema ya kutuongezea unit sisi watuaji wadogo wa umeme yaani watu wa tarif 4 kutoka unit kidogo 75 kwa mwezi hadi kutuongezea na kufika 100 au 120 imefikia wapi naomba kujua maana unit 75 ni ndogo sana yaani tunajibana sana mpaka firij na feni hatuwashi mara kwa mara ukizingatia kama watu tunaishi dar na joto hili tinaishi maisha magumu sana tunashinda

tukigombana na watoto wao wakitaka kukiachia friji, feni, tv, kusaga matunda na brenda, kupasi nguo za shule kila siku nk tunaomba mtusaidie mtuongezee hizo unit.
 
Hakika naamini Tanesco imezidiwa mpaka inashindwa kutoa Huduma.

Nawaomba Viongozi wetu walifumue SHIRIKA hili na kuliunda upya na pia walipunguzie majukumu kama ya Kusambaza nguzo na kuliachia majukumu ya kuzalisha na kuuza umeme.

Muda mwingi unapotea Kusambaza nguzo .
 
Mimi naomba kujua ile habari njema ya kutuongezea unit sisi watuaji wadogo wa umeme yaani watu wa tarif 4 kutoka unit kidogo 75 kwa mwezi hadi kutuongezea na kufika 100 au 120 imefikia wapi naomba kujua maana unit 75 ni ndogo sana yaani tunajibana sana mpaka firij na feni hatuwashi mara kwa mara ukizingatia kama watu tunaishi dar na joto hili tinaishi maisha magumu sana tunashinda tukigombana na watoto wao wakitaka kukiachia friji, feni, tv, kusaga matunda na brenda, kupasi nguo za shule kila siku nk tunaomba mtusaidie mtuongezee hizo unit.
 
Mimi naomba kujua ile habari njema ya kutuongezea unit sisi watuaji wadogo wa umeme yaani watu wa tarif 4 kutoka unit kidogo 75 kwa mwezi hadi kutuongezea na kufika 100 au 120 imefikia wapi naomba kujua maana unit 75 ni ndogo sana yaani tunajibana sana mpaka firij na feni hatuwashi mara kwa mara ukizingatia kama watu tunaishi dar na joto hili tinaishi maisha magumu sana tunashinda tukigombana na watoto wao wakitaka kukiachia friji, feni, tv, kusaga matunda na brenda, kupasi nguo za shule kila siku nk tunaomba mtusaidie mtuongezee hizo unit.
Kwani huo mpango ulikuwepo au,kusema ukwer mm sjawahi kusikia kitu kama hicho
 
Mimi naomba kujua ile habari njema ya kutuongezea unit sisi watuaji wadogo wa umeme yaani watu wa tarif 4 kutoka unit kidogo 75 kwa mwezi hadi kutuongezea na kufika 100 au 120 imefikia wapi naomba kujua maana unit 75 ni ndogo sana yaani tunajibana sana mpaka firij na feni hatuwashi mara kwa mara ukizingatia kama watu tunaishi dar na joto hili tinaishi maisha magumu sana tunashinda tukigombana na watoto wao wakitaka kukiachia friji, feni, tv, kusaga matunda na brenda, kupasi nguo za shule kila siku nk tunaomba mtusaidie mtuongezee hizo unit.
Hapa sijakuelewa, uongezewe unit kivipi? Kwani unit si zinaendana na kiasi cha pesa unachotoa au?
 
Hakika naamini Tanesco imezidiwa mpaka inashindwa kutoa Huduma.Nawaomba Viongozi wetu walifumue SHIRIKA hili na kuliunda upya na pia walipunguzie majukumu kama ya Kusambaza nguzo na kuliachia majukumu ya kuzalisha na kuuza umeme.Muda mwingi unapotea Kusambaza nguzo .
Mimi nimelipia mradi wa nguzo 6 Kigamboni naambiwa nisubiri siku 60, ila inaweza ikafika hadi 90, wanachukua muda mrefu kwa kweli
 
Mimi naomba kujua ile habari njema ya kutuongezea unit sisi watuaji wadogo wa umeme yaani watu wa tarif 4 kutoka unit kidogo 75 kwa mwezi hadi kutuongezea na kufika 100 au 120 imefikia wapi naomba kujua maana unit 75 ni ndogo sana yaani tunajibana sana mpaka firij na feni hatuwashi mara kwa mara ukizingatia kama watu tunaishi dar na joto hili tinaishi maisha magumu sana tunashinda tukigombana na watoto wao wakitaka kukiachia friji, feni, tv, kusaga matunda na brenda, kupasi nguo za shule kila siku nk tunaomba mtusaidie mtuongezee hizo unit.
Huwa wanakuja kukagua kama unaibaga umeme au huibi ndo watafànya hizo process maana wengi wao wa namna hii wanakuaga wezi wa umeme.

Na wewe waweza kuwa miongoni mwao. Ngoja tuje tukukague kwanza.
 
Habari za kazi? Naomba kuuliza kama kuna ubaya kuchukua umeme kutoka nyumba kubwa kwenda nymba ndogo ambayo inaishi familia tofauti, na nymba zenyewe zipo katika kiwanja kimoja na mmiliki ni mmoja.

So ningependa kujua kama hakuna shida kwa hilo, mita ni ya luku.. Kazi nyema kwenu.
 
Kiukweli Mwaka 2018 umekuwa ni mwaka ambao si salama kwa sisi wakazi wa Mbezi kwa Msuguri yakiwepo maeneo ya Bwaloni, Serikali ya Mtaa, Kaseja, Kwa Mgaya, Masaki, St. Anna, Majengo Mapya ukija mpaka Malamba Mawili Msikitini.

Nasema si SALAMA kiulinzi kwa vile huku askari wa doria ni nadra kuzuru, na hata wakizuru ni mara moja moja sana. Ulinzi wetu usiku ni sisi wenyewe tukitegemea mwanga pekee kutoka TANESCO. Mbaya zaidi tukiwapigia simu kwenye line yenu ya tigo inakuwa busy muda wote; line ya Airtel simu inaita tu...tunashindwa kupata jibu la moja kwa moja juu ya nini kimetokea.

TANESCO Kimara wamekuwa wakitukatia umeme mara kwa mara kwa kisingizio kuwa line kubwa inasumbua hivyo inahitaji matengenezo. Tunastaajab hasa sababu matengenezo hayo ufanyika kati ya saa 6 usiku hadi saa 10 -11 alfajiri. Hivi leo mmekata Umeme kuanzia saa 5 usiku mpaka sasa hivi saa 6 mchana bado hatujarejeshewa huduma ya umeme. Hali hii inatukwaza sisi wananchi hasa usalama wetu unakuwa mashakani. Mbali na hilo pia tunashindwa kutekeleza shughuli zetu mbali mbali za kiuchumi zinazotegemea umeme na huku mkituharibia vyombo vyetu vya Umeme kwenye hii zima/washa/zima yenu. Mkumbuke kwamba majumbani uhai wa majokofu, Tv, taa sio rafiki hasa pale umeme unapokuwa hautabiriki.

Tafadhali mfahamu kwamba kila mnapotulaza gizani, matukio ya wizi, vibaka, hofu nayo huongezeka. Juzi kati jirani yangu amekoswa koswa kuibiwa.

Ombi langu kwenu ni kujipanga vizuri zaidi na kuhakikisha mnatupatia huduma nzuri kama
Sisi tunavyohakikisha tunalipa Luku hata kabla ya kutumia huduma yenu. Au kama ni fitna mnafanya au kutaka kufikisha ujumbe au kuhalalisha malipo ya ziada kwa kufanya kazi usiku chonde chonde sisi wananchi tunaumia. Mkae kwenye vikao vyenu vya ndani na kupanga mikakati bora kuliko hali hii ya sasa inayopelekea kuhatarisha usalama wetu na kuchochea wizi usiku.

Nawasilisha
 
Kiukweli Mwaka 2018 umekuwa ni mwaka ambao si salama kwa sisi wakazi wa Mbezi kwa Msuguri yakiwepo maeneo ya Bwaloni, Serikali ya Mtaa, Kaseja, Kwa Mgaya, Masaki, St. Anna, Majengo Mapya ukija mpaka Malamba Mawili Msikitini.

Nasema si SALAMA kiulinzi kwa vile huku askari wa doria ni nadra kuzuru, na hata wakizuru ni mara moja moja sana. Ulinzi wetu usiku ni sisi wenyewe tukitegemea mwanga pekee kutoka TANESCO. Mbaya zaidi tukiwapigia simu kwenye line yenu ya tigo inakuwa busy muda wote; line ya Airtel simu inaita tu...tunashindwa kupata jibu la moja kwa moja juu ya nini kimetokea.

TANESCO Kimara wamekuwa wakitukatia umeme mara kwa mara kwa kisingizio kuwa line kubwa inasumbua hivyo inahitaji matengenezo. Tunastaajab hasa sababu matengenezo hayo ufanyika kati ya saa 6 usiku hadi saa 10 -11 alfajiri. Hivi leo mmekata Umeme kuanzia saa 5 usiku mpaka sasa hivi saa 6 mchana bado hatujarejeshewa huduma ya umeme. Hali hii inatukwaza sisi wananchi hasa usalama wetu unakuwa mashakani. Mbali na hilo pia tunashindwa kutekeleza shughuli zetu mbali mbali za kiuchumi zinazotegemea umeme na huku mkituharibia vyombo vyetu vya Umeme kwenye hii zima/washa/zima yenu. Mkumbuke kwamba majumbani uhai wa majokofu, Tv, taa sio rafiki hasa pale umeme unapokuwa hautabiriki.

Tafadhali mfahamu kwamba kila mnapotulaza gizani, matukio ya wizi, vibaka, hofu nayo huongezeka. Juzi kati jirani yangu amekoswa koswa kuibiwa.

Ombi langu kwenu ni kujipanga vizuri zaidi na kuhakikisha mnatupatia huduma nzuri kama
Sisi tunavyohakikisha tunalipa Luku hata kabla ya kutumia huduma yenu. Au kama ni fitna mnafanya au kutaka kufikisha ujumbe au kuhalalisha malipo ya ziada kwa kufanya kazi usiku chonde chonde sisi wananchi tunaumia. Mkae kwenye vikao vyenu vya ndani na kupanga mikakati bora kuliko hali hii ya sasa inayopelekea kuhatarisha usalama wetu na kuchochea wizi usiku.

Nawasilisha
Ndugu wapendwa wateja wetu wa maeneo ya Kimara na Kibamba tunawajulisha kuwa imetokea hitilafu na kusababisha maeneo mengi kukosa umeme jitihada zinaendelea na umeme utarejea mapema
 
Ndugu wapendwa wateja wetu wa maeneo ya Kimara na Kibamba tunawajulisha kuwa imetokea hitilafu na kusababisha maeneo mengi kukosa umeme jitihada zinaendelea na umeme utarejea mapema

Hiyo hitlafu ni kila siku usiku saa 6 hadi 10 alfajiri?
 
TAARIFA KWA UMMA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linakanusha vikali taarifa inayo sambaa katika mitandao ya kijamii kuwa kutakuwa na tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU kuanzia tarehe 25 Machi 2018 hadi 05 Aprili 2018 , kwamba wateja wanunue umeme wa kutosha katika kipindi hicho.

Taarifa hii si ya kweli, ni taarifa ya uzushi yenye nia ya kupotosha umma , kwani TANESCO haijatoa taarifa yoyote kuhusu hitilafu katika mifumo ya manunuzi ya LUKU.

Ikumbukwe kwamba Taarifa kwa umma kutoka TANESCO hazitolewi na mtu binafsi bali Ofisi ya Uhusiano iliyo chini Idara ya Mkurugenzi Mtendaji ambayo ni msimamizi wa utoaji Taarifa za Shirika .

Tunaomba wateja wote wa TANESCO waipuuze taarifa hiyo kwani haina ukweli wowote. Wateja wote mnaombwa kuendelea kutumia huduma za umeme kama kawaida.

TANESCO ‘‘Tunayaangaza Maisha yako’’


Kwa mawasiliano

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook Tanesco Yetu

IMETOLEWA NA:

OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU

MACHI 22, 2018

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Habari za kazi? Naomba kuuliza kama kuna ubaya kuchukua umeme kutoka nyumba kubwa kwenda nymba ndogo ambayo inaishi familia tofauti, na nymba zenyewe zipo katika kiwanja kimoja na mmiliki ni mmoja.
So ningependa kujua kama hakuna shida kwa hilo, mita ni ya luku.. Kazi nyema kwenu.
Kama zipo kwenye kiwanja kimoja na mmiliki ni moja na majina ya nyumba zote ni mtu mmoja sawa, kinyume na hapo ni kujiunganishia umeme bila kupata idhini ya shirika ambapo itapelekea kulipia faini au kupelekwa mahakamani.

Kwa usalama pia sio nzuri kwa sababu inategemea huo umeme umepita sehemu gani
 
Mimi naomba kujua ile habari njema ya kutuongezea unit sisi watuaji wadogo wa umeme yaani watu wa tarif 4 kutoka unit kidogo 75 kwa mwezi hadi kutuongezea na kufika 100 au 120 imefikia wapi naomba kujua maana unit 75 ni ndogo sana yaani tunajibana sana mpaka firij na feni hatuwashi mara kwa mara ukizingatia kama watu tunaishi dar na joto hili tinaishi maisha magumu sana tunashinda tukigombana na watoto wao wakitaka kukiachia friji, feni, tv, kusaga matunda na brenda, kupasi nguo za shule kila siku nk tunaomba mtusaidie mtuongezee hizo unit.
Ndugu mteja kama upo Tarrif 4 na matumizi yako ni zaidi ya unit 75 tafadhali tunakuomba urudi tu Tarrif 1, ili kupunguza gharama zaidi unazolipia kama bado upo Tarrif ya wateja wadogo
 
Back
Top Bottom