Labda sielewi, eti "..maiti inateswa..", navyojua mimi kitu kisicho na uhai hakisikii maumivu wala raha, hivyo kusema kuitesa maiti sielewi maana yake ni nini! Je, kuitembeza au kuisimamisha ni mateso makubwa zaidi kuliko kuifukia kwa "tani 7" za mchanga? Sielewi!
Nadhani si kuitesa bali ni "kuidhalilisha tu", mtu akisha kufa roho yake ikaacha mwili, huo mwili ni wa kuuhifadhi chini ya ardhi yaani kuuzika ukaozee huko uwe mbolea kwa mimea nk. Waumini hao wanatakiwa kuheshimu sheria ya Mungu, yaani ukizaliwa iko siku utakufa, na ukifa ni kuzikwa.
Usigeuze neno""watu wangu wanaangamizwa kwakukosa maarifa"""Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
mkuu kama ww n mtu halali......usingeweka huku ungefungua uzi wako......binafsi sio kurukia nyuz zisizo husiana.....nimeona mahali peng sio hapa tu....nina mashaka na ww
khee we umelewa viroba nini? mbona unachangia kitu tofauti kabisa
Ndo zake huyo. Hii post anairusha kwenye threads mbalimbali anazoziona ni za kipuuzi.
katumwa huyo, upotoshaji fani wenzio wanasomea china kasome kwanza urudi ili upotoshe mada ya sloam
Usigeuze neno""watu wangu wanaangamizwa kwakukosa maarifa"""
Hizi dini nyingine ni za kupiga marufuku,mambo wanayoyafanya hayana tofauti na wachawi.
ni uchawi huo mi sioni tofauti hivi maiti mnaeza mkageuza ngoma kweli
Jaman me ninasali siloam pia bt wa2 weng wanaongea vitu wasivyovijua bt mwenye swal aniulize na ii sio dini ni kanisa jaman mtofautshe din znazofahamika ni wakristo na waislam kwa tanzania siloam ni kanisa wala c dini wala dheheb
Kuna watu wamekuwa hawaheshimu maitiu.Mtu akifa wanamsumbua kwa kumnyanyua kumtembeza na hata kupiga vibao ili afufuke.
Mfano mzuri ni wa Kanisa la SLOAMU mbezi beach ambapo toka kiongozi wao NABII ELIYA MUNUO afariki juzi wamekuwa wakiitesa hiyo maiti kwa kuitembeza n.k ili afufuke.Haya ni mateso kwa maiti.Mtu akifa anatakiwa akazikwe sio kumpa mateso namna hiyo
VYOMBO VYA DOLA NA WAANDISHI WA HABARI NENDENI KULE Kanisa la SLOAMU MBEZI BEACH DAR ES SALAAM MKAONE MATESO ANAYOPEWA MAITI.Naambiwa hiyo si mara yao ya Kwanza
Kuweko sheria ya kuheshimu maiti.
Alijitabilia kifo chake. Apumzike kwa Amani.Ni kweli Nabii Eliya amefariki na nimepata taarifa hapa posta kuwa alipata wasaa wa kuwaaga waumini wake siku ya Jumapili yao ambayo huwa ni jumanne na pia alipata wasaa wa kuwaaga watumishi wake wote wa branches na watoto wake kuwa ATALALA( ATAKUFA)
mkuu kama ww n mtu halali......usingeweka huku ungefungua uzi wako......binafsi sio kurukia nyuz zisizo husiana.....nimeona mahali peng sio hapa tu....nina mashaka na ww
khee we umelewa viroba nini? mbona unachangia kitu tofauti kabisa
mkuu hivi alio wafufua Gwajima (misukule) miaka ile wanaendeleaje? wako kwenye jamii na wanaendelea na kazi na wengine shule? au walipotea tena?