Tamko la Marekani baada ya kesi ya Freeman Mbowe kufutwa

Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Umekula
 
Balozi ni mnafiki, walikuwa wakikosoa sana utawala wa JPM na kutoa matamk kila kukicha. Ila Mbowe alipokamatwa na kupewa kesi ya ugaidi, na wao wenyewe wakiwa wanajua, alitweet na kinafiki na kusema mahakama iachiwe ifanye kazi
Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye hakuwa akikosoa utawala wa Jiwe.
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Wewe ndio mvuta bangi na mhalifu kweupe.
Kubana kote mwisho kuachilia!!
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Subiri akushangaze, moto ndiyo umewaka na hamasa ziko juu. Jinsi lile Jiwe linavyoendelea kuoza ndiyo uhuru wa kutoa maoni unavyozidi kishamiri, sasa kutofautiana kiitikadi si jinai tena kama ilivyokuwa enzi za Mrundi.
Nchi imerudi kwenye uhuru na furaha kwa raia wote.
 
Marekani sio wa kuaminika

Wamemdanganya Ukraine sasa anapokea kipondo.
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Mbona hawakufuta makosa ya Osama, America ikiguswa inakuja juu, ikiona ushenzi kwingine inakaa kimaslahi, kama kweli Mbowe ni gaidi anasamehewaje?

Msiwe mnaleta maneno ya wamarekani ktk jambo la waTanzania
 
Roho mbaya na ukatili wake ndiyo vilisababisha hayo yote.
Hawa wanawe leo wamenuna kweli Mbowe kuachiwa, kama wanachuki kihivyo kwa Samia si wahame waanzishe chama chao? Sijui why wanakomaa na Mkiti ambaye hawampendi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom