Tamko la Marekani baada ya kesi ya Freeman Mbowe kufutwa

John Haramba

JF-Expert Member
Feb 4, 2022
365
1,373
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Hata dunia ilitushangaa kwa matendo yetu🤔
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Mungu wabariki wazungu
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Screenshot_20220304-151301.png

Jiwe limerushwa gizani. Wanasiasa na hasa wa ccm Wana la kujifunza.
#Stronger_Together
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu. Aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia nyenendo zake hadi chooni.
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Bado unawaona Marekani ni watu wa maana?
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Well said , Sasa tunaanza upyaaaa kudai katiba mpya, katiba ya Warioba
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Wazungu wanatupenda sn sema sisi ndiyo hatupendani
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Hayo ni maoni yake binafsi usiseme tamko la marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Ambassador Donald J. Wright amezungumzia maamuzi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake kuachiwa huku na Mahakama, leo Machi 4, 2022.

Balozi Wright ametoa mtazamo huo kupitia kurasa zake za kijamii kwa kuandika:

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote.
Hao ndio NATO alliance kule Ukraine
 
50 Reactions
Reply
Back
Top Bottom