BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,377
Kwa level ya juu sana ambayo waafrika hatuwapati.Waarabu nao pia wachawi?
Kwa level ya juu sana ambayo waafrika hatuwapati.Waarabu nao pia wachawi?
TRA??? Yaani wee acha tu, sishangai kwa tukio hilo, watu wanapandishiwa kodi mara 3.Pole Kwa familia ya marehemu, yawezekana mzee wao alikuwa na mengi yanamsibu zaidi ya hiyo madai ya tra.
Kwa Sasa hakuna wa kumlaumu ila marehemu aliechukua uamzi mbaya dhidi yake na kusababisha simanzi ya mapema kw familia,ndugu na jamaa
CCM haishindwi. Imejaa mafia gangs mule acha kabisa.Sio kwamba walimuwaisha..?
Inakuaje mwarabu anakuwa na nguvu kwenye nchi yetu weusiMwaka jana nilikua Urambo nilifika pale dukani kwake kununua bidhaa. alilipwa na TRA, na alikuwa ameexpand sana biashara yake ya bidhaa-duka la jumla likawa kubwa, akajenga warehouse, akawa na malori ya kusupply vijijini. Bado alikua na misuguano na maafisa wa TRA na walikuwa na mitego mingi, though jamaa alikuwa smart sana kulipa kodi na kutumia technology. Hii expansion ya biashara za bidhaa kwa pale Urambo, ilimpa maadui wapya-WAARABU WAFANYABIASHARA YA BIDHAA pale Urambo. Hawa waarabu wamejenga monopoly attittude kiasi huwa hawataki supplier mpya sokoni tena awe na bei za chini kuliko wao.
Kwa kweli nimemumizwa na habari za kifo cha Ntunzwe. Apumzike kwa amani. Biashara zake ndio zimefika mwisho. Inaumiza sana.
Huyo Allah kwanini hakumsaudia alipwe deni lake.Hata kama umedhulumiwa lakini usifikie kufanya maamuzi hayo, haya umejiuwa faida yake nini umepata! Allaah S.W ameharamisha kujiuwa
Ni watanzania pia.Inakuaje mwarabu anakuwa na nguvu kwenye nchi yetu weusi
Inakuaje mwarabu anakuwa na nguvu kwenye nchi yetu weusi
Inakuaje mwarabu anakuwa na nguvu kwenye nchi yetu weusi
Inasikitisha sanaYani hii tabia ya mwanaume kula pesa za mwanaume mwenzie kibabe, kisa tu ana mamlaka ni tabia ya hovyo sana, watu wa hivi wanastahili kuchapwa viboko hadharani kisha wanyongwe mpaka kufa
Hawana tofauti na NIKUAMBIE KITUYani hii tabia ya mwanaume kula pesa za mwanaume mwenzie kibabe, kisa tu ana mamlaka ni tabia ya hovyo sana, watu wa hivi wanastahili kuchapwa viboko hadharani kisha wanyongwe mpaka kufa
Nenda Global Tv OnlineTaarifa inasemaje?
Una uhakika nI Nchi ya Weusi?Inakuaje mwarabu anakuwa na nguvu kwenye nchi yetu weusi
Na kweli asubiri kwanza maana kuna habari nyingi tofautiNgoja kwkwanza
Una uhakika nI Nchi ya Weusi?
Hii nchi ni ya watanzania weusiAcha chuki na roho mbaya, ukiwa na chuki hata mambo yako hayaendi, halafu mwenye chuki hata sura yake inachange, jichunguze
Ndio ni nchi ya weusi nitajie mtu yoyote mweupe aliepigania uhuru kuanzia wakina mkwawa Hadi Nyerere.Una uhakika nI Nchi ya Weusi?
Eti waarabu wako Karne na Karne mjinga wewe !Kwanza nikuulize una umri gani? Hao waarabu wapo karne na karne so huwezi ukasema hayo maneno ya kibaguzi, na kuonyesha chuki.