Urusi kukutana na makundi yote ya kipalestina kwa mashauriano. Ni mchakato wa kuundwa taifa huru la Palestina

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Urusi baada ya kupata ushindi mnono kule Advidika dhidi ya Ukraine imejiona ina wajibu wa kushauriana na makundi yote ya kipalestina wakati ambapo vita vya Gaza navyo viko ukingoni kumalizika.
Inawezekana harakati hizo za Urusi ni kupiga hatua za mbele za mbele katika mchakato wa kuundwa kwa taifa la Palestina kuwahi kupata ushawishi mkubwa kwenye taifa hilo jipya ambalo tayari mataifa kadhaa ya Ulaya yameshatoa wito kwa Benjamin Netanyahu aondoe vikwazo vyake visivyokuwa na mashiko kuhusiana na taifa hilo.
Makundi yaliyoalikwa huko Moscow ni pamoja na Hamas wenyewe,Islamic Jihad yenye makao makuu Syria,PLO iliyoanzishwa na Yasser Arafat na makundi kadhaa mengine.kIkao hicho kinatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Katika siku za karibuni viongozi wa Ufaransa,Uiengereza,Hispania na Ujerumani wamekuwa wakimshinikiza sana waziri mkuu wa Israel aache vipingamizi dhidi ya uundwajji wa taifa la Palestina.Macron wa Ufaransa amesema taarifa za kudai kuundwa kwa taifa la Palestina si siri tena na kwamba anataka ifanyike haraka.
Raisi wa Brazil kwa upande wake amepuuza sasa madai ya vifo vingi vya holocast.
Russia invites Palestinian factions to meet next week: Palestinian Authority PM
 
Uhuru wa Palestina hauwezi kupatikana bila usuluhishi wa pande zote 2 kuhusishwa na kukubaliana. Palestina atataka baadhi ya maeneo na miji kutoka Israel ili aanzishe taifa hilo, je Israel atakubali takwa hilo? Hicho kitu haliwezekani, jambo jema ambalo lingezaa matunda ni kuundwa kwa taifa moja tu la jamuhuri ya muungano wa Israel na Palestina ili iwe jamii moja, Hamas waache misimamo yao ya kidini. Bila hivyo itazuka vita vya 3 vya dunia, Israel hatanii na wala hawezi kuogopa mikwara ya Russia, China hata USA, tusubiri vita vikali sana kati ya Israel na maarifa ya kiarabu
 
Uhuru wa Palestina hauwezi kupatikana bila usuluhishi wa pande zote 2 kuhusishwa na kukubaliana. Palestina atataka baadhi ya maeneo na miji kutoka Israel ili aanzishe taifa hilo, je Israel atakubali takwa hilo? Hicho kitu haliwezekani, jambo jema ambalo lingezaa matunda ni kuundwa kwa taifa moja tu la jamuhuri ya muungano wa Israel na Palestina ili iwe jamii moja, Hamas waache misimamo yao ya kidini. Bila hivyo itazuka vita vya 3 vya dunia, Israel hatanii na wala hawezi kuogopa mikwara ya Russia, China hata USA, tusubiri vita vikali sana kati ya Israel na maarifa ya kiarabu
Kama Israel hatanii basi na wengine nao hawana utani pia.Watambana mpaka ataachia taifa liundwe kwa usalala wake.
 
Hiyo ardhi ilipogawanywa na UN Israel walipewa 55% na Wapalestina wakapewa 45% wakakataa wakitaka 100% yote. Wapalestina mpaka leo kuna makundi yanataka maeneo ambayo Israel haiwezi yatoa nayo yawe sehemu ya Palestina. Au wengine wanataka kabisa Israel ifutike waende sijui wapi na ardhi nzima iwe Palestina.

Kama unadhani Israel inatishika na mikutano wewe jidanganye tu, hiyo ni mikwara mbuzi kwao. Hakuna taifa la Palestina litaanzishwa kwa maeneo yaleyale wanayodai Wapalestina. Na hakuna taifa lolote litailazimisha Israel ikubali taifa la Palestina kinyume na msimamo wao wa do or die.

Pale suluhu ilikuwa ni mataifa mawili jambo ambalo wote hawataki. Huwezi wafukuza Wapalestina sababu walipolowea hapo baada ya Waisraeli kupigwa na Babylonian empire, utawala wa Byzantine, Roman empire na Muslim crusaders walizaliana hivyo ni kwao. Waisraeli walikimbia eneo lao sababu ya kuteswa na kunyanyaswa na kila jirani na kila state, hawakuikana au kuisahau ardhi yao (rejea wimbo wao wa taifa - Hatikva). Walikuwa goigoi, leo hii huwatoi hapo bora uwaue.

Huwezi waondoa Waisraeli sababu zaidi ya miaka 1400 nyuma ile ni ardhi yao, wana historia nayo na ushahidi kama magofu ya temple ya Suleiman upo.

Kwa akili ya kawaida tu, jiulize Wayahudi kwao wapi? Walijikusanya kutoka Uingereza, Ufaransa, Marekani, Canada, Misri, Uturuki, Urusi na kote uko walikuwa na tamaduni zilezile, lugha ileile na dini ileile. Kwahiyo Myahudi wa Marekani ilitokea zari tu akafanana kilakitu na Myahudi wa Uturuki maelfu ya kilometers mbalimbali? Jibu ni lazima kuna chimbuko lao, ndio hapo Israel sasa.

Ukitaka kuunda Palestina kwa masharti ya Wapalestina hawa basi waue Waisraeli wote. Nao wamejipanga kukusubiri, wakiwa na machungu na hasira za kuzunguka dunia nzima wakinyanyaswa kisa wamekimbia kwao. Sasa jichanganye waweke pembeni sheria za kimataifa waingie kwenye death mode.
 
Urusi baada ya kupata ushindi mnono kule Advidika dhidi ya Ukraine imejiona ina wajibu wa kushauriana na makundi yote ya kipalestina wakati ambapo vita vya Gaza navyo viko ukingoni kumalizika.
Inawezekana harakati hizo za Urusi ni kupiga hatua za mbele za mbele katika mchakato wa kuundwa kwa taifa la Palestina kuwahi kupata ushawishi mkubwa kwenye taifa hilo jipya ambalo tayari mataifa kadhaa ya Ulaya yameshatoa wito kwa Benjamin Netanyahu aondoe vikwazo vyake visivyokuwa na mashiko kuhusiana na taifa hilo.
Makundi yaliyoalikwa huko Moscow ni pamoja na Hamas wenyewe,Islamic Jihad yenye makao makuu Syria,PLO iliyoanzishwa na Yasser Arafat na makundi kadhaa mengine.kIkao hicho kinatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Katika siku za karibuni viongozi wa Ufaransa,Uiengereza,Hispania na Ujerumani wamekuwa wakimshinikiza sana waziri mkuu wa Israel aache vipingamizi dhidi ya uundwajji wa taifa la Palestina.Macron wa Ufaransa amesema taarifa za kudai kuundwa kwa taifa la Palestina si siri tena na kwamba anataka ifanyike haraka.
Raisi wa Brazil kwa upande wake amepuuza sasa madai ya vifo vingi vya holocast.
Russia invites Palestinian factions to meet next week: Palestinian Authority PM
UONGO mtupu..
Hiyo link haisemi hivyo. Kinachoongelewa hapo ni Urusi kujaribu kufanya upatanishi wa makundi hasimu ya Palestina.
Na hili siyo jipya, wameshajaribu mara kadhaa bila mafanikio..
-‐--------------------------
Palestinian Authority's Mohammed Shtayyah has revealed that Russia is set to host Palestinian factions for reconcilliation talks in its capital.

"Russia has invited all Palestinian factions who will be meeting on the 26 of this month in Moscow. We will see if Hamas is ready to come to the ground with us" Mohammad Shtayyeh told the Munich Security Conference.

Hamas has always welcomed Russian reconciliation efforts. Leaders of the Palestinian Islamist factions have repeatedly visited Moscow, which maintains good relations with Hamas.

Hamas and the Palestinian Authority have failed to end their power disputes since 2007. Hamas and the smaller Islamic Jihad group demand to join the PLO but say it should be reformed.......
 
wao waarabu ndo walizingua mwaka 1948 hii iwe fundisho kwa waislam muache kulia kulia kwenye kila kitu , waarabu walipewa eneo kubwa ila wakakataa wakataka na eneo la israel ndipo walipoferi na wakapoteza hata lile eneo kubwa walilopewa
Wakati wanapewa kwani walikua wapi kwao hawapajui au ilikuaje
 
Back
Top Bottom