Tamko la Wapiganaji CCM Feb 10, 2010

Tamko la Wapiganaji CCM Feb 10, 2010

Tamko limekuja wakati muafaka?

  • Ndiyo

    Votes: 8 57.1%
  • Hapana

    Votes: 5 35.7%
  • Sijui

    Votes: 1 7.1%

  • Total voters
    14
  • Poll closed .
Njaa haina baunsa. Kama huwezi na huitaki CCM hama na jiunge na vyama vingine. CCM si mama yako wala baba yako.
 
Uchungu wa kunyimwa posho baada ya uchumi wa chama kuyumba !!! kwa wa nini kutumia nguvu nyingi hivyo ? Pelekea kwenye vikao vyenu vya ndani, ikishindikana huko lete JF na majibu utakayokuwa umepewa, ikishindikana zadi, hama au achana na vyama vya siasa, mbona kuna watu hawana vyama vya siasa lakini wanaishi bila shida.
 
Sasa hawa mbona ndio wenye CCM, Msiwafanyie dhuluma. Nyie tokeni huko muwaachie chama chao.
 
Back
Top Bottom