Siloam Ministry International Mbezi Beach

Siloam Ministry International Mbezi Beach

wenzio wakitoa taarifa bila ushahidi unawaita kizazi cha shetani, ila wewe kusema miraji na salama wanamiliki IPTL bila ushahidi ni halali? Ama kweli nyani haoni k......!

cc FaizaFoxy

Utaharibu uzi wewe, mjadala wa "kizazi cha nyani" ufungwe. Acha watu wajadili kuhusu Siloam CharlesMtekateka, tunaomba utufanulie kidogo, maana taarifa zinakuja nusu nusu
 
Acheni uongo nyie kizazi cha shetani,

Tangu jana kuna maombi ya TOBA, hakuna aliyekufa bali kalala tu mjumbe wa mapenzi ya Mungu Eliya Kizazi cha nne.

Kumbe na wewe unajua dhambi ya uongo??? Maajabu.

Mbona wewe unapenda kusema uongo hivyo.
 
Ni kweli Nabii Eliya amefariki na nimepata taarifa hapa posta kuwa alipata wasaa wa kuwaaga waumini wake siku ya Jumapili yao ambayo huwa ni jumanne na pia alipata wasaa wa kuwaaga watumishi wake wote wa branches na watoto wake kuwa ATALALA( ATAKUFA)

Sasa itakuwaje kama Eliya amefariki??
 
NI HALISI: Kiongozi wa kanisa la Sloam Nabii Eliya Kizazi channe amefariki dunia (amelala) jana saa saba mchana, mda mfupi ujao mfuasi mkuu wa kanisa hilo na kaimu kiongozi Elisha Eliya Miaka 1000 atazumgumza na wanahabari kuwajuza na kuwapeni taratibu za mazishi
 
NI HALISI: Kiongozi wa kanisa la Sloam amefariki dunia (amelala) jana saa saba mchana, mda mfupi ujao mfuasi mkuu wa kanisa hilo na kaimu kiongozi Elisha Eliya Miaka 1000 atazumgumza na wanahabari kuwajuza na kuwapeni taratibu za mazishi

We jamaa ni kichwa maji sana!! Mbona ulikuwa unabisha???

Unadhani kila mtu anazusha kama wewe?? Siasa zako chafu unazipeleka kila sehemu.

RUDI SHULE SASA!!!
 
So which is which news?
Amekufa au bado yu hai?
Kuna maombi ya toba?
 
Atakuja nabii mwingine na mimi namuona katika ulimwengu wa rohoni akiwa anashuka kwa mbalii!

manabii wa siku hizi wanapenda maisha ya mavituzzzz, mapesazz. Hawasisitizi kutubu, kuacha dhambi, hawazungumzii sana upendo bali sauti na matangazo yao ni kama waganga wa kienjeji. Yaani eti utapona,majini yatatoka, utapata utajiri...ukimwi utapona....and then tuma mapesa kwa m..

Matapeli wakubwa. Mnatudanganyia sana wake zetu na hasa wasio na ROHO WA BWANA. Wachungaji wa kondoo wana machopers Helikopta, magari ya kifahari huku kondoo hawali majani, ufukara ndio unatula,madawa hamuna, elimu, mushahara hamuna, mwendo wa maharagwe na uji... muulize muuza mtumba akusimulie utatoka machozi.Unanunua chopa?
 
manabii wa siku hizi wanapenda maisha ya mavituzzzz, mapesazz. Hawasisitizi kutubu, kuacha dhambi, hawazungumzii sana upendo bali sauti na matangazo yao ni kama waganga wa kienjeji. Yaani eti utapona,majini yatatoka, utapata utajiri...ukimwi utapona....and then tuma mapesa kwa m..

Matapeli wakubwa. Mnatudanganyia sana wake zetu na hasa wasio na ROHO WA BWANA.
Kabla ya kuoa ingia kwanza katika ulimwengu wa roho na Bwana atakupa mke mwema. Ninyi mnawazoa juu kwa juu huko mitaani manategemea watakuwa stable wakikutana na watumishi wa Mungu wasiopakwa mafuta?
 
Back
Top Bottom