Tamko la Wapiganaji CCM Feb 10, 2010

Tamko la Wapiganaji CCM Feb 10, 2010

Tamko limekuja wakati muafaka?

  • Ndiyo

    Votes: 8 57.1%
  • Hapana

    Votes: 5 35.7%
  • Sijui

    Votes: 1 7.1%

  • Total voters
    14
  • Poll closed .
- Edward Lowassa MB
- Daniel Yona
- Rostam Aziz MB
- Andrew Chenge MB
- Basil Mramba MB
- Nazir Karamagi MB
- Makongoro Mahanga MB
- Felix Mrema MB
- Sofia Simba MB
- Kingunge Ngombale MwiruMB
- Robert Mboma (Gen. Mstaafu)
- Apson Mwang’onda
- Stephen Wassira MB
- Johnson Mwanyika
- Gray S Mgonja
- Nimrod Mkono MB

..kwani Mgonja na Mwanyika ni viongozi wa CCM?

..kwanini Hosea wa Takukuru, na Mwakapugi, aliyekuwa PS wa Nishati wakati wa Richmond, wameachwa ikiwa hao wawili hapo juu wametajwa?

..halafu, mbona Mkapa hayumo kwenye hiyo orodha, au wanamuogopa?


 
yaani.. unataka watu waamini kuwa wapinzani wa Tanzania ndiyo wapiganaji? you must be kidding me!

It does not necessarily mean kwamba wapinzani ndiyo wapiganaji, whatever the heck that means.

Inaweza kabisa kumaanisha kwamba kutaka kuleta mabadiliko CCM kutoka ndani ni sawasawa na kutaka kulinyanyua box huku ukiwa ndani.
 
Nimeisoma na naendelea kuisoma ina hoja na maazimio makini yenye kuleta pambazuko jipya.
Ninajiuliza kwamba ni kweli kuna jema litakaloweza kutoka tena CCM? hapana wala tusidanganyike. cha msingi wakae pembeni wajisahihishe kisha labda wafikiriwe kurejea.

Pia nimeshawishika kwamba labda kwa nia fulani waraka huu umewekwa hapa na mwishoni kuna anuani ya email kwamba tuwasiliane nao kuwaunga mkono ila nachelea kujipeleka mdomoni mwa chui aliyevaa sufu za kondoo. Hoja ya kuwa majina yao wayaweke hadharani ni hoja dhaifu tena haiwezekani wakajitokeza maana watahatarisha maisha yao na familia zao ambapo sisi tutaishia kuwapa pole na kuwahani si zaidi ya hapo.

Tunahitaji mapinduzi ya kweli lakini mapinduzi hayo hayatakuwa na tija endapo hatutafanya mapinduzi ya kifikra kwanza. narudia usiemi wangu wa kila siku kwamba sisi tunaopendamadaraka tusahau kuyapata kwa kuwa wananchi wengi hawana elimu ya kufahamu walipo na nani aliwafikisha hapo. hivyo tujivishe jukumu la kuwaelimsha na kuwapa ABC za fikra sahihi ili wanapofikia maamuzi wasiangalie nani katoa nini bali nani atafanya nini.kusogeza uchumi wetu juu........

nachelea kusema kwamba............
 
Lowassa atakuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania mwaka 2015 msitie shaka wazalendo
 
Lowassa atakuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania mwaka 2015 msitie shaka wazalendo

Uwezekano huo upo sana.

Lakini angalia vile vile maswahiba wake watakavyotoswa muda si mrefu, ukianzia na Mzee wa vijisenti na RA. ENL asipokubali hilo litendeke na yeye nafasi yake itazidi kuwa finyu.

Haya narudi shimoni kujichimbia tena.
 
Mimi niwe Tomaso tu kwa hapa niseme wazi kuwa siwaami hao wapambanaji kama wanzaweza kuafanya chochote kile hasa kama wao wanajiweka nyuma ya pazia. Na je walipopata nafazi bungeni jana walifanya nini cha maana? Halafu wametoa maazimio tu sasa strategy za implementation hakuna je haya maazimio yatawafanya hawa watu wastuke kweli?
 
Uwezekano huo upo sana.

Lakini angalia vile vile maswahiba wake watakavyotoswa muda si mrefu, ukianzia na Mzee wa vijisenti na RA. ENL asipokubali hilo litendeke na yeye nafasi yake itazidi kuwa finyu.

Haya narudi shimoni kujichimbia tena.

**Siogopi genge la mbweha linaloongozwa na kondoo, ila naogopa genge la kondoo linaloongozwa na mbweha - NMHM**

Kweli EL nafikiri ilimuuma sana kuachia u PM wakati ndio alikuwa na mwaka tu jamaa asiporudi kupitia mlangoni atapitia hata dirishani yetu macho

Zaidi nimeipenda hiyo signature yako una maana kondoo ndio nani teh teh eeee
 
Paulo usije kula na sisi
Una mikono michafu
Tutachafuka hadi kunuka
Una mikono michafu
 
I will never forget no way,how they cruscified Jesus Christ,I will never forget no way how they sold Marcus Garvey for rice,so ..Shelukindo,Mpendazoe,Manyanya,Mnyaa and others why do you forget who you are and where you stand in the struggle against ufisadi!!!....
 
Kuna kauli moja imo ndani ya hilo tamko ambalo watu wangeacha shuku wangejua hawa jamaa wametuma ujumbe gani. Lakini inaonekana baadhi ya watu badala ya kusoma substance yake na kusoma "between the lines" wanajikuta wanamiss the whole message. Sijui ndiyo ule "wepesi wepesi" wenyewe au ndio mojawapo ya madhara ya mfumo wa kifisadi; hatuamini mtu ambaye yukoo serious.. wametuharibu sana hawa.

Mzee Mwanakijiji,

Hivi waraka huo ni wa kutia matumaini na kuaminika zaidi ya kauli na ahadi za JK wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2005?Naamini jibu ni HAPANA.Kauli za JK zilileta matumaini makubwa zaidi ya contents za waraka huu wa "wapiganaji".JK alifanikiwa kuwaaminisha Watanzania kuamini kuwa yeye anaelewa WANATAKA NINI lakini akatumia ujanja wa kusema kile wanachotaka kuskia i.e. alifahamu Watanzania WANATAKA KUSIKIA NINI.Just like "wapiganaji wetu" wapendwa.

Wengi walilaghaiwa na kauli hizo za JK kwa sababu hii hii inayojirudia hapa:KUAMINI MANENO BADALA YA VITENDO VILIVYOPASWA KUTUAMINISHA MANENO HUSIKA.Call me a doubting Thomas,au mzembe wa kusoma kati ya mistari lakini sijashawishika kuwaamini "wapiganaji" hawa.

Mwanakijiji,tuirejee historia kidogo kabla ya kuwapa hawa jamaa free pass.Hivi uhuru ulipatikana kwa nyaraka za aina hii pekee au jitihada za dhati kuhakikisha mkoloni anang'oka?Hata kama sasa kuna maswali kuhusu umuhimu wa UHURU wetu,bado tunapaswa kuzithamini na kuzienzi jitihada za waliojitoa mhanga kupambana na mkoloni kwa kila jinsi.

Nduli Iddi Amini nae hakudhibitiwa kwa nyaraka kama hizi za "wapiganaji" hawa,bali kwa kujitoa mhanga na kupambana nae hadi dakika ya mwisho.

Lakini pengine mfano mzuri zaidi ni wa marehemu Edward Sokoine.Hakupambana na wahujumu uchumi kwa maneno,he truly was a man of actions.Alitenda zaidi ya kusema.Na hata kama ufanisi wa vita dhidi ya wahujumu uchumi unaweza kuwa questionable,lakini alionyesha mfano.Na kiongozi mzuri anapaswa kuwa mwingi wa matendo kuliko maneno.

Mwanakijiji,ni kweli kwamba moja ya athari za ufisadi ni kwa wananchi-hususan walalahoi-kupoteza imani kwa kile wanachosikia kutoka kwa wanasiasa.Na wana sababu za msingi katika hilo kwa vile experience inaonyesha kuwa tatizo la Tanzania halijawahi kuwa katika kuja na mawazo bora bali turning such good ideas into actions.Nyaraka hiyo ya "wapiganaji" haina tofauti na MKUKUTA,MKURABITA,Kilimo Kwanza,Mkakati wa Taifa dhidi ya Rushwa,Visheni ya Taifa 2025,na "porojo" nyingine kama hizo.Kwanini tusishtushwe na nyongeza hii ya "mikakati mwingine maridhawa" ambayo si ajabu ikaishia kwenye maandishi tu.

Hivi ni personalities za waandishi wa waraka huu au substance ya walichoandika inayoleta credibility kwao na kwa waraka husika?If it's the former,then tunaweza kuwa for a big surprise kwa vile siasa za personalities zimekuwa kikwazo kikubwa sana cha maendeleo si Tanzania tu bali barani Afrika kwa ujumla.Tusisahau mchango wa "haiba ya JK" na "rekodi yake ya kutojihusisha na rushwa" zilivyopelekea kulainisha nyoyo za wengi 2005 (japo fedha za akina ROSTAM ndizo zilizotoa mchango mkubwa zaidi).If it's the latter,then ni muhimu kurejea substance katika nyaraka nilizozitaja hapo awali.Tusisahau pia kuwa mapema mwaka 2006 JK alitoa maneno matamu sana kuhusu chuki yake dhidi ya rushwa,na akatuhakikishia kuwa NAWAFAHAMU WALA RUSHWA ILA ANAWAP MUDA WA KUJIREKEBISHA.An open deadline,I suppose...

Unless hao "wapiganaji" watatuonyesha kuwa wana cha muhimu zaidi ya "nyaraka za kuleta matumaini" binafsi ntaendelea kuwa-regard kuwa ni "wajanja" (or wahuni?) flani wanaocheza na feelings zetu.

And,final thought,kuna kitu inaitwa UZANDIKI,ambapo si lazima uwe in the form of character assassination au kuwakoroga watu bali pia exaltation.Kwanini tusi-suspect kuwa waraka huu ni kazi za "watu"?Na kama si kazi ya "watu hao" je kwa kusambaza waraka huo "mzuri" hawawarahisishii kazi "watu hao" kuwadhibiti kiulaini?Let's not forget that Tanzania is a de-facto quasi-security state,afterall!
 
Mzee Mwanakijiji,

Hivi waraka huo ni wa kutia matumaini na kuaminika zaidi ya kauli na ahadi za JK wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2005?Naamini jibu ni HAPANA.Kauli za JK zilileta matumaini makubwa zaidi ya contents za waraka huu wa "wapiganaji".JK alifanikiwa kuwaaminisha Watanzania kuamini kuwa yeye anaelewa WANATAKA NINI lakini akatumia ujanja wa kusema kile wanachotaka kuskia i.e. alifahamu Watanzania WANATAKA KUSIKIA NINI.Just like "wapiganaji wetu" wapendwa.

Wengi walilaghaiwa na kauli hizo za JK kwa sababu hii hii inayojirudia hapa:KUAMINI MANENO BADALA YA VITENDO VILIVYOPASWA KUTUAMINISHA MANENO HUSIKA.Call me a doubting Thomas,au mzembe wa kusoma kati ya mistari lakini sijashawishika kuwaamini "wapiganaji" hawa.

Mwanakijiji,tuirejee historia kidogo kabla ya kuwapa hawa jamaa free pass.Hivi uhuru ulipatikana kwa nyaraka za aina hii pekee au jitihada za dhati kuhakikisha mkoloni anang'oka?Hata kama sasa kuna maswali kuhusu umuhimu wa UHURU wetu,bado tunapaswa kuzithamini na kuzienzi jitihada za waliojitoa mhanga kupambana na mkoloni kwa kila jinsi.

Nduli Iddi Amini nae hakudhibitiwa kwa nyaraka kama hizi za "wapiganaji" hawa,bali kwa kujitoa mhanga na kupambana nae hadi dakika ya mwisho.

Lakini pengine mfano mzuri zaidi ni wa marehemu Edward Sokoine.Hakupambana na wahujumu uchumi kwa maneno,he truly was a man of actions.Alitenda zaidi ya kusema.Na hata kama ufanisi wa vita dhidi ya wahujumu uchumi unaweza kuwa questionable,lakini alionyesha mfano.Na kiongozi mzuri anapaswa kuwa mwingi wa matendo kuliko maneno.

Mwanakijiji,ni kweli kwamba moja ya athari za ufisadi ni kwa wananchi-hususan walalahoi-kupoteza imani kwa kile wanachosikia kutoka kwa wanasiasa.Na wana sababu za msingi katika hilo kwa vile experience inaonyesha kuwa tatizo la Tanzania halijawahi kuwa katika kuja na mawazo bora bali turning such good ideas into actions.Nyaraka hiyo ya "wapiganaji" haina tofauti na MKUKUTA,MKURABITA,Kilimo Kwanza,Mkakati wa Taifa dhidi ya Rushwa,Visheni ya Taifa 2025,na "porojo" nyingine kama hizo.Kwanini tusishtushwe na nyongeza hii ya "mikakati mwingine maridhawa" ambayo si ajabu ikaishia kwenye maandishi tu.

Hivi ni personalities za waandishi wa waraka huu au substance ya walichoandika inayoleta credibility kwao na kwa waraka husika?If it's the former,then tunaweza kuwa for a big surprise kwa vile siasa za personalities zimekuwa kikwazo kikubwa sana cha maendeleo si Tanzania tu bali barani Afrika kwa ujumla.Tusisahau mchango wa "haiba ya JK" na "rekodi yake ya kutojihusisha na rushwa" zilivyopelekea kulainisha nyoyo za wengi 2005 (japo fedha za akina ROSTAM ndizo zilizotoa mchango mkubwa zaidi).If it's the latter,then ni muhimu kurejea substance katika nyaraka nilizozitaja hapo awali.Tusisahau pia kuwa mapema mwaka 2006 JK alitoa maneno matamu sana kuhusu chuki yake dhidi ya rushwa,na akatuhakikishia kuwa NAWAFAHAMU WALA RUSHWA ILA ANAWAP MUDA WA KUJIREKEBISHA.An open deadline,I suppose...

Unless hao "wapiganaji" watatuonyesha kuwa wana cha muhimu zaidi ya "nyaraka za kuleta matumaini" binafsi ntaendelea kuwa-regard kuwa ni "wajanja" (or wahuni?) flani wanaocheza na feelings zetu.

And,final thought,kuna kitu inaitwa UZANDIKI,ambapo si lazima uwe in the form of character assassination au kuwakoroga watu bali pia exaltation.Kwanini tusi-suspect kuwa waraka huu ni kazi za "watu"?Na kama si kazi ya "watu hao" je kwa kusambaza waraka huo "mzuri" hawawarahisishii kazi "watu hao" kuwadhibiti kiulaini?Let's not forget that Tanzania is a de-facto quasi-security state,afterall!

Mlalahoi; unafahamu bila ya shaka juu ya hoja 95 za Luther na Azimio la Kutangaza Uhuru la Marekani au Magna Charter? Hata tuangalie Azimio la Arusha vile vile. Naelewa sentiment yako. Kuna mambo kabla hujayafanya ni muhimu kuarticulate principles inayoongoza kile unachofanya au unachopanga kufanya.

Kwa jinsi nilivyoelewa na background info juu ya hii ni hasa kuweka hoja zao wazi ili kusiwe na utata wowote wa nini wanataka kusimamia. Kwa muda wa miezi kadhaa baadhi yao wamekuwa wakikutana kuzungumza jinsi ya kuapproach mambo mbalimbali yanayokuja.

For now.. mimi kama wewe sitosheki na maneno matamu tu; nasubiri kuona vitendo vyenyewe...
 
Lowassa atakuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania mwaka 2015 msitie shaka wazalendo
Atasaidia kuleta mabadilikoo..hulka yake ni nzuri kuchochea maamuzii ya kimapinduzi kwa wale watakaotakaa..Muungwanaa hulka yake ndo silaha inayowafanya watu kuwa wepesi wepesi..El atachocheaa kuondoka wepesi wepesi na hatimaye mabadiliko ya umma.
 
Back
Top Bottom