- Hayo ndio maoni yako kwamba hakuna jipya, maoni yangu ni kwamba mengi yaliyomo humu ni mapya, then tatizo liko wapi?
Resepct.
FMEs!
moto umewashwa.. tofauti imewekwa wapo wapiganaji na wapo wapiganaji wa kweli; wapiganaji wameonekana wakiunga mkono wizi na uporaji wa raslimali zetu.. wapiganaji wa kweli.. wamekana kuwa sehemu ya maamuzi yaliyofikiwa jana usiku Dodoma. Anayefikiri kuwa suala la Richmond limefikia mwisho anaota njozi.. subirini mtaamini kuna tofauti kati ya maembe na machungwa japo yote ni matunda.
Mmeshaanza kugombana kwa vitu visivyo vya lazima. Mshindwe na mlegee!
hilo ndiyo tatizo la uchoyo wa mawazo, hivi sasa we una njaa, mtu kakuletea msosi then unauliza nani kamtuma, badala ya kupokea n a kuufanyia kazi, kwa nini hatubadiliki?Watu wanataka kuwajua walioleta hii message, wanataka kujua ni nani wako nyuma ya hii; kama vile walivyotaka kujua nani wako nyuma ya CCJ na nani wako nyuma ya JF.. hawataki kuongelea hoja zinazotolewa wanataka kujua nani katoa hoja! Na watu wanaopenda "mepesi mepesi" wameng'ang'ania "tunataka majina"..
Binafsi nimependa kilichochukuliwa yaani msimamo! wakati wabunge wa CCM wameamua kuwa kitu kimoja katika umoja wa ufisadi Bungeni ili kujilinda wao na chama, kuna kikundi cha wana CCM ambao kimekataa moja kwa moja kuwa na ushirika na mafisadi hata kama ni kwa ajili ya kukisaidia chama.
Siku mkiona Mwakyembe na Rostam wamekumbatiana basi mjue kweli hakuna wapiganaji wenye msimamo
Siku mkiona kina Selelii wanawapigia kampeni kina Lowassa basi mjue mambo yamekwisha.
DO NOT read too much into what happened 2day Bungeni kuhusu Richmond. In warfare.. as long as you can win the war, you can afford to lose some battles.. Ushindi wa wapiganaji wa kweli (that is a functional word ambalo watu hawajalisoma hapo mwanzoni, wamesoma neno "wapiganaji" tu..) hauwezi kuhesabiwa kwenye suala la Richmond.. as a matter of fact.. wapiganaji wameshinda zaidi (in total) kuliko kushindwa!
Nadhani kuna watu wanamiss pointi kubwa sana ya ujumbe huu; ndani ya CCM kuna wapiganaji wa kweli na wapiganaji uchwara; wapiganaji wa kweli hawajali wabunge wa CCM wanafanya nini Bungeni au wanachama wengine wanafanya nini; wao wanapigana.
Ninavyoelewa ni kuwa mstari umechorwa ardhini sasa kati ya wale wanaCCM walioweka Chama kwanza kwamujibu wa ibara ya 14:1 na wana CCM ambao wameamua kujitenga 'nao'. Ukiniuliza mimi I'll stand with these people than their opponents. CCM has been put on notice.
Nimemuuliza mmoja wao leo anasema mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe, wanajua wanachofanya na tamko hili ni kuwapa notice JK na uongozi wa juu wa CCM. Ati wamefunika kombwe mwana haramu apite.. lakini "haendi kokote"!
MM
Kwa yaliyotokea leo huko Dodoma, napenda sana kuamini hiki unachokisema.
Lakini notice yanini? Hawabadiriki hao, hivi kweli ukimwangalia Mkuu unadhani kuna nini hapo.. kwao ni furaha Yameisha salama.
kama hukubaliani unasubiri nini??
Nadhani kuna watu wanamiss pointi kubwa sana ya ujumbe huu; ndani ya CCM kuna wapiganaji wa kweli na wapiganaji uchwara; wapiganaji wa kweli hawajali wabunge wa CCM wanafanya nini Bungeni au wanachama wengine wanafanya nini; wao wanapigana.
Ninavyoelewa ni kuwa mstari umechorwa ardhini sasa kati ya wale wanaCCM walioweka Chama kwanza kwamujibu wa ibara ya 14:1 na wana CCM ambao wameamua kujitenga 'nao'. Ukiniuliza mimi I'll stand with these people than their opponents. CCM has been put on notice.
Nimemuuliza mmoja wao leo anasema mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe, wanajua wanachofanya na tamko hili ni kuwapa notice JK na uongozi wa juu wa CCM. Ati wamefunika kombwe mwana haramu apite.. lakini "haendi kokote"!