The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Wadau, mkutano wa 8 wa Umoja wa Wanawake Tanzania(CCM) ndo umeanza punde Dodoma. Moja ya vitu vya msingi leo ni uchaguzi wa mwenyekiti wa jumuiya hiyo taifa.
Mchuano mkali ni kati ya Sophia Simba na Anne Kilango. Ikumbukwe hawa walianza vita na vijembe muda mrefu na wamekuwa na tofauti za kisiasa na uhasimu wa wazi kabisa.
Suala la nani ataibuka kidedea leo linasubiriwa kwa hamu sana na wanazi wa pande zote mbili waliojipanga hasa katika kila idara kuanzia majungu,rushwa,fitna na... you know what else..
Wajumbe ndio wameingia ndani. Tusubiri.
UPDATES: SOPHIA SIMBA KASHINDA!! KAMGALAGAZA ANNE KILANGO. NI USHINDI MWINGINE KWA KAMBI YA LOWASSA..C
Mchuano mkali ni kati ya Sophia Simba na Anne Kilango. Ikumbukwe hawa walianza vita na vijembe muda mrefu na wamekuwa na tofauti za kisiasa na uhasimu wa wazi kabisa.
Suala la nani ataibuka kidedea leo linasubiriwa kwa hamu sana na wanazi wa pande zote mbili waliojipanga hasa katika kila idara kuanzia majungu,rushwa,fitna na... you know what else..
Wajumbe ndio wameingia ndani. Tusubiri.
UPDATES: SOPHIA SIMBA KASHINDA!! KAMGALAGAZA ANNE KILANGO. NI USHINDI MWINGINE KWA KAMBI YA LOWASSA..C