pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Hata mie sikusema magu ndio kamuwekaMbowe hakuwekwa ndani na Magu
Ange... Nimesema angewepo
Hata mie sikusema magu ndio kamuwekaMbowe hakuwekwa ndani na Magu
vijisenti vya mkopo.Kama walivyotengeneza amani Ukraine, au siyo?
Tukivipata hatuviachi hata viwe vya mdebe.vijisenti vya mkopo.
hahaha!!!! Nguruwe haramu mchuzi wake mtamu.Tukivipata hatuviachi hata viwe vya mdebe.
UmekulaPamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Kama walivyotengeneza amani Ukraine, au siyo?
Baniani mbaya kiatu chake dawaTukivipata hatuviachi hata viwe vya mdebe.
Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye hakuwa akikosoa utawala wa Jiwe.Balozi ni mnafiki, walikuwa wakikosoa sana utawala wa JPM na kutoa matamk kila kukicha. Ila Mbowe alipokamatwa na kupewa kesi ya ugaidi, na wao wenyewe wakiwa wanajua, alitweet na kinafiki na kusema mahakama iachiwe ifanye kazi
Siasa haina mbaya wa kudumu wala rafiki wa kudumu, vyote ni subjective.Baniani mbaya kiatu chake dawa
Toa z weka m.Warusi ni wazungu?
Mzee nimekubali unapenda MbeleManeno mazuri sana!
Nguruwe sio haram, kumla nguruwe ndio haram.hahaha!!!! Nguruwe haramu mchuzi wake mtamu.
Wewe ndio mvuta bangi na mhalifu kweupe.Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Subiri akushangaze, moto ndiyo umewaka na hamasa ziko juu. Jinsi lile Jiwe linavyoendelea kuoza ndiyo uhuru wa kutoa maoni unavyozidi kishamiri, sasa kutofautiana kiitikadi si jinai tena kama ilivyokuwa enzi za Mrundi.Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Fact..ukiwalinganisha na ccm, wamarekani ni watu wa maana.
Roho mbaya na ukatili wake ndiyo vilisababisha hayo yote.Magu alikuwa na damu ya kunguni, alichukiwa na kila mtu mwenye utimamu wa akili
Mbona hawakufuta makosa ya Osama, America ikiguswa inakuja juu, ikiona ushenzi kwingine inakaa kimaslahi, kama kweli Mbowe ni gaidi anasamehewaje?Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.
Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:
“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Balozi ndiyo anaiwakilisha nchi, tamko lake ni msimamo wa serikali yake.
Hawa wanawe leo wamenuna kweli Mbowe kuachiwa, kama wanachuki kihivyo kwa Samia si wahame waanzishe chama chao? Sijui why wanakomaa na Mkiti ambaye hawampendiRoho mbaya na ukatili wake ndiyo vilisababisha hayo yote.