The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 8,259
- 16,182
DahClean sheet wachezaji wameshindwa kumlinda Camara
DahClean sheet wachezaji wameshindwa kumlinda Camara
Huwezi kuwaona kwenye huu uzi...
Na huu ndio uwezo halisi wa simba wakiwa hawachezewi faulo za kijinga, waambieni hao wachezaji wenu mnaowatuma kuwa waache kucheza karate wacheze football, siyo waamuzi wakiwa fair mnaanza kulalamika simba wanabebwa sijui upuuzi gani
The Legacy leo mmelipa kisasi cha 5 1?
Ndio,The Legacy leo mmelipa kisasi cha 5 1?
Eee Mungu saidia Volcano hii iende ika-erupt huko Morocco..Kama ulikuwa hujui volcano Eruptions ni nini?,basi hii mechi inaelezea..!
Keep keen to watch.! Mpanzu ni Habari ingine
Tulikuwa tushinde 7
Sema kweli cocastic ulinichekesha sanaTulikuwa tushinde 7
PombeMode ni uto nini?
Gap la point likoje kwani?The Legacy leo mmelipa kisasi cha 5 1?
OtorongongoHuwezi kuwaona kwenye huu uzi...
Labda tuwasubiri wakianzisha nyuzi mpya za malalmiko....