Silaha za Masafa Marefu Zinazomilikiwa na JWTZ

Sijui wewe ndugu yangu unasoma habari zako kutoka wapi iwapo hata warusi wenyewe hawajui kinachoendelea kutokana na sheria ya "Special Military Operations" inayozuia habari kamili zisiripotiwe ila propaganda zinazotolewana serikali tu. Huna habari na vifaru vya Urusi vinavyoeketetezwa Ukraine kama vibuyu na askari wa Urusi wanaouwawa mara kwa mara hata serikali yao haitaki kuchukua maiti tena? Mpaka sasa nguvu ya Urusi ni Makombora ya mbali ya kubomoa majumba na infrastructure tu. Jana batallion zima imeteketezwa wakijaribu kuvuka mto; vifaru vyote na askari wote wakateketezwa, unaweza kumpata mrusi anayejua hayo iwapo wanalishwa propaganda mpaka hata mwenzo aliwasuta kuwa wanatangaza uwongo. Je naye alikuwa pro-West? Its true; I know better than the Russians.
View attachment 2223500

View attachment 2223476

Ninajua kuna warusi wa magomeni wanaoamini kuwa dunia ni West against Urusi, lakini elewa kuwa huko West unakoona hakufai ndiko ambako vyombo vya habari ni vya binafsi na waandishi wake wanaripoti moja kwa moja kutoka kwenye uwanja wa vita, hawapokei propaganda za serikali. Kwa jumla watu wa West wako well informed kulinganisha na Urusi.

Yaani huyu jamaa anaingia kwenye hatari ili kuropti ukweli wewe unamwona ni mtu wa propaganda za Pro-West wakati vita ni ya Urusi kuivamia Ukraine, nchi ambayo ilikuwa kama haina jeshi tu kwani askari wengi wanaopigana ni wale wanamgambo au Sungusungu ambao waliokotezwa ili kutetea nchi yao.

View attachment 2223508

View attachment 2223495
Uko well informed brother
 
Kwenye masuala ya ulinzi una safari ndefu sana kama unakaa hapo unaamini North Korea wana hypersonic missiles. Na umekosea mengi hata kwenye uzi huu, kuna sekta zako unafanya vizuri ila hii unaamini mambo yasiyokuwepo
Mimi nimemjibu nikaishia kuambiwa sijui kitu,..N.Korea leo ana hypersonic cruise missiles sijui amezipata lini.
 
Jamani huyu ameuliza kuhusu kijeshi chetu na siyo US wala Russia....
Tumwambie ukweli ni hivi...
Yale magari makubwa ya kizamani unayaonaga siku ya mashujaa, hayo chini ni ya kichina yanajulikana kama A 100, na masfa yake ni kati 40km mpaka 100km, hata Morogoro hayafikishi...
View attachment 2219729



Vile viroket unavinaga uwanja wa taifa ni vya kutungulia ndege za bangaboi sio za kisasa kama Sukhoi za jeshi la Uganda au Northrop 5E za jeshi la kenya,hutu tuanitwa SA-6 (2K12 Kub) kutoka Russia, tulitengenezwa 1958, na tuna masafa ya mpaka 24km
1652222708652-png.2219730



Na hii ndio Uganda Sukhoi, tukizitaka hizi inabidi serkali ianze kugawa basikeli kwa wabunge na mawaziri ili kwenda sambaba na bei ya mafuta na uendeshaji, Uganda wana Mafuta yao.....
View attachment 2219714


Halafu hawa jamaa hapa chini, wanachekesha sana....🤣🤣🤣
View attachment 2219732

View attachment 2219731

View attachment 2219733


Na hii ni Kenya Northrop 5E
View attachment 2219718

View attachment 2219730
You've made my day 😂 😂 😂 ,mkuu nchi yetu ya amani hii.
 
Jamani huyu ameuliza kuhusu kijeshi chetu na siyo US wala Russia....
Tumwambie ukweli ni hivi...
Yale magari makubwa ya kizamani unayaonaga siku ya mashujaa, hayo chini ni ya kichina yanajulikana kama A 100, na masfa yake ni kati 40km mpaka 100km, hata Morogoro hayafikishi...
View attachment 2219729



Vile viroket unavinaga uwanja wa taifa ni vya kutungulia ndege za bangaboi sio za kisasa kama Sukhoi za jeshi la Uganda au Northrop 5E za jeshi la kenya,hutu tuanitwa SA-6 (2K12 Kub) kutoka Russia, tulitengenezwa 1958, na tuna masafa ya mpaka 24km
1652222708652-png.2219730



Na hii ndio Uganda Sukhoi, tukizitaka hizi inabidi serkali ianze kugawa basikeli kwa wabunge na mawaziri ili kwenda sambaba na bei ya mafuta na uendeshaji, Uganda wana Mafuta yao.....
View attachment 2219714


Halafu hawa jamaa hapa chini, wanachekesha sana....🤣🤣🤣
View attachment 2219732

View attachment 2219731

View attachment 2219733


Na hii ni Kenya Northrop 5E
View attachment 2219718

View attachment 2219730
👆
Katunge World Wide unakubaliana na maoni ya huyu mdau?
 
kaka nikutoe shaka, Jeshi letu naamini lipo vizuri na timamu haswa hatakama nchi yetu haipo kwenye machafuko ila naona huwa wana nunua vifaa vya kivita mara kadhaa nika miezi miwili tu iliyo pita au mwezi mmoja nilikuwa na drive kutoka Tegeta nilikutana na foleni ya kufa mtu kupisha Truks zilizo kuwa zime beba vifaa vya kivita yaani sijajua yalikuwa ni maninj yake ma kitu ila ilikuwa abnormal gari zao zilikuwa ni yale ma semi una kuta limeenea njia nzima can you imagine ni nini kilicho bebwa ? achana na porojo za wasio jua jeshi ni moja ya Taasisi nyeri sana katika nchi
 
kwa levo za nch zetu nahic tuko vzur kuna sku zlkua znapta zana za kijesh mepgwa chata za UN kuelekea lugalo na kule ununio asee watakao omba batle na sie wajpange na izo n kwa darslam bado iyo mikoa ya mipakan ambayo ndio ua na silaha nzto zaid kimsng hakuna taifa ambalo halijajiwekeza ki usalama hata kama hakuna machafuko

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Dar nao ni mkoa ulioko mpakani
 
Kwa ninavyojua mimi, ununuzi wa silaha za kivita katika majeshi yote duniani ni "SIRI", so hakuna raia anayejua kwamba Jeshi letu JWTZ lina silaha za aina gani kwa sasa na hata baadae. Kwa muktadha huo, huu uzi hauna mashiko.
 

Katunge World Wide unakubaliana na maoni ya huyu mdau?
In short jamaa kachambua jeshi letu lote,japo kuna tetesi kuwa now day jw wanamiliki pantsir chache hizi bei yake ni Unit cost: US$ 13.15 million–14.67 million na sijajua ni Variants ipi kati ya Pantsir-S (prototype), Pantsir-S1, Pantsir-S1-O (or Pantsir-S1E), Pantsir-S2

Ila kama zipo kweli basi kuna uhai kiasi fran kwenye ulinzi wa Anga sababu hiz pantsir ni medium range zinawamudu majirani zetu
 
Kwenye modern wafare ni mwehu tu anayetegemea vifaru vitani ... Vifaru vimebak kama magar ya msafara w kijeshi kipind cha Amani , kiufupi vita ya kutegemea vifaru ishapitwa na wakati, Ila ukijidai utegemee vifaru kwenye active battle zone ujue unawatoa kafara askari ....!! Vita ya sa hv ni propaganda , technology na Airforce , kama huna uwezo kwenye maeneo hayo omba maridhiano mapema.... Askari wenu wanaopasua tofali uwanja wa mkapa wanawadanganya
Ulianza vizuri ,lakini hapo mwisho Sasa ndio umeharibu, Asante sana jirani
 
Nin wasiwasi sana na silaha za masafa marefu tulizo nazo ndani ya majeshi yetu ya ulinzi. Miaka ya 2000 kuna zile zilizokuwa zinalipuka zenyewe kule Mbagala. Na ninavyokumbuka Tanzania tuliwahi kununua vifaru vingi na Gun Howitzers nyingi sana wakati wa utawala wa Nyerere kutokea Urusi. Silaha zile ndizo kwa kiasi kikubwa sana zinazotumika sasa hivi vitani huko Ukraine.

Urusi inazitumia na Ukraine pia inazitumia. Jambo linalojitokeza ni kuwa mizinga inayotumika katika Howitzers na vifaru hivyo haipatikani tena. Urusi haizitengenezi tena, na Ukraine imekusanya mizinga karibu yote iliyokuwa kwenye nchi za Warsaw pact na haitoshi kwani mizinga mingine imekuwa hailipuki; hiyo imetokea kwenye pande zote mbili za magogoro huo.

Sijaona Tanzania ikitupa vifaru vya zamani na kuleta vipya, na sijui kama Tanzania itapata tena mzinga ya kutumia kwenye vifaru hivyo kama siyo vya shoo tu. Vifaru kama hivyo leo hii vimekuwa scrap zilizosambaa kwenye ardhi ya ukraine.

Ninajua kuwa zamani shirika la Mzinga liliundwa ili kuwa linatengeza mizinga hiyo, ila sasa baada ya kutokuwa na matumizi ya mizinga hiyo kwa muda mrefu sijui tuko wapi. Ila vita hii ya Ukraine tuichukulie kama funzo kuwa utegemezi wa silaha za urusi siyo jawabu la usalama na ulinzi wetu tena. Urusi imeshapitwa na wakati sana kwenye teknolojia ya vita.

View attachment 2219644View attachment 2219645View attachment 2219646
👉Urusi imeshapitwa na wakati sana kwenye teknolojia ya vita.👈
Sijui nani kakudanya katika hili mkuu.Sishabikii vita na wala sipendi vita,kwa kuwa ni mbaya!Ila taarifa recent nilizo nazo ni kwamba Urusi iko mbele ya US in for example nuclear warfare and Supersonic ICBMs.Ni hivi juzi tu ambapo Urusi wame-unveil the SARMAT,an ICBM ambayo ina uwezo wa kubeba up to 15 nuclear warheads, na ni supersonic.Speed yake ni march 20.7,na ina range ya up to18,000km!The US can only dream of such a weapon.Mpaka sasa hawana supersonic missile yeyote ambayo haiwezi kuwa detected.
 
👉Urusi imeshapitwa na wakati sana kwenye teknolojia ya vita.👈
Sijui nani kakudanya katika hili mkuu.Sishabikii vita na wale sipendi vita,kwa kuwa ni mbaya!Ila taarifa recent nilizo nazo ni kwamba Urusi iko mbele ya US in for example nuclear warfare and Supersonic ICBMs.Ni hivi juzi tu ambapo Urusi wame-unveil the SARMAT,an ICBM ambayo Ina uwezo wa kubeba 32 nuclear warheads,ni supersonic.
Hilo swali lako nimeshalijibu huko nyuma. Siyo Urusi tu yenye makombora hayo, in fact wako nyuma ila wanajitangaza na kutoa vitisho wakati wenzao hawatangazi. Urusi inategemea sana vitisho kuliko uhalisia wenyewe. Hata kwenye huu uvamizi wa Ukraine walitegemea kwamba Ukraine ingeanguka kutokana na vitisho lakini wakakwama. Juzi juzi wakati Finland inasema inanuia kujiunga na NATO, Urusi ilikatoa vitisho kuwa ittawachukulia hatua wakifanya hivyo, lakini baada ya Finland kutuma maombi yake rasmi NATO kikwelikweli, Urusi wakanyanamaza hao na vitisho vikayeyuka. Mwanzoni mwa uvamizi a Ukraine Putin alisiskika akitoa vitisho vwa silaha za nyukilia kama vile urusi ndio wanazo tu, ambazo kimsingi huwa hazina mshindi. Kwa hiyo usibabaishwe na matangazo ya Urusi kuhusu silaha hizo, ni propaganda tu.

Mwishoni katika technologgy ya vita siyo hayo makombora; kazi ya hayo makombora ni uharibufu lakini hayo siyo yanayoshinda vita. Nchi kama Tanzania haiwezi kununua hayo makombora kwa sababu kwanza siyo mengi, hata urusi na marekani wenyewe wanayo machache tu. Halafu huhitaji gunners maalumu ambazo zimejengewa kwenye meli zao za kivita. Kwa hiyo Tanzania inapotafuta silaha kama vifaru na Howitzers; wasitafute urusi.
 
Makombora hayo ya high tech (cruise missiles) siyo mengi; hata urusi yenyewe na hata Marekani for that case hawana mengi ya ya kuwatosha hadi kuuza nje.

Hata kama wangependa kuyauza nje huwa ni vigumu kwa vile guns zake ni maalum sana hazipatikani kokote kwani nyingi wamezijengea ama kwenye meli zao za kivita au kwenye ndege maalumu za kivita.

Siamini kama Tanzania tayari tunazo hizo guns za cruise missles. Ukitafuta silaha kutoka urusi utauziwa zile za zamani. Miaka michache iliyopita walitangaza vifaru vipya vya aina ya T-4 Armata kuwa ni vya hali ya juu sana, lakini walipovijaribu vitani huko Syria na huko Donbas Ukraine kabla ya vitaa hii inayeondelea, vikaonekana kuwa weak sana wakaacha kabisa kuvitangza tena ingawa huwa vinaoenaka kwenye magwaride yao. Zaidi ya hapo, vifaru vyote kutoka Urusi ni design zilzoachwa na USSR.
Bila shaka sasa umekwishajiridhisha kuhusu upotofu wa mada yako nzima kutokuwa na ukweli.

Hizi silaha zinazounguza 'drones' na nyingine zinazopofusha 'satellites' bila shaka zimekwishakufikia hapo ulipo.

Tafuta silaha iitwayo "Zadira", ambayo inachoma madrone, umbali wa kilometa tano, ikitumika tayari kwenye hiyo vita ya Ukraine.

"Peresvet" yenyewe inapofusha satellites umbali wa kilomita 1500 zisiweze kuona kinachoendelea kwenye uwanja wa mapambano. Na bado kuna zaidi ya hizo.

Kwa nchi kama Tanzania nadhani ni muda sahihi wa kuanza kufikiria kama vihela vyetu kidogo vinatumika sahihi kuendelea kununua hizi silaha tunazonunua ambazo tayari zinakuwa 'obsolete'.

Pengine lingekuwa jambo la maana zaidi kuwekeza katika kuwawezesha vijana wetu katika kuwapa ujuzi wa kutafiti katika teknolojia mpya zinazohusiana na silaha ili kujijengea uwezo wa kutengeneza sisi wenyewe tunachoona kinafaa kwa ulinzi wetu.

Hata hivyo, sisemi tujiachie kabisa hata vinchi vya jirani vinavyoonekana kuwa korofi vije vituvamie na tushindwe kabisa kujitetea.
Tusiweke malengo yetu katika kujenga jeshi la kupambana na wakubwa wa dunia, kwa sababu uwezo huo hatunao, badala yake tujikite katika kujiandaa sisi wenyewe kujilinda, hata dhidi ya hao wakubwa huko mbeleni tukishajijenga ipasavyo.
 
Back
Top Bottom