Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

Sasa hivi Simba ushindi sio wa kuuliza. Lazima ishinde.
Iwe refa
Iwe penati
Iwe red card
Iwe dakika 140

Lazima tushinde tu. Ninyi jitahidi kuvichachisha viporo, lakini vitaliwa tu.
Hiyo ni maana halisi ya SimbaSC NguvuMoja #UbayaUbwela
 
Mimi nataka tu kufahamu kwenye hii mechi ya leo atachezesha nani kati ya wale waamuzi wetu maalum? Maana Kepha Kayombo tayari amechezesha dhidi ya Mashujaa na matokeo tumeyaona! Japhet Smart amechezesha dhidi ya JKT!

Bado amebakia Tatu Malogo tu ili mzunguko utimie! Au atarudishwa tena Kepha Kayombo?
Ubaya Ubwela
 
Kikosi Cha Babà Mnyama
 

Attachments

  • IMG_6658.jpeg
    IMG_6658.jpeg
    211.8 KB · Views: 26
Daaah kwa hali ya hewa hii na hichi kimvua goli 3 tutazipata kweli?
20250426_142137.jpg
 
mechi za mazingaombwe
Wakati Simba wanakuja na Ubaya Ubwela,

Mlikuwa bize mnanunua mechi kwa mfumo wa udhamini. Kaeni mtulie dawa iwaingie.

Mmebakiza chaka la mabingwa wa kihistoria ya mchongo
 
Wakati Simba wanakuja na Ubaya Ubwela,

Mlikuwa bize mnanunua mechi kwa mfumo wa udhamini. Kaeni mtulie dawa iwaingie.

Mmebakiza chaka la mabingwa wa kihistoria ya mchongo
ubaya ubwege una najisi soka safi
uwanjani bila msaada wa refa hutoboi
 
Back
Top Bottom