Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Huyu binti atakuwa tapeli anawavutia watu kwenye hiyo link, haiwezekani kila thread yeye yumo tu..
bora aliyekua anatangaza samaki wanauzwa
Huyu binti atakuwa tapeli anawavutia watu kwenye hiyo link, haiwezekani kila thread yeye yumo tu..
kwani maiti zimeonyesha masikitiko, manung'uniko, au huzuni ya namna yoyote kwa hayo wanayowatendea?!Kuna watu wamekuwa hawaheshimu maitiu.Mtu akifa wanamsumbua kwa kumnyanyua kumtembeza na hata kupiga vibao ili afufuke.
Mfano mzuri ni wa Kanisa la SLOAMU mbezi beach ambapo toka kiongozi wao NABII ELIYA MUNUO afariki juzi wamekuwa wakiitesa hiyo maiti kwa kuitembeza n.k ili afufuke.Haya ni mateso kwa maiti.Mtu akifa anatakiwa akazikwe sio kumpa mateso namna hiyo
VYOMBO VYA DOLA NA WAANDISHI WA HABARI NENDENI KULE Kanisa la SLOAMU MBEZI BEACH DAR ES SALAAM MKAONE MATESO ANAYOPEWA MAITI.Naambiwa hiyo si mara yao ya Kwanza
Kuweko sheria ya kuheshimu maiti.
Mazishi ni lini..?
Bado mnakesha kumuombea afufuke..
Imani pasipo kipimo athari zake zinazidi za bangi!Sasa kwani walishawahi ombea maiti kabla ya huyo....?
Kuna watu wamekuwa hawaheshimu maitiu.Mtu akifa wanamsumbua kwa kumnyanyua kumtembeza na hata kupiga vibao ili afufuke.
Mfano mzuri ni wa Kanisa la SLOAMU mbezi beach ambapo toka kiongozi wao NABII ELIYA MUNUO afariki juzi wamekuwa wakiitesa hiyo maiti kwa kuitembeza n.k ili afufuke.Haya ni mateso kwa maiti.Mtu akifa anatakiwa akazikwe sio kumpa mateso namna hiyo
VYOMBO VYA DOLA NA WAANDISHI WA HABARI NENDENI KULE Kanisa la SLOAMU MBEZI BEACH DAR ES SALAAM MKAONE MATESO ANAYOPEWA MAITI.Naambiwa hiyo si mara yao ya Kwanza
Kuweko sheria ya kuheshimu maiti.
Ni kweli si mara yao ya Kwanza, walifanya hivyo kule Kyela mkoani Mbeya, wakafanikiwa kufufua maiti wanne, tena kule Machame wakainua maiti moja, na kuchinja wachawi vigagula wawili (in de spiritual realm) hakuna waandishi wala Media yoyote iliyobebea bango hilo.
kwa hiyo wamezoea waacheni jamani
Nashuhudia ni kweli kabisa, namjua mama mmoja sliyekuwa anakunywa dawa za kurefusha maisha akaambiwa azitupe.Achana na huo upuuzi wao hawa watu ni waongo wa wazi wazi yaani hata hawakufichi kwamba wanakudanganya.Huyo nabii wao anawafundisha wasiende hospitali wakiumwa huo si utahira kabisa,halafu mtu kama huyu anayeweka maisha ya watu kibao hatarini mnamwambia alale mahali pema.Rest in hell MUNUO,umepoteza wengi kwa kupindisha maandiko na damu zao utadaiwa na Yeye ahukumuye kwa haki pasipo upendeleo.
We kapuchi una vituko!!!Nimesikia kuna mtu amekufa toka jana asubuhi wanamwombea afufuke hadi saa hii...sasa sijui ameshafufuka ndo nilipenda nijue
Inawezekana hujui kusoma maandiko ya kiroho,
Rudia kuyasoma tena bila kulegeza mwili na akili
Bado wanaendelea kujipanga mkuuVipi vita ya tatu ya dunia ni lini mkuu..?
Au manuscript za mama Hellena White zimegoma..??
Jaman me ninasali siloam pia bt wa2 weng wanaongea vitu wasivyovijua bt mwenye swal aniulize na ii sio dini ni kanisa jaman mtofautshe din znazofahamika ni wakristo na waislam kwa tanzania siloam ni kanisa wala c dini wala dheheb