Kuna swali la msingi ambalo limeulizwa na mlalahoi, kwamba hawa wapiganaji walikuwa wapi siku zote?!
Kwa upoe wangu wa ufikiri, nadhani walikuwa wanajipanga. Ni ngumu sana kupata wafuasi ndani ya chama ambao watakuwa wanapingana na uongozi wa chama, na inabidi kuwe na umakini wa hali ya juu katika kuwapata hao wafuasi.
Mchakato wa kuwapata wapiganaji wa kweli lazma utakuwa umechukua muda mrefu sana, na mipango ya kuanza kufanya vikao vya siri ili kuja na njia sahihi za kukabiliana na uongozi wa chama nao utakuwa umewachukua muda mrefu sana ukizingatia lazma kulikuwa na kutofautiana kwa mawazo ya nini kifanyike/njia ipi ni sahihi kuifuata katika kupambana na uongozi wa chama.
Na mwisho wa yote, ndo wamekuja na hili tamko ambalo kwa vyovyote, limewachukua muda mrefu sana kuliandaa.
Naamini kwasasa watakuwa tayari kukiacha chama kama tamko lao hili halita tekelezwa.
I wish them the best of luck
Kwa upoe wangu wa ufikiri, nadhani walikuwa wanajipanga. Ni ngumu sana kupata wafuasi ndani ya chama ambao watakuwa wanapingana na uongozi wa chama, na inabidi kuwe na umakini wa hali ya juu katika kuwapata hao wafuasi.
Mchakato wa kuwapata wapiganaji wa kweli lazma utakuwa umechukua muda mrefu sana, na mipango ya kuanza kufanya vikao vya siri ili kuja na njia sahihi za kukabiliana na uongozi wa chama nao utakuwa umewachukua muda mrefu sana ukizingatia lazma kulikuwa na kutofautiana kwa mawazo ya nini kifanyike/njia ipi ni sahihi kuifuata katika kupambana na uongozi wa chama.
Na mwisho wa yote, ndo wamekuja na hili tamko ambalo kwa vyovyote, limewachukua muda mrefu sana kuliandaa.
Naamini kwasasa watakuwa tayari kukiacha chama kama tamko lao hili halita tekelezwa.
I wish them the best of luck