kulala njaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr. Mariposa

    JamiiForums Tanzania Siwezi kulala njaa inauma, nipo ugenini

    Guys nipo mkoa fulani sasa mchana nilikula ugali nikaleta zile mbwembwe za Dar za sili usiku zaidi ya matunda tu, Sielewi nini kimetokea ila njaa inaniuma siwezi kulala na siwezi kutoka kutafuta chakula wala sina mtu ninayemjua nimuagize, Tumbo linaunguruma, baridi kali kuna vibiscuti wala...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nilifanya kazi iliyonitia aibu mwanzoni lakini ikanipa ujasiri wa kutambua ni heri kuaibika unapotafuta kuliko kufulia ukijifanya everything is ok

    Baada ya kumaliza form six nilirud mkoan, nyumbani nilikuwa sina cha kufanya, hakuna pesa, likizo ni ndefu sana. maisha yalikuwa ya kuamka, kula, kulala na kushinda vijiweni kupiga stori za mpira, mademu na matajiri. Nilihitaji pesa, nilienda kufanya kazi ya ukuli. asikuambie mtu kubeba...
  3. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Ni fani gani ukiwa nayo huwezi kulala njaa, popote duniani?

    Harakati za kuvuka boda zinaendelea Nikiwa kama up coming graduate, baada ya masomo siwezi kukaa bongo land Bora nikasafishe mitaro UK au Sweden huko kama vipi niwe mlinzi Dubai kuliko kuangaika bongo Kwa wale wataalamu na diasopora ni fani ipi nikiwa nayo nchi yoyote hata kama sijui Lugha...
  4. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kulala njaa tegemea pesa ambayo ipo kwenye mfuko wa mwenzako

    Kama unataka kulala njaa tegemea pesa ambayo ipo kwenye mfuko wa mtu mwingine. Usiache jua lizame kwa kuendelea kusubiri hela ambayo umeahidiwa kupitia kauli zifuatazo; (a) "Usijali leo uhakika nitakutumia baadae"😃 (b) "Nipo somewhere hakuna huduma ya pesa, nikirudi nitakutumia"😃 (c) "Nitumie...
Back
Top Bottom