Debate wanafanya wanafunzi na mabeberu ili wawadanganye umbumbumbu wa ufipa!debate bila huyo aliyeko madarakani hainogi maana ndo anayejua jinsi serikali yake ilivyofanya kazi,au mnaogopa debate kwa vile hajui english wala kiswahili fasaha
Debate wanafanya wanafunzi na mabeberu ili wawadanganye umbumbumbu wa ufipa!debate bila huyo aliyeko madarakani hainogi maana ndo anayejua jinsi serikali yake ilivyofanya kazi,au mnaogopa debate kwa vile hajui english wala kiswahili fasaha
Kumbe lengo la debate ni kupima nani mahiri wa lugha! Hatuchagui mtaalam wa lugha, tunachagua kiongozi mkuu wa nchi kwa kuangalia anakwenda kusimamia sera zipi.debate bila huyo aliyeko madarakani hainogi maana ndo anayejua jinsi serikali yake ilivyofanya kazi,au mnaogopa debate kwa vile hajui english wala kiswahili fasaha
"WATCH LIVE: First presidential debate of 2020 - CNN" No live event at this time. - CNN
acheni kukwepa debate maana hamjui english wala kiswahili sanifu ,mgombea gani hata kiswahili hajuiKafanya debate na Robert Amsterdam!
sasa kinachotumika ni nini kama siyo lugha? Hayo maendeleo unayaelezea kwakutumia ishara kama bubu ?Kumbe lengo la debate ni kupima nani mahiri wa lugha! Hatuchagui mtaalam wa lugha, tunachagua kiongozi mkuu wa nchi kwa kuangalia anakwenda kusimamia sera zipi.
Wekeni MOTIONTunataka debate siyo kupiga magoti!
Unafikiri kishule zaidi sisi tulishatoka huko kwani tunashindana kujua lugha? Si uende shuleni ukashindane kujua lugha??!!acheni kukwepa debate maana hamjui english wala kiswahili sanifu ,mgombea gani hata kiswahili hajui
Bodyguard wanaona Mzee maji ya shingoHuyu mtu ameshaishiwa pumzi. View attachment 1585322View attachment 1585323
Hawa hapa wanagawiwa jezi waingie uwanjani baada ya mkutano zinakusanywa wanakwenda gawiwa mkutano mwingine wasiambukizane chawa tu.Mtaleta watu toka Mbeya nzima.
Academically thinking! Kumbe tunahangaika na watoto wa shule humu?Wekeni MOTION
Opposers na Propposers.
Napendekeza iwe
Samia ni bora kuliko Mwalimu.
Halafu Lisu awe Propposer na JPM awe Opposer
Wenye akili wanaelewa kinachoendelea.sasa kinachotumika ni nini kama siyo lugha? Hayo maendeleo unayaelezea kwakutumia ishara kama bubu ?
Kuna thread ulisema wee ccm damudamu utakuwa upo . Ukiimba ccm mbele kwa mbeleHao mtakao wapata kwenda kwenye mkutano kwa malipo ya 5,000 muwape muda wa kuchemsha viazi vitamu na kuchukua chupa za maji. Msishishe watu na njaa wengine ni wagonjwa.
Watapata akili majuma manne kuanzia leo.Academically thinking! Kumbe tunahangaika na watoto wa shule humu?
Labda nikulize ni nani asietaka kumuona daimond? Kipimo sahihi cha kujaza watu kingefanyika kama wasanii wasingetumikaSasa ni saa 0720 watu wamesha jaa ok safi sana
Cheza na kila sehemu lakini achana na Mbeya. Mbeya wameikataa CCM, Mbeya wamemkataa TULIA. Kila utakachokifanya ujue wao wana msimamo wao, watakuheshimu kama Rais kakini utashanga maamuzi yao. Mbeya watamchagua Sugu ndiye Rais wao na Mbunge wao. Mbeya watapiga kura na kuzilinda na wala msithubutu KUZIIBA. Damu itamwagika yaweza kuwa ya Polisi, Mkurugenzi wa Uchaguzi au mwananchi Lakini mwaka huu DHULUMA haina nafasi kwa Mbeya.Leo Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni katika mkoa wa Mbeya na mkutano huu utarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Star tv, ITV na mitandao mbalimbali.
Karibu.
Updates;
Uwanja umefurika wananchi wa itikadi mbalimbali na bendera zao hakika siasa siyo Uadui.
Viongozi mbalimbali wanaendelea kuwasili hapa uwanjani.