Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,460
- 4,771
Hivi ni mimi tu sielewi kiswahili kilichoandikwa hapo au mbona kachanganya mambo ya mauza uza aisee huyu mchagga lawakamata waumini kwa lugha hiyo hakika utafuata mkumbo tu huelewi
huhusu kubadili majina na kutengana na ndugu huyu alijua hilo kanisa likijulikana ni la mchagga watu watashtuka ni wapigaji tu so he confuse them than convince akaanza na yeye mwenyewe kunyutralize the fact na akawapata.nilisoma na jamaa mmja 2009 anaitwa Edward sasa hivi ni mchungaji huko mbezi sasa ukimpigia simu ukamwita Edo anakata simu,ni tajiri balaa alifanya kaziTCC akaona hailipi
kilimanjaro na arusha hili kanisa limeshamiri sana nakule mererani penye jela hahahahaaaaa mtaliwa wajinga mimi ngooooosina dini an just a follower of J.C