kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,469
- 4,904
Hili ni somo ambalo Urusi wamelitumia na likawapa mafanikio makubwa sana hasa ndani ya hii miongo miwili ya Rais Putin.
Ni somo ambalo China sasa wamelichukua na naona linaendelea kuwalipa. Hata jirani zetu Rwanda linawalipa.
Ni somo la kuwapa viongozi Nguli na waandamizi muda wa kutosha kusimamia mipango ya muda mrefu na kupanga mipya. Kwenye sakata linalogonga vichwa mwezi Sasa kati ya Urusi na Ukraine(NATO) Kuna miamba kadhaa upande wa Urusi inasikika mara kwa mara, matharani.
1. PUTIN.
2.Sergei Lovrov, Waziri wa mambo ya nje.
3. Dmitry Peskov, Msemaji wa Ikulu na na Deputy chief of staff.
4. Anatoly Antonov, Balozi wa Urusi Marekani.
5. Sergei Ivanov, Mkuu wa baraza la usalama.
6..Dmitry Medvedev, Naibu Mwnyekiti baraza la Taifa la usalama.
7.Sergei Shoigu. Waziri wa Ulinzi.
Ndugu zanguni hawa ni miamba wachache ambao nimeona angalau nitolee mfano.
Ukiwaangalia hawa watu kila mtu ni nguli wa eneo fulani na wapo kwenye serikali si chini ya miaka 10.
Miamba wanaweza wakawa wanahama kutoka eneo moja kwenda lingine lakini wapo.
Ukichukua serikali nyingi za sasa hata US ukawapambanisha na hawa Miamba ni kama unawaonea tu aise. Yaani Hawa maimba ni Galaticos.
Putin yupo hapo tangu 2000, amepambana na Bush, Obama na kisiki Trump. Amepitia mikiki mikiki anawajua US and Co in and out. Babu Biden kwake Hana jipya.
Sergei Lavrov yupo foreign ministry tangu 2004. Amepambana na Condi, amepambana na kina Pompeo and Co. Huyu Blinken anamuona mrembo tu aise.Kabla ya hapo alikuwa balozi umoja wa mataifa, anazijua Kona zote, diplomasia imekaa. Miaka 18 kwenye foreign ministry.
Mwamba Peskov yupo Klemrin tangu miaka ya 2006. Ni mwamba kweli kweli kwenye usemaji. Anawajua Westerners inje ndani hawampi kichwa hata kidogo kwenye propaganda aise. Jumlisha mwamba Anatoly Antonov, amewahi kuwa naibu waziri wa Ulinzi na mambo ya nje, Dmitry Medvedev, Sergei Ivanov.N.k.
Kwahiyo ukiona Urusi anawatoa watu kamasi, moja ya msingi ni huu, kuwa na Nguli, na veterans kwenye maeneo tofauti tofauti ambao wanajua uhuni wote wa dunia hii. Ambao wanajua chocho zote na wanaoweza kupanga Jambo likapangika.
Sisi huku kila baada ya miaka miwili sura mpya, hawajulikani wametoka wapi. Anayejitahidi anakaa miaka mitano na wale wanaodumu ni wale wenye sifa za uchawa, very unproffesionall.
Yaani kwetu ukimuangalia waziri huoni ule uzito kwenye nafasi aliyopo. Huoni kitu Cha maana alichokifanya hapo alipo.
Wizara ukiifanyia tathmini leo haina tofauti na ilivyokuwa 2004. Labda yamebadilika majengo, magari na watu. Huoni Wanaume wa shoka waliokaa pale wanaosimamia vitu vya maana. Ni watu wanakuja wanapiga salary ya waziri wanaondoka, anakuja mwingine anapiga Salary anaondoka.
Ndugu zanguni kwa mtindo huu ni k hatuwezi kupiga hatua.
Nadhani tufike mahali tuweke utaratibu tuwape viongozi waandamizi mda wa kutosha, wapange mipango, watafute wandani wao wa kuwasaidia kusimamia mipango. Miaka mitano ni mda wa kujifunza. Baada ya hapo aangalau wapewe miaka mingine 10 ili sasa wafanye kazi. Tuanze na Chifu, tumpe hadi 2035.
Baada ya miaka hii minne atakuwa amejifunza Sasa baada ya hapo ataanza kupanga na kusimamia mipango ya Inchi na atafafuta watu wa kumsaidia ambao ni nguli na ambao atawaamini kwa mda mrefu atakuwa ameilewa serikali na atakuwa amepata nafasi ya kuwajua vizuri watu wanaomfaa. Hatahadaika na vipara na miwani au skafu za kijani.
Ndugu zanguni hata hapa kwetu somo lipo. Hapo tu Ufipa, CHADEMA imekua taasisi imara kwakuwa yupo mwamba, ameaminiwa na akapewa mda wa kutosha karibia 18 sasa. Amejifunza akazielewaa siasa na sasa za bongo na anawatoa kamasi wanakijani, ameijenga CDM. Sasa ni Taasisi imara kiasi kwamba 2015 Watanzania walitaka kuipa dora. Kama tunaona Urusi mbali tuchukue basi hata hilo somo la hapo Ufipa.
Tunazidiwa akili hadi na Zito jamani. Mkuu wa Chama, Ayatola, mbona ameshaliona mapema hilo, akaazima pale Tehran.
Ni somo ambalo China sasa wamelichukua na naona linaendelea kuwalipa. Hata jirani zetu Rwanda linawalipa.
Ni somo la kuwapa viongozi Nguli na waandamizi muda wa kutosha kusimamia mipango ya muda mrefu na kupanga mipya. Kwenye sakata linalogonga vichwa mwezi Sasa kati ya Urusi na Ukraine(NATO) Kuna miamba kadhaa upande wa Urusi inasikika mara kwa mara, matharani.
1. PUTIN.
2.Sergei Lovrov, Waziri wa mambo ya nje.
3. Dmitry Peskov, Msemaji wa Ikulu na na Deputy chief of staff.
4. Anatoly Antonov, Balozi wa Urusi Marekani.
5. Sergei Ivanov, Mkuu wa baraza la usalama.
6..Dmitry Medvedev, Naibu Mwnyekiti baraza la Taifa la usalama.
7.Sergei Shoigu. Waziri wa Ulinzi.
Ndugu zanguni hawa ni miamba wachache ambao nimeona angalau nitolee mfano.
Ukiwaangalia hawa watu kila mtu ni nguli wa eneo fulani na wapo kwenye serikali si chini ya miaka 10.
Miamba wanaweza wakawa wanahama kutoka eneo moja kwenda lingine lakini wapo.
Ukichukua serikali nyingi za sasa hata US ukawapambanisha na hawa Miamba ni kama unawaonea tu aise. Yaani Hawa maimba ni Galaticos.
Putin yupo hapo tangu 2000, amepambana na Bush, Obama na kisiki Trump. Amepitia mikiki mikiki anawajua US and Co in and out. Babu Biden kwake Hana jipya.
Sergei Lavrov yupo foreign ministry tangu 2004. Amepambana na Condi, amepambana na kina Pompeo and Co. Huyu Blinken anamuona mrembo tu aise.Kabla ya hapo alikuwa balozi umoja wa mataifa, anazijua Kona zote, diplomasia imekaa. Miaka 18 kwenye foreign ministry.
Mwamba Peskov yupo Klemrin tangu miaka ya 2006. Ni mwamba kweli kweli kwenye usemaji. Anawajua Westerners inje ndani hawampi kichwa hata kidogo kwenye propaganda aise. Jumlisha mwamba Anatoly Antonov, amewahi kuwa naibu waziri wa Ulinzi na mambo ya nje, Dmitry Medvedev, Sergei Ivanov.N.k.
Kwahiyo ukiona Urusi anawatoa watu kamasi, moja ya msingi ni huu, kuwa na Nguli, na veterans kwenye maeneo tofauti tofauti ambao wanajua uhuni wote wa dunia hii. Ambao wanajua chocho zote na wanaoweza kupanga Jambo likapangika.
Sisi huku kila baada ya miaka miwili sura mpya, hawajulikani wametoka wapi. Anayejitahidi anakaa miaka mitano na wale wanaodumu ni wale wenye sifa za uchawa, very unproffesionall.
Yaani kwetu ukimuangalia waziri huoni ule uzito kwenye nafasi aliyopo. Huoni kitu Cha maana alichokifanya hapo alipo.
Wizara ukiifanyia tathmini leo haina tofauti na ilivyokuwa 2004. Labda yamebadilika majengo, magari na watu. Huoni Wanaume wa shoka waliokaa pale wanaosimamia vitu vya maana. Ni watu wanakuja wanapiga salary ya waziri wanaondoka, anakuja mwingine anapiga Salary anaondoka.
Ndugu zanguni kwa mtindo huu ni k hatuwezi kupiga hatua.
Nadhani tufike mahali tuweke utaratibu tuwape viongozi waandamizi mda wa kutosha, wapange mipango, watafute wandani wao wa kuwasaidia kusimamia mipango. Miaka mitano ni mda wa kujifunza. Baada ya hapo aangalau wapewe miaka mingine 10 ili sasa wafanye kazi. Tuanze na Chifu, tumpe hadi 2035.
Baada ya miaka hii minne atakuwa amejifunza Sasa baada ya hapo ataanza kupanga na kusimamia mipango ya Inchi na atafafuta watu wa kumsaidia ambao ni nguli na ambao atawaamini kwa mda mrefu atakuwa ameilewa serikali na atakuwa amepata nafasi ya kuwajua vizuri watu wanaomfaa. Hatahadaika na vipara na miwani au skafu za kijani.
Ndugu zanguni hata hapa kwetu somo lipo. Hapo tu Ufipa, CHADEMA imekua taasisi imara kwakuwa yupo mwamba, ameaminiwa na akapewa mda wa kutosha karibia 18 sasa. Amejifunza akazielewaa siasa na sasa za bongo na anawatoa kamasi wanakijani, ameijenga CDM. Sasa ni Taasisi imara kiasi kwamba 2015 Watanzania walitaka kuipa dora. Kama tunaona Urusi mbali tuchukue basi hata hilo somo la hapo Ufipa.
Tunazidiwa akili hadi na Zito jamani. Mkuu wa Chama, Ayatola, mbona ameshaliona mapema hilo, akaazima pale Tehran.