Ni kweli majeshi ya NATO yako Ukraine na Silaha za NATO zinatumika Ukraine?

Fanfa

JF-Expert Member
Sep 25, 2009
1,815
2,862
Tangu majeshi ya Russia yavamie Ukraine kumekuwa na tuhuma nyingi kutoka kwa Putin na Pro Russia kuwa majeshi ya NATO yamepelekwa Ukraine kupigana. Tuhuma hizo zimeenda mbali zaidi na kusema kuwa NATO inapeleka vifaa vyake vya kivita Ukraine. Rais Putin kila anapoongea na taifa amekuwa akidai kuwa wanapigana na NATO.

Watu wengi wanaofahamu vifaa vya kijeshi vinavyotumiwa na NATO vyenye Technology ya kisasa ikiwemo ndege za kivita, mifumo ya ulinzi wa anga (Air defense systems), vifaru (Tanks), silaha za kurusha mizinga (Artillery systems), silaha za kurusha makombora/Roketi (MLRS) n.k. wamekuwa wakisema kuwa hakuna silaha za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zimepelekwa Ukraine.

Propaganda za Russia/Putin zinapelekea watu wengi ambao hawajui na hawajawahi kuona silaha za kivita kuamini kuwa madai ya Russia yana ukweli. Pro Russia wengi wa huko Tanzania hawajui silaha za kivita zaidi ya magobole, SMG, mabomu ya machozi na magari ya washawasha yanayotumiwa na jeshi la polisi kupambana na machinga na wafuasi wa nyama vya upinzani.

Hata silaha zenye Technologies ya kisasa zinazotumika kupigana, kujilinda na upelelezi hawazijui. Lakini wamekuwa mabingwa wa kubisha kila kitu kwa ushabiki kama wa yanga na simba ya huko nyumbani.

Kwa kuwa Pro Russia wanaamini propaganda za Russia na hasa Putin, naomba watueleze machache tu ili tuweze kujua kama kweli wanaufahamu wa kutosha kuhusu silaha nzito zinazotumika Ukraine kujibu mapigo kwa Russia ambazo wanadai kuwa ni za NATO.

1. Je, ni silaha zipi za kulinda usalama wa anga (Air defense systems) ambazo unajua zinatumika Ukraine ambazo ni za NATO. ? Tutajia aina ya silaha na model plus series yake.

2. Je, ni silaha zipi za kurusha makombora ya masafa marefu (MLRS) na aina ya makombora ambayo yanatumiwa na majeshi ya NATO nchini Ukraine?. Taja aina, model na series yake.

3. Je, ni aina gani ya ndege za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zinatumika Ukraine na aina ya makombora yanayorushwa na ndege? Taja aina ya ndege, model na series yake.

4. Je, ni aina gani ya vifaru (Tanks) zinazotumika Ukraine ambazo zinatumiwa na NATO na zimepelekwa Ukraine?. Taja aina ya kifaru, model na series yake.

Naomba hoja hizi zijibiwe kwa facts siyo porojo na propaganda ili tujue kama kweli wanaosema hivo wanaelewa au wanaogelea kwenye Propaganda za Putin na pro Russia.

Uzi huu unaweza ukawa wa moto kwa wasio na hoja na waliozoea porojo na matusi.

Karibuni
 
Tangu majeshi ya Russia yavamie Ukraine kumekuwa na tuhuma nyingi kutoka kwa Putin na Pro Russia kuwa majeshi ya NATO yamepelekwa Ukraine kupigana. Tuhuma hizo zimeenda mbali zaidi na kusema kuwa NATO inapeleka vifaa vyake vya kivita Ukraine. Rais Putin kila anapoongea na taifa amekuwa akidai kuwa wanapigana na NATO.

Watu wengi wanaofahamu vifaa vya kijeshi vinavyotumiwa na NATO vyenye Technology ya kisasa ikiwemo ndege za kivita, mifumo ya ulinzi wa anga (Air defense systems), vifaru (Tanks), silaha za kurusha mizinga (Artillery systems), silaha za kurusha makombora/Roketi (MLRS) n.k. wamekuwa wakisema kuwa hakuna silaha za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zimepelekwa Ukraine.

Propaganda za Russia/Putin zinapelekea watu wengi ambao hawajui na hawajawahi kuona silaha za kivita kuamini kuwa madai ya Russia yana ukweli. Pro Russia wengi wa huko Tanzania hawajui silaha za kivita zaidi ya magobole, SMG, mabomu ya machozi na magari ya washawasha yanayotumiwa na jeshi la polisi kupambana na machinga na wafuasi wa nyama vya upinzani.

Hata silaha zenye Technologies ya kisasa zinazotumika kupigana, kujilinda na upelelezi hawazijui. Lakini wamekuwa mabingwa wa kubisha kila kitu kwa ushabiki kama wa yanga na simba ya huko nyumbani.

Kwa kuwa Pro Russia wanaamini propaganda za Russia na hasa Putin, naomba watueleze machache tu ili tuweze kujua kama kweli wanaufahamu wa kutosha kuhusu silaha nzito zinazotumika Ukraine kujibu mapigo kwa Russia ambazo wanadai kuwa ni za NATO.

1. Je, ni silaha zipi za kulinda usalama wa anga (Air defense systems) ambazo unajua zinatumika Ukraine ambazo ni za NATO. ? Tutajia aina ya silaha na model plus series yake.

2. Je, ni silaha zipi za kurusha makombora ya masafa marefu (MLRS) na aina ya makombora ambayo yanatumiwa na majeshi ya NATO nchini Ukraine?. Taja aina, model na series yake.

3. Je, ni aina gani ya ndege za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zinatumika Ukraine na aina ya makombora yanayorushwa na ndege? Taja aina ya ndege, model na series yake.

4. Je, ni aina gani ya vifaru (Tanks) zinazotumika Ukraine ambazo zinatumiwa na NATO na zimepelekwa Ukraine?. Taja aina ya kifaru, model na series yake.

Naomba hoja hizi zijibiwe kwa facts siyo porojo na propaganda ili tujue kama kweli wanaosema hivo wanaelewa au wanaogelea kwenye Propaganda za Putin na pro Russia.

Uzi huu unaweza ukawa wa moto kwa wasio na hija na waliozoea porojo na matusi.

Karibuni
Ngoja niwaite....

Bukyanagandi lee van cliff Mathanzua Moronight walker mohamedidrisa789
MOTOCHINI green rajab PNU Bwana Utam
NiggaPac TUJITEGEMEE 1954 jameshyela
 
Tangu majeshi ya Russia yavamie Ukraine kumekuwa na tuhuma nyingi kutoka kwa Putin na Pro Russia kuwa majeshi ya NATO yamepelekwa Ukraine kupigana. Tuhuma hizo zimeenda mbali zaidi na kusema kuwa NATO inapeleka vifaa vyake vya kivita Ukraine. Rais Putin kila anapoongea na taifa amekuwa akidai kuwa wanapigana na NATO.

Watu wengi wanaofahamu vifaa vya kijeshi vinavyotumiwa na NATO vyenye Technology ya kisasa ikiwemo ndege za kivita, mifumo ya ulinzi wa anga (Air defense systems), vifaru (Tanks), silaha za kurusha mizinga (Artillery systems), silaha za kurusha makombora/Roketi (MLRS) n.k. wamekuwa wakisema kuwa hakuna silaha za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zimepelekwa Ukraine.

Propaganda za Russia/Putin zinapelekea watu wengi ambao hawajui na hawajawahi kuona silaha za kivita kuamini kuwa madai ya Russia yana ukweli. Pro Russia wengi wa huko Tanzania hawajui silaha za kivita zaidi ya magobole, SMG, mabomu ya machozi na magari ya washawasha yanayotumiwa na jeshi la polisi kupambana na machinga na wafuasi wa nyama vya upinzani.

Hata silaha zenye Technologies ya kisasa zinazotumika kupigana, kujilinda na upelelezi hawazijui. Lakini wamekuwa mabingwa wa kubisha kila kitu kwa ushabiki kama wa yanga na simba ya huko nyumbani.

Kwa kuwa Pro Russia wanaamini propaganda za Russia na hasa Putin, naomba watueleze machache tu ili tuweze kujua kama kweli wanaufahamu wa kutosha kuhusu silaha nzito zinazotumika Ukraine kujibu mapigo kwa Russia ambazo wanadai kuwa ni za NATO.

1. Je, ni silaha zipi za kulinda usalama wa anga (Air defense systems) ambazo unajua zinatumika Ukraine ambazo ni za NATO. ? Tutajia aina ya silaha na model plus series yake.

2. Je, ni silaha zipi za kurusha makombora ya masafa marefu (MLRS) na aina ya makombora ambayo yanatumiwa na majeshi ya NATO nchini Ukraine?. Taja aina, model na series yake.

3. Je, ni aina gani ya ndege za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zinatumika Ukraine na aina ya makombora yanayorushwa na ndege? Taja aina ya ndege, model na series yake.

4. Je, ni aina gani ya vifaru (Tanks) zinazotumika Ukraine ambazo zinatumiwa na NATO na zimepelekwa Ukraine?. Taja aina ya kifaru, model na series yake.

Naomba hoja hizi zijibiwe kwa facts siyo porojo na propaganda ili tujue kama kweli wanaosema hivo wanaelewa au wanaogelea kwenye Propaganda za Putin na pro Russia.

Uzi huu unaweza ukawa wa moto kwa wasio na hija na waliozoea porojo na matusi.

Karibuni
Hoja za kijinga hizi kwa sababu kila kitu kipo wazi
 
Sasa ukijenga hoja kwamba utajiwe series na model za silaha za NATO nani anafuatilia matoleo ya silaha za kisasa kama hayupo kwenye medani za kijeshi? Vita haichagui silaha za kisasa au za kizamani, kila upande unataka ushindi hata kwa kutumia fimbo na marungu. We huoni nchi za NATO zinayojifaragua kuwa zinatuma msaada ukraine?
 
Nichukue nafasi hii ku declare interest kwamba mimi ni pro russia na ni shabiki wa Putin kindakindaki nikujibu tu kwa kifupi ili tusitumie muda watu bure, kwanza kwanamna ulivyouleta uzi ni kana kwamba hujawahi kuwa na masikio wala macho tangu kuzaliwa kwako hivyo nakujibu kama ifuatavyo:

1. Ukraine haijawahi pokea silaha aina yoyote kutoka NATO

2. Ukraine haijawahi kuwa na kikao chochote na nchi za NATO
3. Ukraine haijawahi pokea aina yoyote ya msaada kutoka nchi za NATO
4. Urusi haijawahi kupambana na silaha yoyote kutoka NATO

5. Hata ile drone iliyokuwa na tani 1.5 ya vilipuzi iliyodondoshwa na fighter jets za urusi pale Black sea ilitoka kwa Alliens

6. Hakuna cha Stoltenberg,
Ursula hata Guteres aliyewahi itisha kikao cha NATO kuzungumzia vita ya Ukraine

7. Hata vikwazo urusi huwa inajifaragua haijawahi wekewa na nchi za NATO

8. Nadhani utakuwa umeridhika
 
Nichukue nafasi hii ku declare interest kwamba mimi ni pro russia na ni shabiki wa Putin kindakindaki nikujibu tu kwa kifupi ili tusitumie muda watu bure, kwanza kwanamna ulivyouleta uzi ni kana kwamba hujawahi kuwa na masikio wala macho tangu kuzaliwa kwako hivyo nakujibu kama ifuatavyo:

1. Ukraine haijawahi pokea silaha aina yoyote kutoka NATO

2. Ukraine haijawahi kuwa na kikao chochote na nchi za NATO
3. Ukraine haijawahi pokea aina yoyote ya msaada kutoka nchi za NATO
4. Urusi haijawahi kupambana na silaha yoyote kutoka NATO

5. Hata ile drone iliyokuwa na tani 1.5 ya vilipuzi iliyodondoshwa na fighter jets za urusi pale Black sea ilitoka kwa Alliens

6. Hakuna cha Stoltenberg,
Ursula hata Guteres aliyewahi itisha kikao cha NATO kuzungumzia vita ya Ukraine

7. Hata vikwazo urusi huwa inajifaragua haijawahi wekewa na nchi za NATO

8. Nadhani utakuwa umeridhika
Nilitaka kukupa like 2 ila ya pili imegoma.

Aliyeleta mada ni juha
 
Hakuna, Ukraine wametengeneza wenyewe silaha
1 Hakuna silaha za NATO
2 Hakuna wanajeshi wa NATO
3 Hakuna wataalam wa NATO
4 Hakuna wanajeshi wa Ukraine wanapewa mafunzo na nchi za NATO
Hivyo sisi warusi wa Kyela tunaitaka NATO iache kulalamika na kupiga kelele maana vita haiwahusu.
 
Tangu majeshi ya Russia yavamie Ukraine kumekuwa na tuhuma nyingi kutoka kwa Putin na Pro Russia kuwa majeshi ya NATO yamepelekwa Ukraine kupigana. Tuhuma hizo zimeenda mbali zaidi na kusema kuwa NATO inapeleka vifaa vyake vya kivita Ukraine. Rais Putin kila anapoongea na taifa amekuwa akidai kuwa wanapigana na NATO.

Watu wengi wanaofahamu vifaa vya kijeshi vinavyotumiwa na NATO vyenye Technology ya kisasa ikiwemo ndege za kivita, mifumo ya ulinzi wa anga (Air defense systems), vifaru (Tanks), silaha za kurusha mizinga (Artillery systems), silaha za kurusha makombora/Roketi (MLRS) n.k. wamekuwa wakisema kuwa hakuna silaha za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zimepelekwa Ukraine.

Propaganda za Russia/Putin zinapelekea watu wengi ambao hawajui na hawajawahi kuona silaha za kivita kuamini kuwa madai ya Russia yana ukweli. Pro Russia wengi wa huko Tanzania hawajui silaha za kivita zaidi ya magobole, SMG, mabomu ya machozi na magari ya washawasha yanayotumiwa na jeshi la polisi kupambana na machinga na wafuasi wa nyama vya upinzani.

Hata silaha zenye Technologies ya kisasa zinazotumika kupigana, kujilinda na upelelezi hawazijui. Lakini wamekuwa mabingwa wa kubisha kila kitu kwa ushabiki kama wa yanga na simba ya huko nyumbani.

Kwa kuwa Pro Russia wanaamini propaganda za Russia na hasa Putin, naomba watueleze machache tu ili tuweze kujua kama kweli wanaufahamu wa kutosha kuhusu silaha nzito zinazotumika Ukraine kujibu mapigo kwa Russia ambazo wanadai kuwa ni za NATO.

1. Je, ni silaha zipi za kulinda usalama wa anga (Air defense systems) ambazo unajua zinatumika Ukraine ambazo ni za NATO. ? Tutajia aina ya silaha na model plus series yake.

2. Je, ni silaha zipi za kurusha makombora ya masafa marefu (MLRS) na aina ya makombora ambayo yanatumiwa na majeshi ya NATO nchini Ukraine?. Taja aina, model na series yake.

3. Je, ni aina gani ya ndege za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zinatumika Ukraine na aina ya makombora yanayorushwa na ndege? Taja aina ya ndege, model na series yake.

4. Je, ni aina gani ya vifaru (Tanks) zinazotumika Ukraine ambazo zinatumiwa na NATO na zimepelekwa Ukraine?. Taja aina ya kifaru, model na series yake.

Naomba hoja hizi zijibiwe kwa facts siyo porojo na propaganda ili tujue kama kweli wanaosema hivo wanaelewa au wanaogelea kwenye Propaganda za Putin na pro Russia.

Uzi huu unaweza ukawa wa moto kwa wasio na hija na waliozoea porojo na matusi.

Karibuni
Sikuamini kuona hii post JF,hasa kwa sababu ya taarifa zilizozagaa kwenye vyombo vya habari vyote:Main Stream Media na Independent Media, kuhusu silaha za NATO zinazokuwa poured into Ukraine including Millitary Advicers and mercenaries from the US and Europe.

Mkuu of late F-16s have been pledged to Ukraine,ingawa naamini bado hazijakuwa delivered,ingawa training of pilots inaendelea.Nisiseme mengi,taarifa inayofuata,tena ya BBC,speaks it all.
Wewe ndugu yangu sijui ndio leo umekuja duniani from the pit of hell sielewi.Nikama umeibuka kutoka usingizini hiviii....!

Nimalizie kwa kukutaarifu kwamba NATO is in Ukraine full throttle,mbona sio siri.Infact if it wasn't for Russias' millitary might,surely Russia would have fallen already.

Tatizo lenu ninyi watu wa Marekani mnasikiliza local channels tu za Marekani,wanaficha taarifa authentic msijue uovu wa Serikali ya Marekani in Ukraine and across the World.Wake up guys,tafuteni taarifa authentic sio fake News za CNN,Fox,CNBC nk.
 
Hakuna, Ukraine wametengeneza wenyewe silaha
1 Hakuna silaha za NATO
2 Hakuna wanajeshi wa NATO
3 Hakuna wataalam wa NATO
4 Hakuna wanajeshi wa Ukraine wanapewa mafunzo na nchi za NATO
Hivyo sisi warusi wa Kyela tunaitaka NATO iache kulalamika na kupiga kelele maana vita haiwahusu.
Point namba nne umejikanyaga,naamini hujui ulichoandika.

Anyway,sikuamini kuona hii comment,hasa kwa sababu ya taarifa zilizozagaa kwenye vyombo vya habari vyote:Main Stream Media na Independent Media, kuhusu silaha za NATO zinazokuwa poured into Ukraine from NATO,including Millitary Advicers and mercenaries from the US and Europe.Also kwa ushahidi mwingi ambao tumeshauleta hapa JF kuhusu NATOs' involvement in Ukraine sikutegemea kuona comment hii.

Mkuu of late F-16s have been pledged to Ukraine,ingawa naamini bado hazijakuwa delivered,ingawa training of pilots inaendelea.Nisiseme mengi,taarifa inayofuata,tena ya BBC speaks it all.
Wewe ndugu yangu sijui ndio leo umekuja duniani sielewi.Nikama umeibuka kutoka usingizini hiviii....!

Nimalizie kwa kukutaarifu kwamba NATO is in Ukraine full throttle,mbona sio siri.Infact if it wasn't for Russias' millitary might,surely Russia would have fallen already.
 
Tangu majeshi ya Russia yavamie Ukraine kumekuwa na tuhuma nyingi kutoka kwa Putin na Pro Russia kuwa majeshi ya NATO yamepelekwa Ukraine kupigana. Tuhuma hizo zimeenda mbali zaidi na kusema kuwa NATO inapeleka vifaa vyake vya kivita Ukraine. Rais Putin kila anapoongea na taifa amekuwa akidai kuwa wanapigana na NATO.

Watu wengi wanaofahamu vifaa vya kijeshi vinavyotumiwa na NATO vyenye Technology ya kisasa ikiwemo ndege za kivita, mifumo ya ulinzi wa anga (Air defense systems), vifaru (Tanks), silaha za kurusha mizinga (Artillery systems), silaha za kurusha makombora/Roketi (MLRS) n.k. wamekuwa wakisema kuwa hakuna silaha za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zimepelekwa Ukraine.

Propaganda za Russia/Putin zinapelekea watu wengi ambao hawajui na hawajawahi kuona silaha za kivita kuamini kuwa madai ya Russia yana ukweli. Pro Russia wengi wa huko Tanzania hawajui silaha za kivita zaidi ya magobole, SMG, mabomu ya machozi na magari ya washawasha yanayotumiwa na jeshi la polisi kupambana na machinga na wafuasi wa nyama vya upinzani.

Hata silaha zenye Technologies ya kisasa zinazotumika kupigana, kujilinda na upelelezi hawazijui. Lakini wamekuwa mabingwa wa kubisha kila kitu kwa ushabiki kama wa yanga na simba ya huko nyumbani.

Kwa kuwa Pro Russia wanaamini propaganda za Russia na hasa Putin, naomba watueleze machache tu ili tuweze kujua kama kweli wanaufahamu wa kutosha kuhusu silaha nzito zinazotumika Ukraine kujibu mapigo kwa Russia ambazo wanadai kuwa ni za NATO.

1. Je, ni silaha zipi za kulinda usalama wa anga (Air defense systems) ambazo unajua zinatumika Ukraine ambazo ni za NATO. ? Tutajia aina ya silaha na model plus series yake.

2. Je, ni silaha zipi za kurusha makombora ya masafa marefu (MLRS) na aina ya makombora ambayo yanatumiwa na majeshi ya NATO nchini Ukraine?. Taja aina, model na series yake.

3. Je, ni aina gani ya ndege za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zinatumika Ukraine na aina ya makombora yanayorushwa na ndege? Taja aina ya ndege, model na series yake.

4. Je, ni aina gani ya vifaru (Tanks) zinazotumika Ukraine ambazo zinatumiwa na NATO na zimepelekwa Ukraine?. Taja aina ya kifaru, model na series yake.

Naomba hoja hizi zijibiwe kwa facts siyo porojo na propaganda ili tujue kama kweli wanaosema hivo wanaelewa au wanaogelea kwenye Propaganda za Putin na pro Russia.

Uzi huu unaweza ukawa wa moto kwa wasio na hija na waliozoea porojo na matusi.

Karibuni
Pumbavu ktk ubora wako. Na ongera sana kwa kujua silaha za kivita kuliko wabongo wote
 
Point namba Nne umejikanyaga,naamini hujui ulichoandika.

Anyway sikuamini kuona hii post JF,hasa kwa sababu ya taarifa zilizozagaa kwenye vyombo vya habari vyote:Main Stream Media na Independent Media, kuhusu silaha za NATO zinazokuwa poured into Ukraine including Millitary Advicers and mercenaries from the US and Europe.

Mkuu of late F-16s have been pledged to Ukraine,ingawa naamini bado hazijakuwa delivered,ingawa training of pilots inaendelea.Nisiseme mengi,taarifa inayofuata,tena ya BBC speaks it all.
Wewe ndugu yangu sijui ndio leo umekuja duniani sielewi.Nikama umeibuka kutoka usingizini hiviii....!

Nimalizie kwa kukutaarifu kwamba NATO is in Ukraine full throttle,mbona sio siri.Infact if it wasn't for Russias' millitary might,surely Russia would have fallen already.
Mkuu una moyo, hongera ila huyu ilikuwa asijibiwe anatujaribu tu, uzi kma hiu ungeletewa mwezi wa 3 mwaka jana siyo saa hizi ambapo misaada kwa Ukrain na vikao na matamko kwa nchi wafadhili havijawa siri tena.
 
Point namba nne umejikanyaga,naamini hujui ulichoandika.

Anyway,sikuamini kuona hii comment,hasa kwa sababu ya taarifa zilizozagaa kwenye vyombo vya habari vyote:Main Stream Media na Independent Media, kuhusu silaha za NATO zinazokuwa poured into Ukraine from NATO,including Millitary Advicers and mercenaries from the US and Europe.Also kwa ushahidi mwingi ambao tumeshauleta hapa JF kuhusu NATOs' involvement in Ukraine sikutegemea kuona comment hii.

Mkuu of late F-16s have been pledged to Ukraine,ingawa naamini bado hazijakuwa delivered,ingawa training of pilots inaendelea.Nisiseme mengi,taarifa inayofuata,tena ya BBC speaks it all.
Wewe ndugu yangu sijui ndio leo umekuja duniani sielewi.Nikama umeibuka kutoka usingizini hiviii....!

Nimalizie kwa kukutaarifu kwamba NATO is in Ukraine full throttle,mbona sio siri.Infact if it wasn't for Russias' millitary might,surely Russia would have fallen already.
Jamaa uliyemkwait anamnanga mtoa mada
 
Back
Top Bottom