kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,469
- 4,904
- Thread starter
- #61
Acheni kukaririshwa mambo ya ajabu. Hiyo mifumo nani anaii oparate.Nchi zilizofanikiwa ziliachana na utamaduni wakutegemea watu,wakawekeza kwenye mifumo imara inayosimamia kila sekta ndo maana mambo yao mengi yanaenda kwenye mtiririko miaka mingi ata kama viongozi watakua wanabadilika.Hayo mambo yakua na hao unaowaita nguli wakukaa muda mrefu wala sio msaada kwa nchi kama watakua hawajali kuboresha maisha ya wananchi wao.na mifano ipo mingi ,wengi wao wanaishia kua mafisadi.Hao nguli wa urusi wengi ni rafiki zake na putin nasio kwamba kuna chochote cha maana zaidi ya kikundi cha wachache kula mema ya nchi.
Brother soma historia hakuna Taifa limewahi kuinuka bila kuwa na kiongoza au viongozi shupavu. Hao US, Britain sijui German na wengine. Wapo hapo kwa sababu wapo viongozi shupavu waliwahi kuwapata, wakafanya makubwa. Endeleeni lidanganyana eti mifumo.
Hao wenye mifumo mbona wanacharuana kila mwaka. Si waache hiyo mifumo iwaongoze.