Uchaguzi 2020 Sokoine, Mbeya: Magufuli asema Tulia amemsumbua sana kwa ajili ya maendeleo ya Mbeya, amuomba Joseph "Sugu" Mbilinyi kura

Acha kupotosha watanzania huujui hata uwanja wa sokoine....# Magu alikua viwanja vya AIRPORT YA ZAMANI
 
Anza wewe kufanya debate humu na siyo kejeli
Mimi sigombei Urais! Leo USA wamefanya the first debate.... incumbent Trump amepata 28% support... Biden 60%.... Hapa itakuwa 1% or less kwa incumbent.
 
Umejenga bwawa la umeme,SGR, mbona inapiga magoti tena babu?
 

Attachments

Mimi sigombei Urais! Leo USA wamefanya the first debate.... incumbent Trump amepata 28% support... Biden 60%.... Hapa itakuwa 1% or less kwa incumbent.
Sawa endelea kujilinganisha na USA...
 
Watu wamekuwa wanasombwa kwa mabasi na malori kutoka wilaya xote za mkoa wa Mbeya tangu jana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Point yako kuu hapa ni nini? Unataka watu wasiletwe kwenye mikutano kusikiliza sera au tatizo ni nini? Kama chadema hawana uwezo wa kufanya hayo basi wasione kuwa wengine kufanya hivyo ni kosa bali na wao wabuni mbinu nyingine za kuongeza watu kwenye mikutano yao ya kampeni.
 
Magufuli hafanyii mkutano kwenye uwanja wa Sokoine mbona? Anafanyia kwenye Airport ya zamani.
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
 
Hata sugu asiposhinda nna uhakika Magufuli atampa kazi nzuri sana maana huyu baba wa watu anateuaga yoyote

Maendeleo hayana vyama johnthebaptist 😁😁😁😁
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…