Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 3,783
- 11,912
Kwahiyo hiyo ndio kero ya Wanambeya?
Hii chambo iliyonona kabisa.Chambo + rushwa ya uchaguzi
Kuna kero nyingi lakini kupitia hiyo nyingi zinaweza kurahizishwa hasa kukiwa na Halmashauri mbili za wilaya ambazo kila moja itakuwa na bajeti yake.Kwahiyo hiyo ndio kero ya wana mbeya??
Dar ina Wilaya ngapi zimegawiwa vipi Hadi kuwa na Kanda maalumu za Kipolisi...Jiji la mbeya haliwez kugawika
Labda mbeya vijijini ndio inaweza kugawika Mara mbili
Mkuu unaijua Mbeya vizuri na aina ya wapiga kura wake?Ndio lakini ukiangalia ni kati ya ahadi nzito sana hasa alivyosema kikao cha kwanza ni kutekeleza hilo.
Hakuna Mwana Mbeya ambaye hapendi kitu kama hiki kitokee.
Kwa nn hajafanyia sokoine watu walimuwa wachacheChama cha Ufipa wanakuambia ndio ngome yao hiyo! Kwa ujio wa Magufuli leo ni kupigilia msumari tu. Tulia ashalichukua jiji hilo mapema asubuhi!.
Mkuu, sio kuogeshwa kweli na brashi sandarusiKupigwa mti
Wanambeya pigeni spana Kama kawa,nafasi aliyo kuwa nayo alituangusha Sana,hats kujikuta tuliko fika.Tusingefika huku tulipo.Amekiri kuwa yeye hakuwaacha wana Mbeya lakini sasa iwe basi kwani amemleta mtoto msomi ambaye yupo vizuri hili kuleta maendeleo kwa kasi ya ajabu hili kila Masafwa na Mnyakyusa ashangae mwenyewe lakini yule mtu mwenye sugu mwili mzima apigwa srabu mwili mzima awe mlaini kabisa na Mbeya iwe katika mstari...
Ha ha ha, yaani unapata wapi jeuri ya kuwaita vipanga vilaza au hii imo ndani ya DNA zenu. Una tofauti gani na bwana moja aliyewahi kuwaita watoto wa wengine vilaza kumbe yeye kawafuga kabisa home.We kweli kilaza! piga hesabu kwa watu 10000 kwa malipo ya 5000 ni sh ngapi ? Utawalipa ! Endeeleeni kuweweseka.