watu wanasema jamaa amekufa kwa ngoma...hiyo tetenus ni geresha
Hivi ameshazikwa?
Hilo siyo kanisa;
Wameigeuza Biblia, sasa huyo eliya na elisha wanayemtaja wamempata wapi?
Eti nabii aliita watu na kuwaaga, tutaamini vipi hayo maneno kanisa lenye watu wasemaji kama hilo?
Jirani yangu anayesali hilo kanisa mtoto wake aligongwa na gari akafa, ule msiba ulikuwa ni aibu, watu wanapeana hongera na kugongeana mikono.
Hakuna kanisa ni kichaka cha kula pesa kama vilivyo vichaka vingine.
Alikuwa anajiita Mungu wa pili, halafu kafa tangu lini mungu anakufa? Imani inapokuwa mzigo ni shida
Mkuu makaburi ya wapi tukahani msiba...Tayari tangu jumapili..
yaani yeriko na ujanja wako wote na wewe ni mfuasi wa hii dini ya mpinga kristo?Acheni uongo nyie kizazi cha shetani,
Tangu jana kuna maombi ya TOBA, hakuna aliyekufa bali kalala tu mjumbe wa mapenzi ya Mungu Eliya Kizazi cha nne.