Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

Shida ya mpira wa miguu ikitokea makosa ya aina ile yanaweza kusababisha wachezaji kutoka nje ya mchezo. Na sidhani kama mnafahamu wachezaji wengi wa timu ndogo wanahisi mnapendelewa na waamuzi.
Let's say simba inapendelewa, vp yanga huwa haipendelewi?
 
Mumshukuru sasa GSM kwa kuwazawadia huu ushindi. Au ni Yanga pekee ndiyo huwa inashinda kwa bahasha za GSM!
😂😂😂😂 TM em utulie kdg, hii Simba itakupa presha buree, tulizana kwani.
Ubayaaaa ubwelaaaaa.
 
Mpira ulikuwa ni 50/50 mpaka pale mwamuzi alipo puliza filimbi na kuruhusu penati yenye utata kama ilivyo kawaida. Kwa hiyo naweza kusema mchezo ungeweza kuisha hata kwa sare.
sema umekosa ulichokuwa unatarijia kitokee, hivi tuwe wakweli tu simba icheze na pamba jiji halafu game iwe 50/50 kweli!!?,fuatilia hata kule shirikisho timu zote zilizocheza na simba zote haijawahi kuwa 50/50 zilikuwa zinazidiwa ndo maana wako fainali mpaka sasa.
Cha msingi kubali tu msimu huu simba ni wa neema kwao kinyume na hapo ukiendelea kushupaza shingo utapata changamoto ya afya ya akili.
 
Mtani Bill nimekusoma. Hizi maneno ni kwa sababu ya kufika fainali ama? 🤣🤣🤣

Mana sijakuzoea hivi eti. Lol.

#63,70,71. 🙌🙌
 
Hii Simba ni tamu kama kitumbua
20250508_070647.jpg
 
Mtaniiiii.
Tunavosema ubayaaa ubwelaaaa hatutaniii.
Tuna maanisha.
Kheri marefa wafungiwe na kunyang'anywa leseni ila Simba awe bingwa.

😂😂😂😂😂😂
Yaani 😅😅 acha tu Mtani bila shaka this time mumeamua. Hadi mmefanya naanza kuuchukia mpira. Lol 😔

Kama ile game iliyopita kabla ya hii ya jana nilikerekwa sana. Aaghhhh.
 
Yaani 😅😅 acha tu Mtani bila shaka this time mumeamua. Hadi mmefanya naanza kuuchukia mpira. Lol 😔

Kama ile game iliyopita kabla ya hii ya jana nilikerekwa sana. Aaghhhh.
😂😂😂😂
Hapo badoo, yajayo yatakufanya ukimbie kabisa.
Kuimba kupokeazana.
 
Mtani Bill nimekusoma. Hizi maneno ni kwa sababu ya kufika fainali ama? 🤣🤣🤣

Mana sijakuzoea hivi eti. Lol.

#63,70,71. 🙌🙌
Hapana mtani wangu, nimekuwa free na mapumziko kidogo ninachangamka na hawa vijana.

Ndio maana sijakutag mtani kwenye hizi porojo.😂😅

#Nguvu Moja😄
 
Mtani Bill nimekusoma. Hizi maneno ni kwa sababu ya kufika fainali ama? 🤣🤣🤣

Mana sijakuzoea hivi eti. Lol.

#63,70,71. 🙌🙌
😂😂😂😂😂😂

Kuna comments nimerudia kuzisoma mpaka nimecheka😂😂

Daah, huu utani huu raha sana
 
Wachezaji wa kitanzania pambaneni hata mkikaa benchi msibweteke sana unaweza kuanza benchi ila kama unajua unajua tu HUYU HUYU OKEJEPHA MECHI KARIBIA NYINGI HACHEZI LAKINI HAPA LEO ANACHEZA UTADHANI ANACHEZA KILA SIKU. ANA UTULIVU NA PASS ZINAFIKA KILA ENEO KIUFUPI HUYU JAMAA SIMBA HAWAMTENDEI HAKI JAMAA NI ANAJUA BOLU.
Nimemuangalia Jana ,jamaa anajua aisee ,sijajua kwanini anakosa namba
 
Hapana mtani wangu, nimekuwa free na mapumziko kidogo ninachangamka na hawa vijana.

Ndio maana sijakutag mtani kwenye hizi porojo.😂😅

#Nguvu Moja😄
Hahahaa. Na kweli umejua kuchangamka nao Mtani . 😂😂

Japo kuna saa ukatuchanganya woote. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom