Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha!!Ukisikia mtu wa CCM kaibuka kidedea ujue amemzidi mwenzake kwa rushwa na mizengwe tu.Huko hakuna kidedea wa siasa za kistaarabu wala hoja.
Mkuu chadema sio jamvi la wageni.
Huyo mama abaki hukohuko.
Ila hii famalia ya malecela ina mkosi, kuanzia Le Kibonge mpaka mama ake wote hawapendwi na wanachama wenzao.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Akili yako ndogo siwezi kupoteza muda wangu na kutumia akili kubwa kwa watindiga.
Mkuu chadema sio jamvi la wageni.
Huyo mama abaki hukohuko.
Ila hii famalia ya malecela ina mkosi, kuanzia Le Kibonge mpaka mama ake wote hawapendwi na wanachama wenzao.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Tupe taarifa kamili,sofi kapata kura ngp na kilango ngp
Mkuuu,Sophia ni kambi ya Lowassa, Kilango kambi ya Sitta.
Mmoja ni shangingi na mmoja ni mshirikina, ila wote walishakamuliwa na mmasai.
wapi Anna Kilango Malecela??. imekula kwako mama??. Huna uwezo wa kushindana na Lowassa. njoo CHADEMA tukomboe nchi yetu kutoka kwa wakoloni weusi CCM. mia
Uchaguzi umemalizika matokeo yametoka!, ubatili umeshinda!. Sasa tuendelee na mengine huku tukisubiria yatokanayo!.Wanabodi,
Kipenga cha kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UWT kimepulizwa na wa kwanza kukimbilia fomu ni Mwenyekiti wa sasa Mhe. Sofia Simba akijiaminisha atapata kwa mteremko wa kupita bila kupingwa maana CCM inatawaliwa na nidhamu ya woga kwa jina la "utii". Lakini hali haikuwa hivyo kwani Mhe. Mama Anne Kilango Malecela ametia timu kumpinga Mama Simba ambae "she is good for nothing"!. Mama Kilango ni just an opportunist mpiga kelele kila anapoongea as if ana uchungu wa kweli na anachopigia kelele!.
Ila kumlinganisha na mama Simba, Kilango ni mpiganaji wa kweli kwani baada ya kubebwa pale mwanzoni, sasa amejibeba na kubebeka zaidi wakati Simba yeye ni kubebwa tuu mwanzo mwisho!.
Leo kuna binti kijana, msomi wa haja ambaye yuko very bright upstairs kwa jina la Bi. Mayrose Kavura Majinge, naye atatupa karata yake!. Huyu ni "very promising" kuibadili UWT toka hapo ilipo na kuipaisha to the next level!.
Sasa subirini tushuhudie sarakasi za kama CCM inaendelea kuchagua "good for nothing" na kuisindikiza rasmi kaburini, au wana CCM wata opt for "oportunistic" ili kuendeleza ulaji na kupeana au this time watachagua "promising leadership" kujaribu kuiokoa CCM ambayo imeshaonyesha dalili zote za mkao wa kifo?!.
Kwa vile sio siri, its open secret kuwa members wengi wa jf ni washabiki wa CDM, wakiwa na matumaini kuwa 2015 its their time, wajue kuwa wapiga kura wengi zaidi Tanzania ni wanawake, I doubt kama BAWACHA does realy exist!, hivyo majaaliwa ya Chadema kushinda uchaguzi wa 2015, itategemea kura za wanawake hivyo ni nani anashinda uchaguzi wa UWT!. Akirudi Mama Simba au Mama Kilango, ushindi wa Chadema ni dhahiri, ila akishinda Mayrose Kavura!, amini msiamini, ikulu mtaishia kuisikia tuu!.
Mark my words!.
Pasco!.
NB. Kwa vile mimi namshabikia EL ateuliwe CCM, na kwa CDM naisupport move ya ZZK, bado nasisitiza sina chama!. Ila wale mnao amini mimi ni gamba, endeleeni kuamini hivyo kwa sababu kuwa mwana CCM sio dhambi wala kuishabikia CCM sio kosa!.
Mzee kagaragazwa, mtoto kagaragazwa, mama kagaragazwa. Wakafuge ng'ombe ndio jadi yao waachane na siasa, hawana mvuto.
sasa hata idadi ya kura mbona haitajwi?