Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
Halafu unakuta una familia kabisaRussia hakuna until wowote inatawaliwa na kikundi kidogo cha mafisadi wakiongozwa na Putin.Hawataki kuachia madaraka walijua wakiondoka tu Takukuru ya Urusi inao
Hao wote uliwataja mali zao za mabilioni na pesa mabilioni zimekuwa frozen nchi za Magharibi
Vikwazo wamewekewa wao na familia zao
Ile vita sio Kuwa anapigana na Ukraine la.Yeye kavamia Ukraine kisa aliota kuwa kuna siku Ukraine watakuja mvamia.Hivi mtu unaota tu halafu unaenda fanya uharibifu kama ule Ukraine kweli? Mtu hajakuvamia .
Alichofanya Urusi kinatakiwa kulaaniwa ns kila binadamu mwenye akili timamu si cha kufanya kwenye dunia ya kistaarabu ya sasa hivi