Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 850
- 788
Shut up!Hata mbowe ataacha ujanja ujanja ambao anadhani bado ni mtoto
Nadhani sasa atafuata sheria bila shurti
Shut up!Hata mbowe ataacha ujanja ujanja ambao anadhani bado ni mtoto
Nadhani sasa atafuata sheria bila shurti
Shame on you!Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Aende zake ukraine wanamsubiria zeruzeru wanafiq sana.kesi inapoendelea ni kama hawapo ikiisha wanasema. Aliogopa kuathiri uwepo wake tz.Balozi ni mnafiki, walikuwa wakikosoa sana utawala wa JPM na kutoa matamk kila kukicha. Ila Mbowe alipokamatwa na kupewa kesi ya ugaidi, na wao wenyewe wakiwa wanajua, alitweet na kinafiki na kusema mahakama iachiwe ifanye kazi
Mkuu umeumizwa na nini kwa Mbowe kuachiwa?Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
MaCCM akili zao hazina akili.Hata dunia ilitushangaa kwa matendo yetu🤔
Mungu mbariki Mama Samia,Rais kipenzi cha watanzania.Mungu wabariki wazungu
Mungu Mbariki,Mama Samia,Rais mwenye upendo kwa raia wake,Rais msikivu,Rais anayejali raia wake.Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Roho ya koroshoMkuu umeumizwa na nini kwa Mbowe kuachiwa?
Serikali gani inamwachia gaidi atambe mtaani? Aibu yenu wapambe proPamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Akili yako haina akili. Na huyo mama yenu.Mungu Mbariki,Mama Samia,Rais mwenye upendo kwa raia wake,Rais msikivu,Rais anayejali raia wake.
Mtakufa na roho za kwa nini mungu ibariki Tanzania.Hata mbowe ataacha ujanja ujanja ambao anadhani bado ni mtoto
Nadhani sasa atafuata sheria bila shurti
Wao mbona wanamkazia Putin kila uchao?!!!Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.
Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:
“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Huyu mama nae amekuwa muogaaaaa,
Angekuwepo magu
gaidi asingetoka kirahisi rahisi hivi
Ila sio mbaya amesota sana
mwambie sasa atambe kama ataweza.Serikali gani inamwachia gaidi atambe mtaani? Aibu yenu wapambe pro
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
Kama walivyotengeneza amani Ukraine, au siyo?Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.
Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:
“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.