ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Magufulegacy. Katiba mpya ndio DAWA.Huyu mama nae amekuwa muogaaaaa,
Angekuwepo magu
gaidi asingetoka kirahisi rahisi hivi
Ila sio mbaya amesota sana
Magufulegacy. Katiba mpya ndio DAWA.Huyu mama nae amekuwa muogaaaaa,
Angekuwepo magu
gaidi asingetoka kirahisi rahisi hivi
Ila sio mbaya amesota sana
Kwel, na awalaani nyani weusi wote 😂Mungu wabariki wazungu
PumbafuPamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Kuponda ya Magufuli ila Samia akifanya kukaa kimyaKwa hiyo hapo unafiki uko wapi?
Mwendazake alikuwa muuajiKuponda ya Magufuli ila Samia akifanya kukaa kimya
Waswahili wanasema kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Kesi yake iliasisiwa wakati wa MaguMbowe hakuwekwa ndani na Magu
Huyu mama nae amekuwa muogaaaaa,
Angekuwepo magu
gaidi asingetoka kirahisi rahisi hivi
Ila sio mbaya amesota sana
Sidhani kama Samia ana tofauti sana na yeye, ila tusubiriMwendazake alikuwa muuaji
AmepelekwaNa Ikulu ameenda!
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni
kumbukeni kesi "haijafutwa" bali "imeondolewa", hivyo lazima mjifunze maana ya misamiati hiyo hapo miwili.Kingai acha kujifariji..
mmepigwa KO... mbowe hajasamehewa,, mmeona aibu... Mngeaibika..
Next time uongo wekeni vizuri...
Ndugu mpendwa,kumbukeni kesi "hajafutwa" bali "imeondolewa", hivyo lazima mjifunze maana ya misamiati hiyo hapo miwili.
lakini pia kumbukeni kesi ya Jinai "haiozi" wala "haichachi"
ni suala la muda tu......
Hajawahi kuwa mjanja mjanja labda wale mambwa wa SSH wanaojipendekeza ndio wanaoharibu nchiHata mbowe ataacha ujanja ujanja ambao anadhani bado ni mtoto
Nadhani sasa atafuata sheria bila shurti
Tumia akili japo kidogo utaelewa, ni kwamba tweet ni ya kwake yeah na si official tweet ya ubalozi. Point ni kwamba hawezi ku post kitu kisicho reflect msimamo wa nchi anayoiwakilisha kwani ni mteule aliyekula kiapo na anajua consequences za ku post kinyume na msimamo wa nchi yake.Basi kama ni marekani wamesema angaweka waraka wao na mhuri au hata nemba (kama unavyoona waraka wa nchi nyingine)sio aandike huko twiter mnasema eti marekani imesema.
Msifanya twit yaks iwe kuuubwaaa wakati ni mtu kaandika maoni yake kwenye avount yake binafsi tdna ya mtandao wa kijamii
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo sala ni vyema ukamuombea Mbowe ili abadilike aachane na mikakati ya kihalifu ktk nchi. abadilike na atubu kwa maovu yake hata kama hayajadthibitishwa na mahakama.Ndugu mpendwa,
Yaonekana ni KAMA VILE umejawa chuki na hila zisizoisha. Yaliyotokea yatakiwa kukukumbusha kuwa Mungu wa haki yu atenda kazi.
Maisha ni mafupi, kabla haujachelewa enenda ukatubu ili upate nguvu na ujasiri wa kumkemea na kumkataa shetani na mambo yake yote.
Mungu ni mwema atakupokea na kukufanya kiumbe kipya. Pia wa uzao wako wataepushwa na laana waliokuwa wanabebeshwa. AMEN.
Sio ajabu kwa dunia kutushangaaHata dunia ilitushangaa kwa matendo yetu🤔
Ndugu yangu,hiyo sala ni vyema ukamuombea Mbowe ili abadilike aachane na mikakati ya kihalifu ktk nchi. abadilike na atubu kwa maovu yake hata kama hayajadthibitishwa na mahakama.
kumbukeni kesi "hajafutwa" bali "imeondolewa", hivyo lazima mjifunze maana ya misamiati hiyo hapo miwili.
lakini pia kumbukeni kesi ya Jinai "haiozi" wala "haichachi"
ni suala la muda tu......
Boss, vipi? Unalinganisha nchi na chama cha siasa!..ukiwalinganisha na ccm, wamarekani ni watu wa maana.