Somo kutoka Urusi: Ili Taifa lipate mafanikio lazima kuwe na "consistency" kwa viongozi wa wandamizi na nguli

kajekudya

JF-Expert Member
Sep 24, 2015
2,469
4,904
Hili ni somo ambalo Urusi wamelitumia na likawapa mafanikio makubwa sana hasa ndani ya hii miongo miwili ya Rais Putin.

Ni somo ambalo China sasa wamelichukua na naona linaendelea kuwalipa. Hata jirani zetu Rwanda linawalipa.

Ni somo la kuwapa viongozi Nguli na waandamizi muda wa kutosha kusimamia mipango ya muda mrefu na kupanga mipya. Kwenye sakata linalogonga vichwa mwezi Sasa kati ya Urusi na Ukraine(NATO) Kuna miamba kadhaa upande wa Urusi inasikika mara kwa mara, matharani.

1. PUTIN.
2.Sergei Lovrov, Waziri wa mambo ya nje.
3. Dmitry Peskov, Msemaji wa Ikulu na na Deputy chief of staff.
4. Anatoly Antonov, Balozi wa Urusi Marekani.
5. Sergei Ivanov, Mkuu wa baraza la usalama.
6..Dmitry Medvedev, Naibu Mwnyekiti baraza la Taifa la usalama.
7.Sergei Shoigu. Waziri wa Ulinzi.

Ndugu zanguni hawa ni miamba wachache ambao nimeona angalau nitolee mfano.
Ukiwaangalia hawa watu kila mtu ni nguli wa eneo fulani na wapo kwenye serikali si chini ya miaka 10.
Miamba wanaweza wakawa wanahama kutoka eneo moja kwenda lingine lakini wapo.
Ukichukua serikali nyingi za sasa hata US ukawapambanisha na hawa Miamba ni kama unawaonea tu aise. Yaani Hawa maimba ni Galaticos.

Putin yupo hapo tangu 2000, amepambana na Bush, Obama na kisiki Trump. Amepitia mikiki mikiki anawajua US and Co in and out. Babu Biden kwake Hana jipya.

Sergei Lavrov yupo foreign ministry tangu 2004. Amepambana na Condi, amepambana na kina Pompeo and Co. Huyu Blinken anamuona mrembo tu aise.Kabla ya hapo alikuwa balozi umoja wa mataifa, anazijua Kona zote, diplomasia imekaa. Miaka 18 kwenye foreign ministry.

Mwamba Peskov yupo Klemrin tangu miaka ya 2006. Ni mwamba kweli kweli kwenye usemaji. Anawajua Westerners inje ndani hawampi kichwa hata kidogo kwenye propaganda aise. Jumlisha mwamba Anatoly Antonov, amewahi kuwa naibu waziri wa Ulinzi na mambo ya nje, Dmitry Medvedev, Sergei Ivanov.N.k.

Kwahiyo ukiona Urusi anawatoa watu kamasi, moja ya msingi ni huu, kuwa na Nguli, na veterans kwenye maeneo tofauti tofauti ambao wanajua uhuni wote wa dunia hii. Ambao wanajua chocho zote na wanaoweza kupanga Jambo likapangika.
Sisi huku kila baada ya miaka miwili sura mpya, hawajulikani wametoka wapi. Anayejitahidi anakaa miaka mitano na wale wanaodumu ni wale wenye sifa za uchawa, very unproffesionall.

Yaani kwetu ukimuangalia waziri huoni ule uzito kwenye nafasi aliyopo. Huoni kitu Cha maana alichokifanya hapo alipo.
Wizara ukiifanyia tathmini leo haina tofauti na ilivyokuwa 2004. Labda yamebadilika majengo, magari na watu. Huoni Wanaume wa shoka waliokaa pale wanaosimamia vitu vya maana. Ni watu wanakuja wanapiga salary ya waziri wanaondoka, anakuja mwingine anapiga Salary anaondoka.

Ndugu zanguni kwa mtindo huu ni k hatuwezi kupiga hatua.
Nadhani tufike mahali tuweke utaratibu tuwape viongozi waandamizi mda wa kutosha, wapange mipango, watafute wandani wao wa kuwasaidia kusimamia mipango. Miaka mitano ni mda wa kujifunza. Baada ya hapo aangalau wapewe miaka mingine 10 ili sasa wafanye kazi. Tuanze na Chifu, tumpe hadi 2035.

Baada ya miaka hii minne atakuwa amejifunza Sasa baada ya hapo ataanza kupanga na kusimamia mipango ya Inchi na atafafuta watu wa kumsaidia ambao ni nguli na ambao atawaamini kwa mda mrefu atakuwa ameilewa serikali na atakuwa amepata nafasi ya kuwajua vizuri watu wanaomfaa. Hatahadaika na vipara na miwani au skafu za kijani.

Ndugu zanguni hata hapa kwetu somo lipo. Hapo tu Ufipa, CHADEMA imekua taasisi imara kwakuwa yupo mwamba, ameaminiwa na akapewa mda wa kutosha karibia 18 sasa. Amejifunza akazielewaa siasa na sasa za bongo na anawatoa kamasi wanakijani, ameijenga CDM. Sasa ni Taasisi imara kiasi kwamba 2015 Watanzania walitaka kuipa dora. Kama tunaona Urusi mbali tuchukue basi hata hilo somo la hapo Ufipa.

Tunazidiwa akili hadi na Zito jamani. Mkuu wa Chama, Ayatola, mbona ameshaliona mapema hilo, akaazima pale Tehran.
 
Uganda wana mafanikio gani kwa muda waliompas kiongozi nguli, Museveni?
DRC walipata mafanikio gani kwa Mobutu? Zimbabwe kwa Museveni? Au Angola kwa Dosantos?

Hayo mtaifa unaweza kuyalinganisha na mataifa ya kidemokrasia Africa kama Botwasna, South Africa, Kenya, Ghana, Nigeria?
Sio lazima Hawa manguli wawe ni marais. Hujaipata concept yake. Kuhusu rais Samia kupewa muda mrefu wa kutawala naikataa
 
Urusi ndio nchi yenye mafanikio zaidi duniani? GDP yake ni ngapi? GDP per capita ni ngapi? HDI yake ipoje? wnanchi wake wana furaha kiasi gani?
acha upumbavu, mkitaka kuongozwa n madikteta nendeni Burundi au Uganda hapo
Mkuu naona unapenda ubishi. Unalazimika ambavyo hata sijaviongelea Ila mradi tu uonekane unaujua uchumi.
 
Russia hakuna uzalendo wowote Russia inatawaliwa na kikundi kidogo cha mafisadi wakiongozwa na Putin.Hawataki kuachia madaraka walijua wakiondoka tu Takukuru ya Urusi inao

Hao wote uliwataja mali zao za mabilioni na pesa mabilioni zimekuwa frozen nchi za Magharibi

Vikwazo wamewekewa wao na familia zao
Ile vita sio Kuwa anapigana na Ukraine la.Yeye kavamia Ukraine kisa aliota kuwa kuna siku Ukraine watakuja mvamia.Hivi mtu unaota tu halafu unaenda fanya uharibifu kama ule Ukraine kweli? Mtu hajakuvamia .

Alichofanya Urusi kinatakiwa kulaaniwa na kila binadamu mwenye akili timamu si cha kufanya kwenye dunia ya kistaarabu ya sasa hivi
 
Russia hakuna until wowote inatawaliwa na kikundi kidogo cha mafisadi wakiongozwa na Putin.Hawataki kuachia madaraka walijua wakiondoka tu Takukuru ya Urusi inao

Hao wote uliwataja mali zao za mabilioni na pesa mabilioni zimekuwa frozen nchi za Magharibi

Vikwazo wamewekewa wao na familia zao
Ile vita sio Kuwa anapigana na Ukraine la.Yeye kavamia Ukraine kisa aliota kuwa kuna siku Ukraine watakuja mvamia.Hivi mtu unaota tu halafu unaenda fanya uharibifu kama ule Ukraine kweli? Mtu hajakuvamia .

Alichofanya Urusi kinatakiwa kulaaniwa ns kila binadamu mwenye akili timamu si cha kufanya kwenye dunia ya kistaarabu ya sasa hivi
Umeandika ushubwada
 
Unajuu kuwa hata Raisi Wa Kongo Brazzavile yupo madarakani kwa miaka zaidi ya 30?
Word! Hapa nadhani panajadilika. Japo si kwa Rais tu. Hii badilisha ya marais ina athiri pia hata watoa maamuzi wa chini yao. Hivyo tunakosa muendelezo
 
kuruhusiwa na nani? anayepima kiongozi huyu ni mzuri anafaa kukaa muda mrefu ni nani?
Usalama wa taifa inatakiwa iwe na kitengo muhimu kama hicho..au Deep state. Wananchi most of the time, kama wameshiba hawajui kinaendelea nini
 
Hili ni somo ambalo Urusi wamelitumia na likawapa mafanikio makubwa sana hasa ndani ya hii miongo miwili ya Rais Putin.

Ni somo ambalo China sasa wamelichukua na naona linaendelea kuwalipa. Hata jirani zetu Rwanda linawalipa.

Ni somo la kuwapa viongozi Nguli na waandamizi muda wa kutosha kusimamia mipango ya muda mrefu na kupanga mipya. Kwenye sakata linalogonga vichwa mwezi Sasa kati ya Urusi na Ukraine(NATO) Kuna miamba kadhaa upande wa Urusi inasikika mara kwa mara, matharani.

PUTIN.
1.Sergei Lovrov, Waziri wa mambo ya nje.
2. Dmitry Peskov, Msemaji wa Ikulu na na Deputy chief of staff.
3. Anatoly Antonov, Balozi wa Urusi Marekani.
4. Sergei Ivanov, Mkuu wa baraza la usalama.
5.Dmitry Medvedev, Naibu Mwnyekiti baraza la Taifa la usalama.
6. Sergei Shoigu. Waziri wa Ulinzi.

Ndugu zanguni hawa ni miamba wachache ambao nimeona angalau nitolee mfano.
Ukiwaangalia hawa watu kila mtu ni nguli wa eneo fulani na wapo kwenye serikali si chini ya miaka 10.
Miamba wanaweza wakawa wanahama kutoka eneo moja kwenda lingine lakini wapo.
Ukichukua serikali nyingi za sasa hata US ukawapambanisha na hawa Miamba ni kama unawaonea tu aise. Yaani Hawa maimba ni Galaticos.

Putin yupo hapo tangu 2000, amepambana na Bush, Obama na kisiki Trump. Amepitia mikiki mikiki anawajua US and Co in and out. Babu Biden kwake Hana jipya.

Sergei Lavrov yupo foreign ministry tangu 2004. Amepambana na Condi, amepambana na kina Pompeo and Co. Huyu Blinken anamuona mrembo tu aise.Kabla ya hapo alikuwa balozi umoja wa mataifa, anazijua Kona zote, diplomasia imekaa. Miaka 18 kwenye foreign ministry.

Mwamba Peskov yupo Klemrin tangu miaka ya 2006. Ni mwamba kweli kweli kwenye usemaji. Anawajua Westerners inje ndani hawampi kichwa hata kidogo kwenye propaganda aise. Jumlisha mwamba Anatoly Antonov, amewahi kuwa naibu waziri wa Ulinzi na mambo ya nje, Dmitry Medvedev, Sergei Ivanov.N.k.

Kwahiyo ukiona Urusi anawatoa watu kamasi, moja ya msingi ni huu, kuwa na Nguli, na veterans kwenye maeneo tofauti tofauti ambao wanajua uhuni wote wa dunia hii. Ambao wanajua chocho zote na wanaoweza kupanga Jambo likapangika.
Sisi huku kila baada ya miaka miwili sura mpya, hawajulikani wametoka wapi. Anayejitahidi anakaa miaka mitano na wale wanaodumu ni wale wenye sifa za uchawa, very unproffesionall.

Yaani kwetu ukimuangalia waziri huoni ule uzito kwenye nafasi aliyopo. Huoni kitu Cha maana alichokifanya hapo alipo.
Wizara ukiifanyia tathmini leo haina tofauti na ilivyokuwa 2004. Labda yamebadilika majengo, magari na watu. Huoni Wanaume wa shoka waliokaa pale wanaosimamia vitu vya maana. Ni watu wanakuja wanapiga salary ya waziri wanaondoka, anakuja mwingine anapiga Salary anaondoka.

Ndugu zanguni kwa mtindo huu ni k hatuwezi kupiga hatua.
Nadhani tufike mahali tuweke utaratibu tuwape viongozi waandamizi mda wa kutosha, wapange mipango, watafute wandani wao wa kuwasaidia kusimamia mipango. Miaka mitano ni mda wa kujifunza. Baada ya hapo aangalau wapewe miaka mingine 10 ili sasa wafanye kazi. Tuanze na Chifu, tumpe hadi 2035.

Baada ya miaka hii minne atakuwa amejifunza Sasa baada ya hapo ataanza kupanga na kusimamia mipango ya Inchi na atafafuta watu wa kumsaidia ambao ni nguli na ambao atawaamini kwa mda mrefu atakuwa ameilewa serikali na atakuwa amepata nafasi ya kuwajua vizuri watu wanaomfaa. Hatahadaika na vipara na miwani au skafu za kijani.
Ndugu zanguni hata hapa kwetu somo lipo. Hapo tu Ufipa, CDM imekua taasisi imara kwakuwa yupo mwamba, ameaminiwa na akapewa mda wa kutosha karibia 18 sasa. Amejifunza akazielewaa siasa na sasa za bongo na anawatoa kamasi wanakijani, ameijenga CDM. Sasa ni Taasisi imara kiasi kwamba 2015 Watanzania walitaka kuipa dora.
Kama tunaona Urusi mbali tuchukue basi hata hilo somo la hapo Ufipa.

Tunazidiwa akili hadi na Zito jamani. Mkuu wa Chama, Ayatola, mbona ameshaliona mapema hilo, akaazima pale Tehran.
Yaani Kuna mijitu! Kwa hiyo Putin, Kagame, Mseven na wote waliokaa madarakani miaka mingi ndiyo Kigezo cha uongozi bora?
 
kajekudya Kuna kaukweli kwenye mada yako lakini hayo yote inategemea na utashi, utayari na vision ya Kiongozi husika. Ukiacha huko ng'ambo, hapa ndani tuna viongozi wa vyama vya siasa ambao wamekaa madarakani lakini angalia jinsi wallivyodunisha vyama' vyao; Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF n.k n.k.
 
Hili ni somo ambalo Urusi wamelitumia na likawapa mafanikio makubwa sana hasa ndani ya hii miongo miwili ya Rais Putin.

Ni somo ambalo China sasa wamelichukua na naona linaendelea kuwalipa. Hata jirani zetu Rwanda linawalipa.

Ni somo la kuwapa viongozi Nguli na waandamizi muda wa kutosha kusimamia mipango ya muda mrefu na kupanga mipya. Kwenye sakata linalogonga vichwa mwezi Sasa kati ya Urusi na Ukraine(NATO) Kuna miamba kadhaa upande wa Urusi inasikika mara kwa mara, matharani.

PUTIN.
1.Sergei Lovrov, Waziri wa mambo ya nje.
2. Dmitry Peskov, Msemaji wa Ikulu na na Deputy chief of staff.
3. Anatoly Antonov, Balozi wa Urusi Marekani.
4. Sergei Ivanov, Mkuu wa baraza la usalama.
5.Dmitry Medvedev, Naibu Mwnyekiti baraza la Taifa la usalama.
6. Sergei Shoigu. Waziri wa Ulinzi.

Ndugu zanguni hawa ni miamba wachache ambao nimeona angalau nitolee mfano.
Ukiwaangalia hawa watu kila mtu ni nguli wa eneo fulani na wapo kwenye serikali si chini ya miaka 10.
Miamba wanaweza wakawa wanahama kutoka eneo moja kwenda lingine lakini wapo.
Ukichukua serikali nyingi za sasa hata US ukawapambanisha na hawa Miamba ni kama unawaonea tu aise. Yaani Hawa maimba ni Galaticos.

Putin yupo hapo tangu 2000, amepambana na Bush, Obama na kisiki Trump. Amepitia mikiki mikiki anawajua US and Co in and out. Babu Biden kwake Hana jipya.

Sergei Lavrov yupo foreign ministry tangu 2004. Amepambana na Condi, amepambana na kina Pompeo and Co. Huyu Blinken anamuona mrembo tu aise.Kabla ya hapo alikuwa balozi umoja wa mataifa, anazijua Kona zote, diplomasia imekaa. Miaka 18 kwenye foreign ministry.

Mwamba Peskov yupo Klemrin tangu miaka ya 2006. Ni mwamba kweli kweli kwenye usemaji. Anawajua Westerners inje ndani hawampi kichwa hata kidogo kwenye propaganda aise. Jumlisha mwamba Anatoly Antonov, amewahi kuwa naibu waziri wa Ulinzi na mambo ya nje, Dmitry Medvedev, Sergei Ivanov.N.k.

Kwahiyo ukiona Urusi anawatoa watu kamasi, moja ya msingi ni huu, kuwa na Nguli, na veterans kwenye maeneo tofauti tofauti ambao wanajua uhuni wote wa dunia hii. Ambao wanajua chocho zote na wanaoweza kupanga Jambo likapangika.
Sisi huku kila baada ya miaka miwili sura mpya, hawajulikani wametoka wapi. Anayejitahidi anakaa miaka mitano na wale wanaodumu ni wale wenye sifa za uchawa, very unproffesionall.

Yaani kwetu ukimuangalia waziri huoni ule uzito kwenye nafasi aliyopo. Huoni kitu Cha maana alichokifanya hapo alipo.
Wizara ukiifanyia tathmini leo haina tofauti na ilivyokuwa 2004. Labda yamebadilika majengo, magari na watu. Huoni Wanaume wa shoka waliokaa pale wanaosimamia vitu vya maana. Ni watu wanakuja wanapiga salary ya waziri wanaondoka, anakuja mwingine anapiga Salary anaondoka.

Ndugu zanguni kwa mtindo huu ni k hatuwezi kupiga hatua.
Nadhani tufike mahali tuweke utaratibu tuwape viongozi waandamizi mda wa kutosha, wapange mipango, watafute wandani wao wa kuwasaidia kusimamia mipango. Miaka mitano ni mda wa kujifunza. Baada ya hapo aangalau wapewe miaka mingine 10 ili sasa wafanye kazi. Tuanze na Chifu, tumpe hadi 2035.

Baada ya miaka hii minne atakuwa amejifunza Sasa baada ya hapo ataanza kupanga na kusimamia mipango ya Inchi na atafafuta watu wa kumsaidia ambao ni nguli na ambao atawaamini kwa mda mrefu atakuwa ameilewa serikali na atakuwa amepata nafasi ya kuwajua vizuri watu wanaomfaa. Hatahadaika na vipara na miwani au skafu za kijani.

Ndugu zanguni hata hapa kwetu somo lipo. Hapo tu Ufipa, CHADEMA imekua taasisi imara kwakuwa yupo mwamba, ameaminiwa na akapewa mda wa kutosha karibia 18 sasa. Amejifunza akazielewaa siasa na sasa za bongo na anawatoa kamasi wanakijani, ameijenga CDM. Sasa ni Taasisi imara kiasi kwamba 2015 Watanzania walitaka kuipa dora. Kama tunaona Urusi mbali tuchukue basi hata hilo somo la hapo Ufipa.

Tunazidiwa akili hadi na Zito jamani. Mkuu wa Chama, Ayatola, mbona ameshaliona mapema hilo, akaazima pale Tehran.
Hiyo Urus haipo hata kumi bora ya inchi zenye uchumi mkubwa sasa sijui una of ngelea mafanikio gani. Halafu Russia ni moja ya inchi zilizokithiri kwa Rushwa
 
Labda useme wewe. Halafu nina hofu hata hujanielewa pamoja na ujuaji wako. And you can't drag me into what you want to.
Jadili nilichoandika acha ujuaji. Sawa.
Kama viongozi wa Urusi unadhani wanauwezo mkubwa wa kuongoza na kutoa maamuzi mazuri kuliko hawa wa kwetu,basi wasingeingia mkenge wa kuivamia Ukraine,uvamizi ambao umepelekea nchi za magharibi kuiwekea Urusi vikwazo vya uchumi ambavyo vimeirudisha Urusi miaka 50 nyuma kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom