Sina nia mbaya, naomba kujua Elimu ya Babu Tale

T
Wananchi wanaochagua ndio waamuzi kwenye Elimu yake, Maana hapo katika lake walikuwemo wagombea wenye Elimu yaJuu na Sifa nyingine nyingi, Mwisho w siku raia wakaona Babu tale ndio mwenye dira ya hilo jimbo.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Viongozi wetu wanaakisi jamii iliyobaki...
Yaani watu wazima kabisa na akili zao walipanga foleni na kumpitisha huyo jamaa!!
 
Back
Top Bottom