Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,084
- 41,581
😊☺️ Kuna tofauti Kati ya njaa na HAMU YA KULA.Guys nipo mkoa fulani sasa mchana nilikula ugali nikaleta zile mbwembwe za Dar za sili usiku zaidi ya matunda tu,
Sielewi nini kimetokea ila njaa inaniuma siwezi kulala na siwezi kutoka kutafuta chakula wala sina mtu ninayemjua nimuagize,
Tumbo linaunguruma, baridi kali kuna vibiscuti wala havitoshi, tumbo lataka chips kuku paja au ndizi choma mishikaki,
Nyie kumbe njaa inauma namna hii🙌🏻
Kujeni basi tupige story, i can't sleep😭
Wewe una hamu ya kula njaa ni noma ndugu.