FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,133
Reaction score
17,493
Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Jumatano, Agosti 19, 2026, kwa michezo mitatu, huku Simba SC ikishuka dimbani kumenyana na Pamba Jiji FC katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni.

Simba inaingia uwanjani ikiwa ugenini, huku Pamba Jiji ikitafuta kutumia faida ya kucheza mbele ya mashabiki wake. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na umuhimu wa pointi tatu kwa kila upande katika mwendelezo wa msimu wa 2026/27.

VIKOSI VYA TIMU ZOTE



Kikosi cha Pamba FC


1787143187671.png

Kikosi cha Simba SC

1787142152530.png

19' Goooal - Chama
31' Goooal - Aura
 
Migogoro ya maneno ya viongozi kwa viongozi wa Simba na mashabiki kwa mashabiki wa Simba ni hatari sana Kwa mustakabali wa timu yetu ya Simba.
Simba akishinda Leo tumshukuru Mungu.
Uongozi wa Simba uvunje haya magegnge ya wanaoniita influencers.
Na wasipewe ruhusa ya kuitisha press conference.
 
Back
Top Bottom