Si shangingi bali ni mkweli daimaSofia Simba na ushangingi wake sijui wanampendea nini wenzake!!?
yeye anakubali ccm wote tu wachafu na tusinyosheane vidole
viva sofia.....AHADI YA UBUNGE VITI MAALUM CCM KUWA MWISHO MIAKA KUMI ITEKELEZWA
Si shangingi bali ni mkweli daimaSofia Simba na ushangingi wake sijui wanampendea nini wenzake!!?
Kwani Sophia Simba ni kambi ya Lowassa au Membe?
Nasikia alipata kusema "hakuna mwanamume kama Lowassa", sina uhakika kama ni kweli.
Sijaelewa Pasco anaingiaje hapa mkuu!!
Kama umeshalewa viroba wewe ni bora ukalale tu. sitegemei mtu mwenyeji hapa JF aulize Pasco anaingiaje hapo, ila subiri tu akija ndio utajuwa anaingiaje.Sijaelewa Pasco anaingiaje hapa mkuu!!
wapi Anna kilango malecela??. imekula kwako mama??. Huna uwezo wa kushindana na lowassa. njoo chadema tukomboe nchi yetu kutoka kwa wakoloni weusi ccm. mia
Mkuu chadema sio jamvi la wageni.wapi Anna kilango malecela??. imekula kwako mama??. Huna uwezo wa kushindana na lowassa. njoo chadema tukomboe nchi yetu kutoka kwa wakoloni weusi ccm. mia
Sophia ni kambi ya Lowassa, Kilango kambi ya Sitta.Kwani nani kati yao yupo kambi ya Edo?
Hapa tuko pamoja, sasa Le Mutuz atafute gia nyingine ya kutongozea badala ya kuwadanganya kwamba atawaombea kwa Mama yake nafasi ya viti maalum.Mzee karagazwa, mtoto karagazwa, mama karagazwa. Wakafuge ng'ombe ndio jadi yao waachane na siasa, hawana mvuto.
Nasikia alipata kusema "hakuna mwanamume kama Lowassa", sina uhakika kama ni kweli.
Ukisikia mtu wa CCM kaibuka kidedea ujue amemzidi mwenzake kwa rushwa na mizengwe tu.Huko hakuna kidedea wa siasa za kistaarabu wala hoja.
Kwani nani kati yao yupo kambi ya Edo?
Alise.ma hadharani mchana kweupeNasikia alipata kusema "hakuna mwanamume kama Lowassa", sina uhakika kama ni kweli.
Usifikiri kila mtu ni mlevi mwenzio, Mataputapu yanakuharibu.Kama umeshalewa viroba wewe ni bora ukalale tu. sitegemei mtu mwenyeji hapa JF aulize Pasco anaingiaje hapo, ila subiri tu akija ndio utajuwa anaingiaje.
Akili yako ndogo siwezi kupoteza muda wangu na kutumia akili kubwa kwa watindiga.Usifikiri kila mtu ni mlevi mwenzio, Mataputapu yanakuharibu.
Unatoa ahsante kwa Pasco ambae hajapost wala ku-comment chochote kwenye hii thread, umechanganyikiwa??
Ungemsubiri aje kwanza ndio utoe ahsante.