RRk nyRkrf👍
Elimu yake ni ya hapa na pale pia ni msimamisha mvua mzuri tu
Madrasa All~Kalyatu!! Ujanjaujanja Umerudi Tena
Ni darasa la SabaElimu yake ni Form Four tu ila tayari Maisha kashayakatia Denge! Elimu kubwa bila kuwa na pesa ni Upumbavu tuu
nimecheka kwa nguvu loohHata alieenda chuo ana nafuu. Au alipitiaga MEMKWA akatoroka!!?
Viongozi wetu wanaakisi jamii iliyobaki...Wananchi wanaochagua ndio waamuzi kwenye Elimu yake, Maana hapo katika lake walikuwemo wagombea wenye Elimu yaJuu na Sifa nyingine nyingi, Mwisho w siku raia wakaona Babu tale ndio mwenye dira ya hilo jimbo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Aliemuona bora ni magu sio wNanchiWananchi wanaochagua ndio waamuzi kwenye Elimu yake, Maana hapo katika lake walikuwemo wagombea wenye Elimu yaJuu na Sifa nyingine nyingi, Mwisho w siku raia wakaona Babu tale ndio mwenye dira ya hilo jimbo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app