Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,528
- 1,621
hakuna wapiganaji ndani ya ccm, hawajawahi kuwapo na wala hawatakuwepo.....
ndani ya ccm kuna wachumia tumbo tu....wanachojali ni maslahi yao, washikaji zao na familia zao......hii ndiyo kweli ya hakika walau kwa ufahamu wangu.....nilisema kwenye thread moja jana nadhani...nadhani bi SS hakukosea pale alipowatolea uvivu akina Mwak.....na kuwaambia...ni njaa tu inayowasumbua....na kuwa EL ni mwanamme wa shoka...nadhani ni kweli kuwa EL ni mwanamme wa shoka walau ndani ya CCM...si tumeona Richmond ilivyoisha....mwenye macho haambiwi tazama!!!!!!
ndani ya ccm kuna wachumia tumbo tu....wanachojali ni maslahi yao, washikaji zao na familia zao......hii ndiyo kweli ya hakika walau kwa ufahamu wangu.....nilisema kwenye thread moja jana nadhani...nadhani bi SS hakukosea pale alipowatolea uvivu akina Mwak.....na kuwaambia...ni njaa tu inayowasumbua....na kuwa EL ni mwanamme wa shoka...nadhani ni kweli kuwa EL ni mwanamme wa shoka walau ndani ya CCM...si tumeona Richmond ilivyoisha....mwenye macho haambiwi tazama!!!!!!