Siloam Ministry International Mbezi Beach

Siloam Ministry International Mbezi Beach

Jambo ambalo silielewi ni kuwa lazima kiongozi wa hii dini aitwa Nabii Eliya? Nafahamu mwanzilishi aliitwa Thebeti Eliya ambaye alikuwa na wake kama 30 na kijiji chake kule Upareni Kilimanjaro baada ya yeye kufa akachukua uongozi huyu Munuo ambaye naye kaitwa Nabii Eliya Munuo. Je jina la Thebeti kabla ya kuitwa au kujiita nabii Eliya lilikuwa lipi? Na hili jina la Eliya kuna uhusiano wowote na Nabii Eliya wa Biblia ya Wakristo ambayo Siloam wanakiita kitabu hicho jina jingine? Naomba kuelimishwa kwa hayo.

Mkuu huyo mpare hakuanzisha dini ya Sloamu.Jina la huyo mpare alikuwa ni Eliya Msangi na alikuwa na wake 30 NA DINI ALIYOANZISHA HUKO UPARENI INAITWA UWATA akishirikiana na mnyakyusa mmoja mwenye wake KIBAO anayeitwa MWAKISWALELE wote wawili Eliya Msangi na Mwakiswalele walishakufa wakiacha nyuma UWATA ambayo bado ipo na ina mashule na miradi mingi tu.

SLOAMU NI DINI ILIYOANZISHWA NA NA NABII ELIYA MUNUO IKO TOFAUTI KABISA NA ILE DINI YA UWATA YA ELIYA MSANGI.

Hayo mengine ya kuwa Eliya hawa wakina MSANGI NA mUNUO NDIO ELIYA YULE WA biblia ? Hayo siwezi kujibu nawaachia wagalatia watusaidie kujibu KAMA akina PASCO,MISS CHAGA NA WENGINEO HUMU JAMII FORUMS.
 
Jambo ambalo silielewi ni kuwa lazima kiongozi wa hii dini aitwa Nabii Eliya? Nafahamu mwanzilishi aliitwa Thebeti Eliya ambaye alikuwa na wake kama 30 na kijiji chake kule Upareni Kilimanjaro baada ya yeye kufa akachukua uongozi huyu Munuo ambaye naye kaitwa Nabii Eliya Munuo. Je jina la Thebeti kabla ya kuitwa au kujiita nabii Eliya lilikuwa lipi? Na hili jina la Eliya kuna uhusiano wowote na Nabii Eliya wa Biblia ya Wakristo ambayo Siloam wanakiita kitabu hicho jina jingine? Naomba kuelimishwa kwa hayo.
Inaonekana kuna mambo mengi kuhusu historia ya kanisa hili ambayo unayafahamu, unaonaje kama ungefunguka zaidi lakini kwa nia njema "for the sake of knowledge",

Nimeshtuka ulivyosema biblia wanaiita kwa jina lingine, nilisoma sehemu fulani kuwa waabudu mashetani wana aina fulani ya biblia inafanana na hii ya lawaida ila inatofauti fulani ambayo mtu wa kawaida hawezi kuitambua, na kitabu hicho hawakiiti biblia, wanakiita habari njema "good news".
Sasa hao Sloam wanakiitaje?
 
Nimesikia kuna mtu amekufa toka jana asubuhi wanamwombea afufuke hadi saa hii...sasa sijui ameshafufuka ndo nilipenda nijue
hao nao ni vichaa wa imani. bado kuwaona wakiendesha vifaru na magari ya deraya kutulazimisha imani yao ya kusali jumanne.
 
Mkuu huyo mpare hakuanzisha dini ya Sloamu.Jina la huyo mpare alikuwa ni Eliya Msangi na alikuwa na wake 30 NA DINI ALIYOANZISHA HUKO UPARENI INAITWA UWATA akishirikiana na mnyakyusa mmoja mwenye wake KIBAO anayeitwa MWAKISWALELE wote wawili Eliya Msangi na Mwakiswalele walishakufa wakiacha nyuma UWATA ambayo bado ipo na ina mashule na miradi mingi tu.

SLOAMU NI DINI ILIYOANZISHWA NA NA NABII ELIYA MUNUO IKO TOFAUTI KABISA NA ILE DINI YA UWATA YA ELIYA MSANGI.

Hayo mengine ya kuwa Eliya hawa wakina MSANGI NA mUNUO NDIO ELIYA YULE WA biblia ? Hayo siwezi kujibu nawaachia wagalatia watusaidie kujibu KAMA akina PASCO,MISS CHAGA NA WENGINEO HUMU JAMII FORUMS.

Hatimaye umeamua kuwa mzushi na muongo kama kawaida ya jihadist wote duniani, au wana UWATA wamekurupusha majini yako kwa hasira umeamua kuwaunganisha na matukio ambayo hawahusiki, huko upareni hata UWATA yenyewe haipo, halafu unasema mwanzilishi alitokea huko.
Unasema UWATA ina mashule na miradi mingi, ni upi upo huko upareni?

Ni vema ukaongelea dini yako, vipi Boko haramu na Khalifa wa ISIS wanaendeleza sunna za kubaka wale watoto na kuchinja watu?
 
huko upareni hata UWATA yenyewe haipo, halafu unasema mwanzilishi alitokea huko.
Unasema UWATA ina mashule na miradi mingi, ni upi upo huko upareni?

Mwanzilishi wa UWATA alikuwa mnyakyusa MWAKISWALELE akapiga dini ikadakwa na ELIYA MSANGI AMBAYE ALIANZISHA HIYO DINI UPARENI.LAKINI KUKAWA NA MKIASHIFA MINGI KUMHUSU ELIYA MSANGI HASA UFUSKA WAKE ULIOPINDUKIA NA FORCED LABOUR ALIYOKUWA AKITUMIKISHA WAUMINI WAKE HADI SERIKALI ILIBIDI IINGILIE KATI baada ya malalamiko toka kwa wananchi.
DINI ILIPIGWA VITA HADI IKAFA IKABAKI NA NGUVU MBEYA AMBAKO NDIKO NGOME YAKE HADI LEO.na wana shule ya sekondari ya UWATA ambayo ni moja ya shule zinazofanya vizuri sana mitihani ya taifa KIDATO CHA NNE.Waweza angalia matokeo yao ya NECTA.
 
Inaonekana kuna mambo mengi kuhusu historia ya kanisa hili ambayo unayafahamu, unaonaje kama ungefunguka zaidi lakini kwa nia njema "for the sake of knowledge",

Nimeshtuka ulivyosema biblia wanaiita kwa jina lingine, nilisoma sehemu fulani kuwa waabudu mashetani wana aina fulani ya biblia inafanana na hii ya lawaida ila inatofauti fulani ambayo mtu wa kawaida hawezi kuitambua, na kitabu hicho hawakiiti biblia, wanakiita habari njema "good news".
Sasa hao Sloam wanakiitaje?

Ni kweli kuwa Biblia ina jina jingine kwa imani yao. Hilo jina nimelisahau. Jambo jingine ninalofahamu kuhusu hii dini ni kuwa Krismas yao inaadhimishwa tarehe 28 Februari na pia wana kalenda yao tofauti. Nafahamu alikuwepo Thebeti Eliya ambaye ndiye alisemekana alipokea kanisa likiwa ni kanisa la mwisho kwa imani yao nafikiri wanaita kanisa la nne. Yaani hili kanisa au dini imeanzia Tanzania na inategemewa kusambaa dunia nzima. Mimi sielewi kwa nini Mumuo naye ajeitwa Eliya. Ila ukiingia kwenye hii dini unapewa jina jipya na ukoo mpya. Inaelekea yule aliyekuwa na wake 30+ aliitwa Eliya Msangi sio huyu Theneti. Kwa vile hii ni dini mpya ambayo wengi hawaifahamu nadhani ingekuwa vizuri wenye mwanga zaidi kuhusu hii dini na viongozi wake wakawapa watu mwanga wakaielewa na labda wakashawishika,
 
Mkuu huyo mpare hakuanzisha dini ya Sloamu.Jina la huyo mpare alikuwa ni Eliya Msangi na alikuwa na wake 30 NA DINI ALIYOANZISHA HUKO UPARENI INAITWA UWATA akishirikiana na mnyakyusa mmoja mwenye wake KIBAO anayeitwa MWAKISWALELE wote wawili Eliya Msangi na Mwakiswalele walishakufa wakiacha nyuma UWATA ambayo bado ipo na ina mashule na miradi mingi tu.

SLOAMU NI DINI ILIYOANZISHWA NA NA NABII ELIYA MUNUO IKO TOFAUTI KABISA NA ILE DINI YA UWATA YA ELIYA MSANGI.

Hayo mengine ya kuwa Eliya hawa wakina MSANGI NA mUNUO NDIO ELIYA YULE WA biblia ? Hayo siwezi kujibu nawaachia wagalatia watusaidie kujibu KAMA akina PASCO,MISS CHAGA NA WENGINEO HUMU JAMII FORUMS.

Ahsante sana, Mwanzoni nilifahamu kuwa Thebeti Eliya ndiye aliyefia Upareni. Je una taarifa za huyu Thebeti? Kwenye google ukiulizia kuhusu Siloam utakutana na huyu Thebeti kama mwanzilishi wa hii dini hapa TZ.
 
Ni kweli kuwa Biblia ina jina jingine kwa imani yao. Hilo jina nimelisahau. Jambo jingine ninalofahamu kuhusu hii dini ni kuwa Krismas yao inaadhimishwa tarehe 28 Februari na pia wana kalenda yao tofauti. Nafahamu alikuwepo Thebeti Eliya ambaye ndiye alisemekana alipokea kanisa likiwa ni kanisa la mwisho kwa imani yao nafikiri wanaita kanisa la nne. Yaani hili kanisa au dini imeanzia Tanzania na inategemewa kusambaa dunia nzima. Mimi sielewi kwa nini Mumuo naye ajeitwa Eliya. Ila ukiingia kwenye hii dini unapewa jina jipya na ukoo mpya. Inaelekea yule aliyekuwa na wake 30+ aliitwa Eliya Msangi sio huyu Theneti. Kwa vile hii ni dini mpya ambayo wengi hawaifahamu nadhani ingekuwa vizuri wenye mwanga zaidi kuhusu hii dini na viongozi wake wakawapa watu mwanga wakaielewa na labda wakashawishika,
Yeriko Nyerere tafadhari njoo utusaidie
 
Ahsante sana, Mwanzoni nilifahamu kuwa Thebeti Eliya ndiye aliyefia Upareni. Je una taarifa za huyu Thebeti? Kwenye google ukiulizia kuhusu Siloam utakutana na huyu Thebeti kama mwanzilishi wa hii dini hapa TZ.

Duh
Kumbe!
Ngoja nifuatilie!

Mi cjui Kuhusu hyo mwanzilishi bt kwenye maombi yao huwa nasikia wanasema hiyo tebethi nilikuwa sielewi ni nn!

Hawa kanisa lao wana misemo yao...mfano ndoa inaitwa Agano...
Kula chakula wanasema kushiriki...
Wakristo wanapoomba kwa jina na kwa danu ya Yesu wenyewe ni tofauti wanasema kwa damu ya haki kweli na hukumu na Mungu wa Eliya. ..
kiukweli huwa siwaelewi... halafu mtumishi wao wanamwita mjumbe wa mapenzi ya Mungu nabii Eliya mjumbe kizazi cha nne nabii wa mwisho wa kizazi hiki!
Na kuna baadhi ya maandiko kwenye biblia wameyabadirisha eti yalikosewa!hapo ndo nilichoka!

Mungu atusaidie !!
 
Ni kweli kuwa Biblia ina jina jingine kwa imani yao. Hilo jina nimelisahau. Jambo jingine ninalofahamu kuhusu hii dini ni kuwa Krismas yao inaadhimishwa tarehe 28 Februari na pia wana kalenda yao tofauti. Nafahamu alikuwepo Thebeti Eliya ambaye ndiye alisemekana alipokea kanisa likiwa ni kanisa la mwisho kwa imani yao nafikiri wanaita kanisa la nne. Yaani hili kanisa au dini imeanzia Tanzania na inategemewa kusambaa dunia nzima. Mimi sielewi kwa nini Mumuo naye ajeitwa Eliya. Ila ukiingia kwenye hii dini unapewa jina jipya na ukoo mpya. Inaelekea yule aliyekuwa na wake 30+ aliitwa Eliya Msangi sio huyu Theneti. Kwa vile hii ni dini mpya ambayo wengi hawaifahamu nadhani ingekuwa vizuri wenye mwanga zaidi kuhusu hii dini na viongozi wake wakawapa watu mwanga wakaielewa na labda wakashawishika,

KITABU CHA NENO

Wanasema Biblia limetokana na neno Vivlio ambapo lina maana ya Mungu Mke kiyunani. ..
 
Duh
Kumbe!
Ngoja nifuatilie!

Mi cjui Kuhusu hyo mwanzilishi bt kwenye maombi yao huwa nasikia wanasema hiyo tebethi nilikuwa sielewi ni nn!

Hawa kanisa lao wana misemo yao...mfano ndoa inaitwa Agano...
Kula chakula wanasema kushiriki...
Wakristo wanapoomba kwa jina na kwa danu ya Yesu wenyewe ni tofauti wanasema kwa damu ya haki kweli na hukumu na Mungu wa Eliya. ..
kiukweli huwa siwaelewi... halafu mtumishi wao wanamwita mjumbe wa mapenzi ya Mungu nabii Eliya mjumbe kizazi cha nne nabii wa mwisho wa kizazi hiki!
Na kuna baadhi ya maandiko kwenye biblia wameyabadirisha eti yalikosewa!hapo ndo nilichoka!

Mungu atusaidie !!


Duh. .

Najaribu kufikiri kwamba kama huyu ni Nabii wa mwisho wa kizazi hiki cha nne ina maana hakutakuwa na Nabii mwingine tena?
Atakaye take over hiyo nafasi sijui ataitwaje. ........

Mungu atusaidie
 
Ni kweli Nabii Eliya amefariki na nimepata taarifa hapa posta kuwa alipata wasaa wa kuwaaga waumini wake siku ya Jumapili yao ambayo huwa ni jumanne na pia alipata wasaa wa kuwaaga watumishi wake wote wa branches na watoto wake kuwa ATALALA( ATAKUFA)

Kama alijaaliwa kufanya hivyo ni jambo jema sana sasa kwanini hao waumini na watumishi wake hawataki kuamini? Nani ataishi milele? Mbona maneno ya Mungu yanatuambia kuwa kufa ni faida?
 
Kazi ipo! R.I.P.

Kweli kabisa kazi ipo Sumu, blind faith ni kitu kibaya mno, unakanyaga msumari wa tetanus unakataa tiba ukiamini utapona kwa miujiza, Mungu anatufundisha tujifunze kujisaidia naye atatenda alichofanya ni sawa na

-unazama mtoni unamuomba Mungu akuokoe ghafla unaona tawi la mti, badala ya kulishika na kuendelea kumwomba Mungu wewe unaliacha
-unamuona mnyama mkali kabisa mbele yako badala ya kutimua mbio huku ukimwomba Mungu we we ndio kwanza unamsogelea
- wenzako wanadamka kwenda kazini huku wakimwomba Mungu wewe unajifungia chumbani siku nzima na maombi ukiomba utajiri

Mifano ni mingi
 
Last edited by a moderator:
Sasa kwani walishawahi ombea maiti kabla ya huyo....?

Hili kanisa lina mushkeli sana halafu ukicheki ni kanisa la uongo kabisa.
Walishawahi jaribu kimuombea mama mmoja alifariki miaka ya nyuma ili afufuke basi wakamlaza madhabahuni kanisani kwao hakufufuka wala nini alizidi kuvimba mwili yule mama bado kidogo apasuke.Hawa watu ni wapotoshaji kabisa na ukisali pale lazima akili zako kidogo ziwehuke.
Jamaa anapoteza watu wengi sana na waumini humchukulia huyo Kiongozi kama MUNGU wao maana humuimbia nyimbo za kumsifu.
 
Kuna watu wamekuwa hawaheshimu maitiu.Mtu akifa wanamsumbua kwa kumnyanyua kumtembeza na hata kupiga vibao ili afufuke.

Mfano mzuri ni wa Kanisa la SLOAMU mbezi beach ambapo toka kiongozi wao NABII ELIYA MUNUO afariki juzi wamekuwa wakiitesa hiyo maiti kwa kuitembeza n.k ili afufuke.Haya ni mateso kwa maiti.Mtu akifa anatakiwa akazikwe sio kumpa mateso namna hiyo

VYOMBO VYA DOLA NA WAANDISHI WA HABARI NENDENI KULE Kanisa la SLOAMU MBEZI BEACH DAR ES SALAAM MKAONE MATESO ANAYOPEWA MAITI.Naambiwa hiyo si mara yao ya Kwanza

Kuweko sheria ya kuheshimu maiti.
 
Hawa ndio wale waumini ambao makanisa yao yamejikita katika "mtu moja " kisa ndio mwanzilishi sijui mchungaji mkuu wa kanisa , mara nabii....na ndo maana akiwatoka wanakuwa wanahaha kunusuru huduma yao isianguke.
Igeni mfano wa R.C, anglican, Lutheran, etc kwa kutengeneza "taasisis" imara na sio vikundi vya watu wawili watatu.
Kwani ndani ya makanisa tajwa huwezi kuta mambo ya ajabu ajabu kama hayo ya kuombea maiti ifufuke hata afe Papa au Askofu.
 
Last edited by a moderator:
Nabii amefariki!!!!???, lazima wachanganyikiwe
 
Leo asubuhi kanisani SILOAM wakati wa maombi ya asubuhi waliweka CD ya nabii Eliya, majirani wakaanza kushangaa kuwa huenda nabii huyu hajafariki au amefufuka.

Habari za uhakika hata ndugu zake hawakuwa wanafahamu km amefariki, inasemekana kuwa mdogo wake anayeitwa Swai aliposikia taarifa hizi aliamua kwenda kanisani, alipofika pale hakuona km kuna msiba, aliwauliza waumini kuhusu viongozi walipo wao wanawaita makuhani wakiwa na kikao juu ghorafani, alipofika walimkarisha kwa kumpa hongera sana, akashangaa kwa nini alikuwa anapewa hongera, aliuliza zaidi kwa nini hongera? alojibiwa kuwa Nabii Eliya alikuwa ameshinda umauti amenyakuliwa na MUNGU, nasikia ndugu yake akauliza kwa hiyo hayupo akajibiwa yeye hayupo amenyakuliwa ili mwili wake umehifadhiwa katika hospitali ya Lugulo. kwa taarifa zaidi mazishi yatakuwa siku ya J4 ambayo ndiyo km jumapili ya kwao.

Hivyo wao wanapeana hongera lkn kwa sasa kumepooza sana. Nabii huyu kwa jina jingine alijiita adamu wa pili. makazi yake yapo bao bao km unaenda bagamoyo, kuna mjengo wa ghorofa km 3, na magate 3 kabla ya kufika mjengoni.
 
Back
Top Bottom