Siwezi kulala njaa inauma, nipo ugenini

Siwezi kulala njaa inauma, nipo ugenini

Guys nipo mkoa fulani sasa mchana nilikula ugali nikaleta zile mbwembwe za Dar za sili usiku zaidi ya matunda tu,

Sielewi nini kimetokea ila njaa inaniuma siwezi kulala na siwezi kutoka kutafuta chakula wala sina mtu ninayemjua nimuagize,

Tumbo linaunguruma, baridi kali kuna vibiscuti wala havitoshi, tumbo lataka chips kuku paja au ndizi choma mishikaki,

Nyie kumbe njaa inauma namna hii🙌🏻
Kujeni basi tupige story, i can't sleep😭
Ushaanza kurogwa, ondoka huko haraka
 
13D9AB63-1E0A-47D5-8722-5CCE940F0E7B.jpeg

😆
 
Ahsante mkuu..hapo kati ni mwendo wa maji+electrolytes na plain black tea..

Hii huwa naifanya once per month.but nafanya 48hrs mpaka 54hrs once every week..na pia nafanya OMAD..sikumbuki mara ya mwisho kula milo miwili ni lini..
Mkuu hii OMAD imekaaje , ni afya kufanya hivi lakini pia unakua kwenye viwango imara sana vya kiroho,lazima tujichaji adui hawezi tukamchukulia poa lazima auone upande wapili wa kiroho moto tulionao huwa nafurahi sana kujichaji nguvu za kiroho
 
Back
Top Bottom