Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,194
- 10,929
Urusi baada ya kupata ushindi mnono kule Advidika dhidi ya Ukraine imejiona ina wajibu wa kushauriana na makundi yote ya kipalestina wakati ambapo vita vya Gaza navyo viko ukingoni kumalizika.
Inawezekana harakati hizo za Urusi ni kupiga hatua za mbele za mbele katika mchakato wa kuundwa kwa taifa la Palestina kuwahi kupata ushawishi mkubwa kwenye taifa hilo jipya ambalo tayari mataifa kadhaa ya Ulaya yameshatoa wito kwa Benjamin Netanyahu aondoe vikwazo vyake visivyokuwa na mashiko kuhusiana na taifa hilo.
Makundi yaliyoalikwa huko Moscow ni pamoja na Hamas wenyewe,Islamic Jihad yenye makao makuu Syria,PLO iliyoanzishwa na Yasser Arafat na makundi kadhaa mengine.kIkao hicho kinatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Katika siku za karibuni viongozi wa Ufaransa,Uiengereza,Hispania na Ujerumani wamekuwa wakimshinikiza sana waziri mkuu wa Israel aache vipingamizi dhidi ya uundwajji wa taifa la Palestina.Macron wa Ufaransa amesema taarifa za kudai kuundwa kwa taifa la Palestina si siri tena na kwamba anataka ifanyike haraka.
Raisi wa Brazil kwa upande wake amepuuza sasa madai ya vifo vingi vya holocast.
Russia invites Palestinian factions to meet next week: Palestinian Authority PM
Inawezekana harakati hizo za Urusi ni kupiga hatua za mbele za mbele katika mchakato wa kuundwa kwa taifa la Palestina kuwahi kupata ushawishi mkubwa kwenye taifa hilo jipya ambalo tayari mataifa kadhaa ya Ulaya yameshatoa wito kwa Benjamin Netanyahu aondoe vikwazo vyake visivyokuwa na mashiko kuhusiana na taifa hilo.
Makundi yaliyoalikwa huko Moscow ni pamoja na Hamas wenyewe,Islamic Jihad yenye makao makuu Syria,PLO iliyoanzishwa na Yasser Arafat na makundi kadhaa mengine.kIkao hicho kinatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Katika siku za karibuni viongozi wa Ufaransa,Uiengereza,Hispania na Ujerumani wamekuwa wakimshinikiza sana waziri mkuu wa Israel aache vipingamizi dhidi ya uundwajji wa taifa la Palestina.Macron wa Ufaransa amesema taarifa za kudai kuundwa kwa taifa la Palestina si siri tena na kwamba anataka ifanyike haraka.
Raisi wa Brazil kwa upande wake amepuuza sasa madai ya vifo vingi vya holocast.
Russia invites Palestinian factions to meet next week: Palestinian Authority PM