dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
haya mambo ya iman haya,ni kama ukichaa ivi.Majiran zangu huku tegeta masaiti wako ktk kanisa ambalo "eti kuzaa ni dhambi"!na sababu na vifungu kutoka ktk biblia wanavyo!
Biblia ni kama msitu mnene ukikatisha ukitumia akili vzr unatokea upande wa pili bila shida lkn ukifanya hamnazo utazunguka humo na hutaweza kutoka so wengine wameamua kuazima akili za wengine kusomea Biblia so kazi ni kwao