LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,304
wenzio wakitoa taarifa bila ushahidi unawaita kizazi cha shetani, ila wewe kusema miraji na salama wanamiliki IPTL bila ushahidi ni halali? Ama kweli nyani haoni k......!
cc FaizaFoxy
Utaharibu uzi wewe, mjadala wa "kizazi cha nyani" ufungwe. Acha watu wajadili kuhusu Siloam CharlesMtekateka, tunaomba utufanulie kidogo, maana taarifa zinakuja nusu nusu