Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,164
- 25,472
Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume
View attachment 2797949asnanii wa
KabisaHicho ni kioo cha Jamii kilichopasuka...
Huo sio tu utovu wa maadili,
Lakini pia ulevi wa mafanikio ya kuonekana kwenye tv na kukosa ubunifu wa contents
Ipo siku watavaa chupi kabisa🤣Wana sema eti usanii ni pamoja na Sanaa yenyewe
usistaajabu ndani ya hizo kanga na dera kuna ka lingerie ka pink.Ipo siku watavaa chupi kabisa🤣
Kabisa wanazingua sanausistaajabu ndani ya hizo kanga na dera kuna ka lingerie ka pink.
Tuliangalia hili kwa mtazamo chanya.imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume
Kabisa hawana marindaRainbow hao
WanayumbaTuliangalia hili kwa mtazamo chanya.
1. Kila wafanyacho (wasanii, hasa hawa tunao waita wasanii wakubwa), kipo planned kwa lengo maalum. Msaanii hupangiwa atoke vipi avae vipi kwenye tukio lipi, kwa kuzingatia point #2.
2. Kumbuka number of views/ watchtime kwenye mtandao kama Youtube - Ni chanzo kikubwa cha mapato, Hivyo wasanii huwa na planners wao nini kifanyike ili kuhakikisha kila kukicha wanaongeza number of views/watchtime.
Naunga mkono hoja 👍👏Miziki ni kazi ya Kishetani kuna maovu mengi ndani yake..
Je umeelewa nilicho andika?Wanayumba
Ndio kiongoziJe umeelewa nilicho andika?
Ukiwauliza utasikia, "wasanii wengi wanaingia stejini kwa style za kawaida, sasa mimi nikaona nifanye kitu cha tofauti"Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
View attachment 2797949
Kabisa inasikitisha sanaUkiwauliza utasikia, "wasanii wengi wanaingia stejini kwa style za kawaida, sasa mimi nikaona nifanye kitu cha tofauti"
Sijui tunaelekea wapi kama taifa, maana watoto wetu wataiga wanaona ni kitu cha kawaida kumbe maadili ndio hivyo yanamomonyoka kwa kiasi kikubwa