TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
SOPHIA SIMBA MWENYEKITI UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA,NI KIONGOZI MAKINI ANAYEWEZA KUENDELEA KUWATETEA AKINA MAMA KATIKA TAIFA HILI,UMAKINI WAKE NA UBORA WAKE UNATOKANA NA MABO HAYA BAADHI TU
SOPHIA SIMBA MWENYEKITI WA UWT NDIYE MWASISI WA SERA YA VITI MAALUMU NDANI YA TAIFA HILI IKIWA NA MPANGO MKAKATI WA KUINUA WANAWAKE KISIASA,VITI MAALUMU VYOTE NDANI YA BUNGE LETU NI ZAO LA SOPHIA SIMBA
SOPHIA SIMBA NDIYE ALIYEIBUA UFISADI ALIOUFANYA MARIUM MAMUYA KUINGIA MKATABA FEKI NA AIRTEL WALIOJENGA JENGO LILEPALE MOROCCO
SOPHIA SIMBA AMEIMARISHA OFISI NA UMMOJA WA WANAWAKE KWENYE WILAYA MBALIMBALI HAPA NCHINI,AMEINGIA MKATABA NA NHC KUJENGA NYUMBA ZA MKOPO NA FUUUU KWAAJILI YA AKINA MAMA
AMEINGIA MKATABA NA PRIDE TANZANIA KUJENGA NYUMBA BABATI ARUSHA NA VIUNGA VYAKE KWAAJILI YA WANA WAKE
SOPHIA SIMBA NDIYE ALIYELETA MPANGO WA SACCOS KWA WANAWAKE WOTE KUANZIA NGAZI YA VIJIJ HADI TAIFA KWA MASHARTI NAFUUU,MPANGO HUO UMEPANGA KUNZA MAPEMA MWEZI WA 9
SOPHIA SIMBA ANATETEA KITI CHAKE KAMA MWEYEKITI WA UMOJA WAWANAWAKE TANZANIA NA WATU WALIOKOSA SIFA ZA UZALENDO ,UADILIFU NDANI YA TAIFA HILI..AMEKUWA KAIWASHINDA MARA KWA MARA KWENYE HIZI CHAGUZI.
Mfano wa watu wanaogombea na SOPHIA SIMBA ni hawa wawili kwanza
1.MARIUM MAMUYA
>Huyu anakashifa ya kuuza kiwanja cha UWT kile pale MOROCCO kwenye jengo la AIRTEL jijini DRA ES SALAAM.kiwanja kile kimenunuliwa toka kwa UWT chini ya marium mamuya akiwa kama katibu mkuu wa UWT kipindi hicho.Hii ni kashifa kubwa sana ndani ya taasisi kubwa kama UWT.Sophia simba amefichua ufisadi huo
Marium Mamuya amejikopesha fedha za UWT zaidi ya MILLION 121 za kitanzania,pesa hizo ameshalipa Tsh.Million 10 tu.
Marium mamuya ndiye katibu mkuu wa UWT aliyeuza nyumba za UWT jijini dar es salaam kwa mmiliki wa kampuni ya CASPI
2.ANA KILANGO MALECELA
Huyu ni mbunge wa SAME mashariki,
ANAUZAIFU mkubwa sana ndani ya jimbo lake,ameshindwa kupeleka kiwanda cha Tangawizi alichowaahidi wananchi wake,
Nguzo za umme hadi leo hazijasimama,Pia na kashfa ya kutumia wanaumme kuharibu ummoja wa wanawake jimboni kwake,na hata katika uchaguzi uliopita alitumia wanaume kuharibu uchaguzi ule lakini alishindwa.
ANA KILANGO MALECELA amekubali kuzibwa mdomo na pesa chafu za RICHMOND ndio maana hadi leo hii hawezi kuinua mdomo wake akazungumzia richmond.
Pia Anakashifa ya kukutwa na Million 200 zile alizopolwa na majambazi akielekea nazo kwenye uchaguzi kwa ajili ya kusambaza kwa wajumbe mwaka 2005.
KIMSINGI HAWEZI KUWA MWENYEKITI WA UMMOJA WA WANAWAKE,huyu mama ameshazimwa na pesa za richmond.
WAGOMBEA WENGINE NITAWATEA UCHAFUA WAO HAPA...UWT lazima iheshimike kama ilivyosasa
SOPHIA SIMBA MWENYEKITI WA UWT NDIYE MWASISI WA SERA YA VITI MAALUMU NDANI YA TAIFA HILI IKIWA NA MPANGO MKAKATI WA KUINUA WANAWAKE KISIASA,VITI MAALUMU VYOTE NDANI YA BUNGE LETU NI ZAO LA SOPHIA SIMBA
SOPHIA SIMBA NDIYE ALIYEIBUA UFISADI ALIOUFANYA MARIUM MAMUYA KUINGIA MKATABA FEKI NA AIRTEL WALIOJENGA JENGO LILEPALE MOROCCO
SOPHIA SIMBA AMEIMARISHA OFISI NA UMMOJA WA WANAWAKE KWENYE WILAYA MBALIMBALI HAPA NCHINI,AMEINGIA MKATABA NA NHC KUJENGA NYUMBA ZA MKOPO NA FUUUU KWAAJILI YA AKINA MAMA
AMEINGIA MKATABA NA PRIDE TANZANIA KUJENGA NYUMBA BABATI ARUSHA NA VIUNGA VYAKE KWAAJILI YA WANA WAKE
SOPHIA SIMBA NDIYE ALIYELETA MPANGO WA SACCOS KWA WANAWAKE WOTE KUANZIA NGAZI YA VIJIJ HADI TAIFA KWA MASHARTI NAFUUU,MPANGO HUO UMEPANGA KUNZA MAPEMA MWEZI WA 9
SOPHIA SIMBA ANATETEA KITI CHAKE KAMA MWEYEKITI WA UMOJA WAWANAWAKE TANZANIA NA WATU WALIOKOSA SIFA ZA UZALENDO ,UADILIFU NDANI YA TAIFA HILI..AMEKUWA KAIWASHINDA MARA KWA MARA KWENYE HIZI CHAGUZI.
Mfano wa watu wanaogombea na SOPHIA SIMBA ni hawa wawili kwanza
1.MARIUM MAMUYA
>Huyu anakashifa ya kuuza kiwanja cha UWT kile pale MOROCCO kwenye jengo la AIRTEL jijini DRA ES SALAAM.kiwanja kile kimenunuliwa toka kwa UWT chini ya marium mamuya akiwa kama katibu mkuu wa UWT kipindi hicho.Hii ni kashifa kubwa sana ndani ya taasisi kubwa kama UWT.Sophia simba amefichua ufisadi huo
Marium Mamuya amejikopesha fedha za UWT zaidi ya MILLION 121 za kitanzania,pesa hizo ameshalipa Tsh.Million 10 tu.
Marium mamuya ndiye katibu mkuu wa UWT aliyeuza nyumba za UWT jijini dar es salaam kwa mmiliki wa kampuni ya CASPI
2.ANA KILANGO MALECELA
Huyu ni mbunge wa SAME mashariki,
ANAUZAIFU mkubwa sana ndani ya jimbo lake,ameshindwa kupeleka kiwanda cha Tangawizi alichowaahidi wananchi wake,
Nguzo za umme hadi leo hazijasimama,Pia na kashfa ya kutumia wanaumme kuharibu ummoja wa wanawake jimboni kwake,na hata katika uchaguzi uliopita alitumia wanaume kuharibu uchaguzi ule lakini alishindwa.
ANA KILANGO MALECELA amekubali kuzibwa mdomo na pesa chafu za RICHMOND ndio maana hadi leo hii hawezi kuinua mdomo wake akazungumzia richmond.
Pia Anakashifa ya kukutwa na Million 200 zile alizopolwa na majambazi akielekea nazo kwenye uchaguzi kwa ajili ya kusambaza kwa wajumbe mwaka 2005.
KIMSINGI HAWEZI KUWA MWENYEKITI WA UMMOJA WA WANAWAKE,huyu mama ameshazimwa na pesa za richmond.
WAGOMBEA WENGINE NITAWATEA UCHAFUA WAO HAPA...UWT lazima iheshimike kama ilivyosasa