aitishe press conference kama sumaye.
Nani sasa aitishe press conference? Kilango au....
aitishe press conference kama sumaye.
kilango si ndiye kabwagwa kama sumaye!nani sasa aitishe press conference? Kilango au....
Tatizo wanalalamika rushwa na taratibu mbovu katika uchaguzi ambao wanashiriki kwa hiari yao.......kwa nini wasijitoe kama taratibu mbovu?kilango si ndiye kabwagwa kama sumaye!
usisahau "MSIMBAZI" umemwaidi bibi 2015 pia atapata ubunge wa viti maalum.hongera sofia
wewe huna unafiki kama KILANGO.WOTE TU WACHAFU PAMOJA NA KILANGO SASA ANAJIFANYA YEYE YU MSAFI
SOFIA....USISAHAU AHADI YA UBUNGE VITI MAALUM NI MIAKA KUMI TUU WAONDOLEWE VING'ANG'ANIZI
Nazungumza na jamaa yangu ndani ya uchaguzi wa UWT kwa kura zilizokwisha hesabiwa mama Sophia Simba anaelekea kuchukua ushindi, habari hii ni ya uhakika toka kwenye chumba cha kuhesabia kura, Anne Kilango anaponzwa na undumila kuwili wake mara anapinga ufisadi mara anametetea Ngereja , haeleweki, akina mama wamempa fundisho.
Mkuu Jogi, pale palisha uzwa zamani, aliyepo is just a piper!, sasa wanasubiria tuu makabidhiano!. Kiukweli naona 2015 ni mbali sana, natamani hata kesho ndio ingekuwa 2015 ili nasi tuianze zamu yetu!.Urais wa tanzania haununuliwi, fedha anazotumia lowasa ina maana anautaka urais kuliko tunavyomtaka awe rais.
ingekuwa heri kama fedha zake angenunulia ng'ombe akagawane na wamasai wenzake ingempa sifa za ukweli, lakini nikutahadharishe Pasco, magogoni is not for sale!
Au kwanin wasiripoti hayo matukio ya rushwa wakati uchaguzi ukiendelea?? Why after fail ndo waje na mzigo wa lawama?Tatizo wanalalamika rushwa na taratibu mbovu katika uchaguzi ambao wanashiriki kwa hiari yao.......kwa nini wasijitoe kama taratibu mbovu?
Does BAWACHA still exist?!, tangu alipojiuzule yule M/Kiti ile 2010 (baada ya kutomteua mbunge wa kuteuliwa na badala yake watu wakateua watoto wao, dada zao, wake zao, wakwe zao, hadi vimada wao!,) nani ni M/Kiti sasa?.Nilifikiri CCM is dying?
na kwambayeyote ndani ya CCM hawezi kuwa tishio?
sasa mbona watu wako busy na Mwenyekiti wa UWT na sio BAWACHA?
au hii ni ishara ya CCM kuwa ni very strong?
Kwani nani kati yao yupo kambi ya Edo?
Pasco, tangu siku ulipotoa posti thread hii nilikwambia namjua vema sana huyu uliyemuita msomi na mtu stahiki UWT Mayrose. Nilikwambia namjua fika ni dhaifu kupindukia. Ningeshangaa kama hata angekuwa wa pili. Kwa wagombea waliokuwepo wote watatu, hakukuwa na mtu muafaka kwa wanawake wa Tanzania, vyote ni vinyago vilivyokuwa vnachongwa tu na hatimaye kinyago kizuri kimevishinda vingine.Pasco!.
NB. Kwa vile mimi namshabikia EL ateuliwe CCM, na kwa CDM naisupport move ya ZZK, bado nasisitiza sina chama!. Ila wale mnao amini mimi ni gamba, endeleeni kuamini hivyo kwa sababu kuwa mwana CCM sio dhambi wala kuishabikia CCM sio kosa!.
Uchaguzi umemalizika matokeo yametoka!, ubatili umeshinda!. Sasa tuendelee na mengine huku tukisubiria yatokanayo!.
P.
no matter what, utashinda nafasi kama hii ukiwa katika kambi ya greyhair
......may be white hair maana zina link up na white house... you know what I mean.... hongera zake lakini mama Simba hana lolote...CCM kwishaNo matter what, utashinda nafasi kama hii ukiwa katika kambi ya greyhair
Hapa tuko pamoja, sasa Le Mutuz atafute gia nyingine ya kutongozea badala ya kuwadanganya kwamba atawaombea kwa Mama yake nafasi ya viti maalum.
Mama Sofia Simba aliwahi kutamka hadharani Dodoma kuwa""Lowassa ni dume la mbegu""!
Mama Sofia Simba aliwahi kutamka hadharani Dodoma kuwa""Lowassa ni dume la mbegu""!