Dunia inaenda kasi, kulea mtoto wa kiume sasa ni kazi kuliko wa kike

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,513
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada yetu isemayo, Dunia inaenda kasi, kulea mtoto wa kiume ni kazi kuliko wa kike.

Hapo zamani kidogo, ilikuwa mzazi kulea mtoto wa kike alikuwa na hofu maana alihofia kuwa angeweza pewa mimba.

Wazazi wote walikuwa wakali kama Simba kwenye malezi ya watoto wao wa kike, vitisho na vipigo vilitumika ili kuwalea.

Malezi hayo yaliambatana na hofu nyingi baina ya wazazi wa jinsia zote yaani wazazi wa kiume na wakike.

Kila mzazi alichukua jukumu la kumlinda Binti yake asijeharibikiwa na kupata ujauzito ukakatiza ndoto za elimu.

Hakika Dunia inaenda kasi maana Sasa imekuwa ni kinyume chake maana kila jicho la mzazi linaangalia mtoto wa kiume.

Mtoto wa kiume saivi amekuwa kama almasi, analindwa zaidi ya almasi halisi.

Akiwa anaenda kucheza mtoto wa kiume anaangaliwa zaidi ya mtoto wa kike, maana anaweza haribiwa.

Hii imetokana na kuwa na vitendo vya ushoga vinavyoendelea Duniani na watoto wa kiume ndio walengwa wakuu.

Wazazi wote wa kiume na kike wana hofu na watoto wao wa kiume zaidi kuharibiwa zaidi watoto wa kike.

Imefika mahali wazazi wamekuwa hawataki watoto wao wa kiume wasome Bweni kwa kukosa Imani.

Wazazi wa pande zote kiume na kike wamewasahau watoto wa kike saivi macho yao yapo kwa wa kiume.

Hofu imetawala kwenye malezi ya watoto wa kiume, wazazi hawana amani tena.

Ndio maana nasema Dunia inaenda kasi, kulea mtoto wa kiume ni kazi kuliko kulea mtoto wa kike..

Donatila
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada yetu isemayo, Dunia inaenda kasi, kulea mtoto wa kiume ni kazi kuliko wa kike.

Hapo zamani kidogo, ilikuwa mzazi kulea mtoto wa kike alikuwa na hofu maana alihofia kuwa angeweza pewa mimba.

Wazazi wote walikuwa wakali kama Simba kwenye malezi ya watoto wao wa kike, vitisho na vipigo vilitumika ili kuwalea.

Malezi hayo yaliambatana na hofu nyingi baina ya wazazi wa jinsia zote yaani wazazi wa kiume na wakike.

Kila mzazi alichukua jukumu la kumlinda Binti yake asijeharibikiwa na kupata ujauzito ukakatiza ndoto za elimu.

Hakika Dunia inaenda kasi maana Sasa imekuwa ni kinyume chake maana kila jicho la mzazi linaangalia mtoto wa kiume.

Mtoto wa kiume saivi amekuwa kama almasi, analindwa zaidi ya almasi halisi.

Akiwa anaenda kucheza mtoto wa kiume anaangaliwa zaidi ya mtoto wa kike, maana anaweza haribiwa.

Hii imetokana na kuwa na vitendo vya ushoga vinavyoendelea Duniani na watoto wa kiume ndio walengwa wakuu.

Wazazi wote wa kiume na kike wana hofu na watoto wao wa kiume zaidi kuharibiwa zaidi watoto wa kike.

Imefika mahali wazazi wamekuwa hawataki watoto wao wa kiume wasome Bweni kwa kukosa Imani.

Wazazi wa pande zote kiume na kike wamewasahau watoto wa kike saivi macho yao yapo kwa wa kiume.

Hofu imetawala kwenye malezi ya watoto wa kiume, wazazi hawana amani tena.

Ndio maana nasema Dunia inaenda kasi, kulea mtoto wa kiume ni kazi kuliko kulea mtoto wa kike..




Donatila
Ushoga na homosexuality kwa ujumla, inachochewa na kukumbatiwa sana na wanawake.

Wanawake wanawakumbatia sana watu waliopo kwenye hayo makundi, na huwa wanawakubali na kuona wapo sahihi. Ndio maana mtoto anayelelewa na mama peke yake kuna possibility kubwa ya kuingia kwenye hayo magroup, hata kama alizaliwa bila kasoro yoyote.
 
Ushoga na homosexuality kwa ujumla, inachochewa na kukumbatiwa sana na wanawake.

Wanawake wanawakumbatia sana watu waliopo kwenye hayo makundi, na huwa wanawakubali na kuona wapo sahihi. Ndio maana mtoto anayelelewa na mama peke yake kuna possibility kubwa ya kuingia kwenye hayo magroup, hata kama alizaliwa bila kasoro yoyote.
Hivyo kuna hatari ya wototo wa kiume wa single mama kuweza ingia hatarini kwenye kundi la mashoga...
 
IMG-20240113-WA0001.jpg
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada yetu isemayo, Dunia inaenda kasi, kulea mtoto wa kiume ni kazi kuliko wa kike.

Hapo zamani kidogo, ilikuwa mzazi kulea mtoto wa kike alikuwa na hofu maana alihofia kuwa angeweza pewa mimba.

Wazazi wote walikuwa wakali kama Simba kwenye malezi ya watoto wao wa kike, vitisho na vipigo vilitumika ili kuwalea.

Malezi hayo yaliambatana na hofu nyingi baina ya wazazi wa jinsia zote yaani wazazi wa kiume na wakike.

Kila mzazi alichukua jukumu la kumlinda Binti yake asijeharibikiwa na kupata ujauzito ukakatiza ndoto za elimu.

Hakika Dunia inaenda kasi maana Sasa imekuwa ni kinyume chake maana kila jicho la mzazi linaangalia mtoto wa kiume.

Mtoto wa kiume saivi amekuwa kama almasi, analindwa zaidi ya almasi halisi.

Akiwa anaenda kucheza mtoto wa kiume anaangaliwa zaidi ya mtoto wa kike, maana anaweza haribiwa.

Hii imetokana na kuwa na vitendo vya ushoga vinavyoendelea Duniani na watoto wa kiume ndio walengwa wakuu.

Wazazi wote wa kiume na kike wana hofu na watoto wao wa kiume zaidi kuharibiwa zaidi watoto wa kike.

Imefika mahali wazazi wamekuwa hawataki watoto wao wa kiume wasome Bweni kwa kukosa Imani.

Wazazi wa pande zote kiume na kike wamewasahau watoto wa kike saivi macho yao yapo kwa wa kiume.

Hofu imetawala kwenye malezi ya watoto wa kiume, wazazi hawana amani tena.

Ndio maana nasema Dunia inaenda kasi, kulea mtoto wa kiume ni kazi kuliko kulea mtoto wa kike..




Donatila
Kama mtoto wako ameharibiwa kosa sio la dunia shida ni mtoto mwenyewe ni shoga...tatizo watu hamtaki kukubali ukweli mnatafuta mtu wa kusingizia...mbona Kuna watoto wengi wakiume hawafanyi ushoga...ukiona mtoto shoga ni yeye anapenda hivyo na sio kwamba mtu sijui dunia
.. we unaweza kuwa influenced kusagana hata iweje...
 
Acheni conspiracy theories za kipumbavu....hamna mtu yeyote duniani anayefaidika mtu Akiwa shoga...kama ni population control wanaweza kuwapiga nuclear tu na msifanye kitu...au wakaweletea magonjwa yasiyotibika kwenye vinywaji popular kama coca na Pepsi...ukiona mtu au mtoto kawa shoga ni yeye ndo shoga.. hamna mtu anaweza kukuinfluence kuwa shoga na hamna mtu anaaim kuinfluence watu kuwa mashoga
 
Acheni conspiracy theories za kipumbavu....hamna mtu yeyote duniani anayefaidika mtu Akiwa shoga...kama ni population control wanaweza kuwapiga nuclear tu na msifanye kitu...au wakaweletea magonjwa yasiyotibika kwenye vinywaji popular kama coca na Pepsi...ukiona mtu au mtoto kawa shoga ni yeye ndo shoga.. hamna mtu anaweza kukuinfluence kuwa shoga na hamna mtu anaaim kuinfluence watu kuwa mashoga
Kunywa maji kidogo, mbona hasira sana..
 
Back
Top Bottom