Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,133
- 17,493
Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Jumatano, Agosti 19, 2026, kwa michezo mitatu, huku Simba SC ikishuka dimbani kumenyana na Pamba Jiji FC katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni.
Simba inaingia uwanjani ikiwa ugenini, huku Pamba Jiji ikitafuta kutumia faida ya kucheza mbele ya mashabiki wake. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na umuhimu wa pointi tatu kwa kila upande katika mwendelezo wa msimu wa 2026/27.
VIKOSI VYA TIMU ZOTE
Kikosi cha Pamba FC
Kikosi cha Simba SC
19' Goooal - Chama
31' Goooal - Aura
Simba inaingia uwanjani ikiwa ugenini, huku Pamba Jiji ikitafuta kutumia faida ya kucheza mbele ya mashabiki wake. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na umuhimu wa pointi tatu kwa kila upande katika mwendelezo wa msimu wa 2026/27.
VIKOSI VYA TIMU ZOTE
Kikosi cha Pamba FC
Kikosi cha Simba SC
19' Goooal - Chama
31' Goooal - Aura