Sophia Simba ambwaga Anne Kilango uenyekiti UWT

Acha mfu azike mfu mwenzake....wote mafisadi na huku chadema hatumtaki kabisaaaaaaaa!
 
Ukisikia mtu wa CCM kaibuka kidedea ujue amemzidi mwenzake kwa rushwa na mizengwe tu.Huko hakuna kidedea wa siasa za kistaarabu wala hoja.
Ha ha ha!!
Umenena mkuu.

Cha ajabu utaskia wanalalamikiana rushwa. Mbona hawalalamiki wakati rushwa inatolewa, wanakuja kulalamika baada ya kushindwa??
 
Mkuu chadema sio jamvi la wageni.
Huyo mama abaki hukohuko.
Ila hii famalia ya malecela ina mkosi, kuanzia Le Kibonge mpaka mama ake wote hawapendwi na wanachama wenzao.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

ukombozi wa chadema ni kwa watu wote. hatuchagui hatubagui cha muhimu ni kukiri chadema ni mkombozi wako. mia
 
[h=3]NA NDIO MAMA WA WAMAMA WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NA WANAWAKE WA MAREKANI TUNAKUPONGEZA SANA MAMA LETU!!!!!!!!![/h]
Mama wa shoka!!!!!! mama mkakamavu !!!!!mama wa heshima!!!! Hongera sana wanawake wote tunakuamnia unaweza kwani tunafuata nyendo zako. Kutoka Bungeni hizi ni habari za TMZ (TG).....Tanzanite Glamour ndio TMZ ya kupasua na kutoa habari za ukweli live.......

HONGERA SANA MAMA YETU.......​


 
Sophia ni kambi ya Lowassa, Kilango kambi ya Sitta.
Mmoja ni shangingi na mmoja ni mshirikina, ila wote walishakamuliwa na mmasai.
Mkuuu,
Maneno mazito saana haya hizi habari akizipata mtoto wa kufikia le Mutus itabidi utafute pa kutokea
 
Hongera yake malkia wa mipasho a.k.a mama nonino kwa ushindi ambao unaifanya kazi yetu ya kuwashughulikia kuwa nyepesi zaidi.
Tutaendelea kukamua nonino na ushindi wa kimbunga 2015 tunachukua. Hahahaha pole sana Lemutuz na super mum kwa kudondokea kidevu, hiyo ni wazi kwamba baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 tingatinga family inakuwa imefutwa katika siasa za Tanzania.
 
binafsi sioni tofauti yoyote, maana kama alikuwa kiongoz before and then chama kinazidi kudidimia, i wonder what she will do next
 
Si yupo Katika Kambi ya Lowassa Huyu??? Sasa sijui maadui wa Lowassa wataponea wapi.... Wanyeviti na Makatibu wa Mikoa wengi wanamkubali EDO.... Sasa UWT ya Sophia nae ndani....
 
Huu ndio ulikuwa msimamo wangu kuhusu Uchaguzi wa UWT kwenye uzi wangu huu Uenyekiti wa UWT: Ni Vita Kati ya Ukweli na Ubatili!

Wanabodi,
Kipenga cha kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UWT kimepulizwa na wa kwanza kukimbilia fomu ni Mwenyekiti wa sasa Mhe. Sofia Simba akijiaminisha atapata kwa mteremko wa kupita bila kupingwa maana CCM inatawaliwa na nidhamu ya woga kwa jina la "utii". Lakini hali haikuwa hivyo kwani Mhe. Mama Anne Kilango Malecela ametia timu kumpinga Mama Simba ambae "she is good for nothing"!. Mama Kilango ni just an opportunist mpiga kelele kila anapoongea as if ana uchungu wa kweli na anachopigia kelele!.

Ila kumlinganisha na mama Simba, Kilango ni mpiganaji wa kweli kwani baada ya kubebwa pale mwanzoni, sasa amejibeba na kubebeka zaidi wakati Simba yeye ni kubebwa tuu mwanzo mwisho!.

Leo kuna binti kijana, msomi wa haja ambaye yuko very bright upstairs kwa jina la Bi. Mayrose Kavura Majinge, naye atatupa karata yake!. Huyu ni "very promising" kuibadili UWT toka hapo ilipo na kuipaisha to the next level!.

Sasa subirini tushuhudie sarakasi za kama CCM inaendelea kuchagua "good for nothing" na kuisindikiza rasmi kaburini, au wana CCM wata opt for "oportunistic" ili kuendeleza ulaji na kupeana au this time watachagua "promising leadership" kujaribu kuiokoa CCM ambayo imeshaonyesha dalili zote za mkao wa kifo?!.

Kwa vile sio siri, its open secret kuwa members wengi wa jf ni washabiki wa CDM, wakiwa na matumaini kuwa 2015 its their time, wajue kuwa wapiga kura wengi zaidi Tanzania ni wanawake, I doubt kama BAWACHA does realy exist!, hivyo majaaliwa ya Chadema kushinda uchaguzi wa 2015, itategemea kura za wanawake hivyo ni nani anashinda uchaguzi wa UWT!. Akirudi Mama Simba au Mama Kilango, ushindi wa Chadema ni dhahiri, ila akishinda Mayrose Kavura!, amini msiamini, ikulu mtaishia kuisikia tuu!.
Mark my words!.

Pasco!.

NB. Kwa vile mimi namshabikia EL ateuliwe CCM, na kwa CDM naisupport move ya ZZK, bado nasisitiza sina chama!. Ila wale mnao amini mimi ni gamba, endeleeni kuamini hivyo kwa sababu kuwa mwana CCM sio dhambi wala kuishabikia CCM sio kosa!.
Uchaguzi umemalizika matokeo yametoka!, ubatili umeshinda!. Sasa tuendelee na mengine huku tukisubiria yatokanayo!.
 
Kupambana na Sofia Simba ni kupambana na Edward Ngoyai Lowassa. Ni sawa na mchicha kupambana na mbuyu.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom