Uzito uko wapi kwa Urusi kuipatia silaha nzito Yemen ikaipiga Marekani?

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,191
10,925
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa.

Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina kwa Ukraine ili kipigo kwa Urusi kiwe ni cha haraka.

Misaada ya Marekani imekuwa ikitolewa kwa mafungu na kupitishwa kwenye mabaraza ya mabunge ya nchi hiyo.

Miongoni mwa silaha nzito zilizotolewa kwa Ukraine ambazo hata watoto wadogo wamezisikia ni pamoja na Himars, vifaru vya kisasa vya Abrams na Bradley.

Karibuni kabisa Ukraine imepatiwa silaha nzito zaidi za ndege za kivita matoleo ya kisasa.

Urusi imekuwa na fursa za uzoefu wa kivita na ukubwa wa jeshi na silaha za kisasa pengine kuliko za Marekani.

Hata hivyo imekuwa ikipata hasara kubwa za kivita ikiwa ni pamoja na kuzamishwa kwa meli zake za kivita na kuripuliwa vituo muhimu vya kijeshi pamoja na kuuliwa kwa idadi kubwa ya askari wake kutokana na silaha hizo za Marekani pamoja na washirika wake wa NATO.

Kuanza kwa vita vya Israel na Palestina kumeisogeza sana Marekani katika vita hivyo kutokana na ushirika wake na Israel.Kwa bahati mbaya wapalestina wamekosa watu wa kuwaunga mkono kati ya wale wenye nguvu za kijeshi na ambao ni ndugu na majirani zao.

Ni watu wawili pekee ambao wamejitokeza na kujitangaza kuwaunga mkono Hamas wanaoongoza mapambano upande wa Palestina.

Watu hao ni wanamgambo wa Hizbullah na wale wa Houth wa Yemen.

Wakati Hizbullah ina silaha nzito kuliko za Houth lakini imekuwa ikipigana huku ikihofia kulaumiwa na serikalli yao ya Lebanon ambayo ina uhusiano mzuri nayo na kila mmoja akijizuia kumuudhi mwenzake.

Ukiacha Hizbullah,wanamgambo wa Houth wana ari zaidi ya kupigana na Israel na kila anayeisaidia kuuwa wanaowaita ni ndugu zao.

Inaonekana hasira na nia za Houth wangekuwa na silaha kama zile za Hizbullah tu basi mashariki ya kati pasingekuwa pahala salama tena kwa Marekani na Israel.

Katika hali hiyo ingetarajiwa sana kuwa Urusi ingeona ni fursa nzuri kuitia adabu Marekani ambayo imeisababishia hasara kubwa sana ikiwemo vifo vya maelfu ya askari wake.

Wangeipenyezea Yemen chini ya Houth makombora yenye uwezo wa kupiga meli na kuizamisha sio vile vikombora ambavyo hupiga na kusababisha moto tu ambao ukiwahi kuzimwa meli inaendelea na safari yake.

Urusi ingeipatia Yemen yale makombora yake yanayosafiri angani na kupiga chenga makombora yanayoyafukuza na hatimae kutua yalipokusudiwa.

Wangeipenyezea ndege angalau moja ya Sukhoi 24 au chini yake ambazo zina uwezo wa kuruka mpaka ndani Israel na kupiga na kurudi.

Iwapo yote hayo yataitangaza Urusi rasmi kuwa imeingia vitani na wachokozi hao, basi angalau ingetuma vikosi vya Wagner pamoja na droni z kisasa zaidi ili ziweze kupiga maeneo ya kusini ya Israel kama vile zinavyopiga bandari za ukraine zinazosafirisha ngano za nchi hiyo.

Yote hayo ingekuwa ni kulipiza kisasi kwa Marekani iliyoisababishia hasara kupitia Ukraine.

Kinyume chake Marekani imejileta karibu kwenye vita na Yemen imewachwa bila kupewa msaada wa maana kuendeleza au kumaliza vita hivyo.Sababu ni ipi hasa?
 
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa.

Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina kwa Ukraine ili kipigo kwa Urusi kiwe ni cha haraka.

Misaada ya Marekani imekuwa ikitolewa kwa mafungu na kupitishwa kwenye mabaraza ya mabunge ya nchi hiyo.

Miongoni mwa silaha nzito zilizotolewa kwa Ukraine ambazo hata watoto wadogo wamezisikia ni pamoja na Himars, vifaru vya kisasa vya Abrams na Bradley.

Karibuni kabisa Ukraine imepatiwa silaha nzito zaidi za ndege za kivita matoleo ya kisasa.

Urusi imekuwa na fursa za uzoefu wa kivita na ukubwa wa jeshi na silaha za kisasa pengine kuliko za Marekani.

Hata hivyo imekuwa ikipata hasara kubwa za kivita ikiwa ni pamoja na kuzamishwa kwa meli zake za kivita na kuripuliwa vituo muhimu vya kijeshi pamoja na kuuliwa kwa idadi kubwa ya askari wake kutokana na silaha hizo za Marekani pamoja na washirika wake wa NATO.

Kuanza kwa vita vya Israel na Palestina kumeisogeza sana Marekani katika vita hivyo kutokana na ushirika wake na Israel.Kwa bahati mbaya wapalestina wamekosa watu wa kuwaunga mkono kati ya wale wenye nguvu za kijeshi na ambao ni ndugu na majirani zao.

Ni watu wawili pekee ambao wamejitokeza na kujitangaza kuwaunga mkono Hamas wanaoongoza mapambano upande wa Palestina.

Watu hao ni wanamgambo wa Hizbullah na wale wa Houth wa Yemen.

Wakati Hizbullah ina silaha nzito kuliko za Houth lakini imekuwa ikipigana huku ikihofia kulaumiwa na serikalli yao ya Lebanon ambayo ina uhusiano mzuri nayo na kila mmoja akijizuia kumuudhi mwenzake.

Ukiacha Hizbullah,wanamgambo wa Houth wana ari zaidi ya kupigana na Israel na kila anayeisaidia kuuwa wanaowaita ni ndugu zao.

Inaonekana hasira na nia za Houth wangekuwa na silaha kama zile za Hizbullah tu basi mashariki ya kati pasingekuwa pahala salama tena kwa Marekani na Israel.

Katika hali hiyo ingetarajiwa sana kuwa Urusi ingeona ni fursa nzuri kuitia adabu Marekani ambayo imeisababishia hasara kubwa sana ikiwemo vifo vya maelfu ya askari wake.

Wangeipenyezea Yemen chini ya Houth makombora yenye uwezo wa kupiga meli na kuizamisha sio vile vikombora ambavyo hupiga na kusababisha moto tu ambao ukiwahi kuzimwa meli inaendelea na safari yake.

Urusi ingeipatia Yemen yale makombora yake yanayosafiri angani na kupiga chenga makombora yanayoyafukuza na hatimae kutua yalipokusudiwa.

Wangeipenyezea ndege angalau moja ya Sukhoi 24 au chini yake ambazo zina uwezo wa kuruka mpaka ndani Israel na kupiga na kurudi.

Iwapo yote hayo yataitangaza Urusi rasmi kuwa imeingia vitani na wachokozi hao, basi angalau ingetuma vikosi vya Wagner pamoja na droni z kisasa zaidi ili ziweze kupiga maeneo ya kusini ya Israel kama vile zinavyopiga bandari za ukraine zinazosafirisha ngano za nchi hiyo.

Yote hayo ingekuwa ni kulipiza kisasi kwa Marekani iliyoisababishia hasara kupitia Ukraine.

Kinyume chake Marekani imejileta karibu kwenye vita na Yemen imewachwa bila kupewa msaada wa maana kuendeleza au kumaliza vita hivyo.Sababu ni ipi hasa?
Waislam mnaota mchana
 
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa.

Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina kwa Ukraine ili kipigo kwa Urusi kiwe ni cha haraka.

Misaada ya Marekani imekuwa ikitolewa kwa mafungu na kupitishwa kwenye mabaraza ya mabunge ya nchi hiyo.

Miongoni mwa silaha nzito zilizotolewa kwa Ukraine ambazo hata watoto wadogo wamezisikia ni pamoja na Himars, vifaru vya kisasa vya Abrams na Bradley.

Karibuni kabisa Ukraine imepatiwa silaha nzito zaidi za ndege za kivita matoleo ya kisasa.

Urusi imekuwa na fursa za uzoefu wa kivita na ukubwa wa jeshi na silaha za kisasa pengine kuliko za Marekani.

Hata hivyo imekuwa ikipata hasara kubwa za kivita ikiwa ni pamoja na kuzamishwa kwa meli zake za kivita na kuripuliwa vituo muhimu vya kijeshi pamoja na kuuliwa kwa idadi kubwa ya askari wake kutokana na silaha hizo za Marekani pamoja na washirika wake wa NATO.

Kuanza kwa vita vya Israel na Palestina kumeisogeza sana Marekani katika vita hivyo kutokana na ushirika wake na Israel.Kwa bahati mbaya wapalestina wamekosa watu wa kuwaunga mkono kati ya wale wenye nguvu za kijeshi na ambao ni ndugu na majirani zao.

Ni watu wawili pekee ambao wamejitokeza na kujitangaza kuwaunga mkono Hamas wanaoongoza mapambano upande wa Palestina.

Watu hao ni wanamgambo wa Hizbullah na wale wa Houth wa Yemen.

Wakati Hizbullah ina silaha nzito kuliko za Houth lakini imekuwa ikipigana huku ikihofia kulaumiwa na serikalli yao ya Lebanon ambayo ina uhusiano mzuri nayo na kila mmoja akijizuia kumuudhi mwenzake.

Ukiacha Hizbullah,wanamgambo wa Houth wana ari zaidi ya kupigana na Israel na kila anayeisaidia kuuwa wanaowaita ni ndugu zao.

Inaonekana hasira na nia za Houth wangekuwa na silaha kama zile za Hizbullah tu basi mashariki ya kati pasingekuwa pahala salama tena kwa Marekani na Israel.

Katika hali hiyo ingetarajiwa sana kuwa Urusi ingeona ni fursa nzuri kuitia adabu Marekani ambayo imeisababishia hasara kubwa sana ikiwemo vifo vya maelfu ya askari wake.

Wangeipenyezea Yemen chini ya Houth makombora yenye uwezo wa kupiga meli na kuizamisha sio vile vikombora ambavyo hupiga na kusababisha moto tu ambao ukiwahi kuzimwa meli inaendelea na safari yake.

Urusi ingeipatia Yemen yale makombora yake yanayosafiri angani na kupiga chenga makombora yanayoyafukuza na hatimae kutua yalipokusudiwa.

Wangeipenyezea ndege angalau moja ya Sukhoi 24 au chini yake ambazo zina uwezo wa kuruka mpaka ndani Israel na kupiga na kurudi.

Iwapo yote hayo yataitangaza Urusi rasmi kuwa imeingia vitani na wachokozi hao, basi angalau ingetuma vikosi vya Wagner pamoja na droni z kisasa zaidi ili ziweze kupiga maeneo ya kusini ya Israel kama vile zinavyopiga bandari za ukraine zinazosafirisha ngano za nchi hiyo.

Yote hayo ingekuwa ni kulipiza kisasi kwa Marekani iliyoisababishia hasara kupitia Ukraine.

Kinyume chake Marekani imejileta karibu kwenye vita na Yemen imewachwa bila kupewa msaada wa maana kuendeleza au kumaliza vita hivyo.Sababu ni ipi hasa?
Kwan nyie waislamu mnataka kumsusia Allah bikira alizowaandalia? Hamuendi tena?
 
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa.

Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina kwa Ukraine ili kipigo kwa Urusi kiwe ni cha haraka.

Misaada ya Marekani imekuwa ikitolewa kwa mafungu na kupitishwa kwenye mabaraza ya mabunge ya nchi hiyo.

Miongoni mwa silaha nzito zilizotolewa kwa Ukraine ambazo hata watoto wadogo wamezisikia ni pamoja na Himars, vifaru vya kisasa vya Abrams na Bradley.

Karibuni kabisa Ukraine imepatiwa silaha nzito zaidi za ndege za kivita matoleo ya kisasa.

Urusi imekuwa na fursa za uzoefu wa kivita na ukubwa wa jeshi na silaha za kisasa pengine kuliko za Marekani.

Hata hivyo imekuwa ikipata hasara kubwa za kivita ikiwa ni pamoja na kuzamishwa kwa meli zake za kivita na kuripuliwa vituo muhimu vya kijeshi pamoja na kuuliwa kwa idadi kubwa ya askari wake kutokana na silaha hizo za Marekani pamoja na washirika wake wa NATO.

Kuanza kwa vita vya Israel na Palestina kumeisogeza sana Marekani katika vita hivyo kutokana na ushirika wake na Israel.Kwa bahati mbaya wapalestina wamekosa watu wa kuwaunga mkono kati ya wale wenye nguvu za kijeshi na ambao ni ndugu na majirani zao.

Ni watu wawili pekee ambao wamejitokeza na kujitangaza kuwaunga mkono Hamas wanaoongoza mapambano upande wa Palestina.

Watu hao ni wanamgambo wa Hizbullah na wale wa Houth wa Yemen.

Wakati Hizbullah ina silaha nzito kuliko za Houth lakini imekuwa ikipigana huku ikihofia kulaumiwa na serikalli yao ya Lebanon ambayo ina uhusiano mzuri nayo na kila mmoja akijizuia kumuudhi mwenzake.

Ukiacha Hizbullah,wanamgambo wa Houth wana ari zaidi ya kupigana na Israel na kila anayeisaidia kuuwa wanaowaita ni ndugu zao.

Inaonekana hasira na nia za Houth wangekuwa na silaha kama zile za Hizbullah tu basi mashariki ya kati pasingekuwa pahala salama tena kwa Marekani na Israel.

Katika hali hiyo ingetarajiwa sana kuwa Urusi ingeona ni fursa nzuri kuitia adabu Marekani ambayo imeisababishia hasara kubwa sana ikiwemo vifo vya maelfu ya askari wake.

Wangeipenyezea Yemen chini ya Houth makombora yenye uwezo wa kupiga meli na kuizamisha sio vile vikombora ambavyo hupiga na kusababisha moto tu ambao ukiwahi kuzimwa meli inaendelea na safari yake.

Urusi ingeipatia Yemen yale makombora yake yanayosafiri angani na kupiga chenga makombora yanayoyafukuza na hatimae kutua yalipokusudiwa.

Wangeipenyezea ndege angalau moja ya Sukhoi 24 au chini yake ambazo zina uwezo wa kuruka mpaka ndani Israel na kupiga na kurudi.

Iwapo yote hayo yataitangaza Urusi rasmi kuwa imeingia vitani na wachokozi hao, basi angalau ingetuma vikosi vya Wagner pamoja na droni z kisasa zaidi ili ziweze kupiga maeneo ya kusini ya Israel kama vile zinavyopiga bandari za ukraine zinazosafirisha ngano za nchi hiyo.

Yote hayo ingekuwa ni kulipiza kisasi kwa Marekani iliyoisababishia hasara kupitia Ukraine.

Kinyume chake Marekani imejileta karibu kwenye vita na Yemen imewachwa bila kupewa msaada wa maana kuendeleza au kumaliza vita hivyo.Sababu ni ipi hasa?
Urusi mwenyewe hamuwezi US afu Urusi atoe silaha kwa Yemen ili amshinde US, mbona hivi ni vihoja ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa.

Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina kwa Ukraine ili kipigo kwa Urusi kiwe ni cha haraka.

Misaada ya Marekani imekuwa ikitolewa kwa mafungu na kupitishwa kwenye mabaraza ya mabunge ya nchi hiyo.

Miongoni mwa silaha nzito zilizotolewa kwa Ukraine ambazo hata watoto wadogo wamezisikia ni pamoja na Himars, vifaru vya kisasa vya Abrams na Bradley.

Karibuni kabisa Ukraine imepatiwa silaha nzito zaidi za ndege za kivita matoleo ya kisasa.

Urusi imekuwa na fursa za uzoefu wa kivita na ukubwa wa jeshi na silaha za kisasa pengine kuliko za Marekani.

Hata hivyo imekuwa ikipata hasara kubwa za kivita ikiwa ni pamoja na kuzamishwa kwa meli zake za kivita na kuripuliwa vituo muhimu vya kijeshi pamoja na kuuliwa kwa idadi kubwa ya askari wake kutokana na silaha hizo za Marekani pamoja na washirika wake wa NATO.

Kuanza kwa vita vya Israel na Palestina kumeisogeza sana Marekani katika vita hivyo kutokana na ushirika wake na Israel.Kwa bahati mbaya wapalestina wamekosa watu wa kuwaunga mkono kati ya wale wenye nguvu za kijeshi na ambao ni ndugu na majirani zao.

Ni watu wawili pekee ambao wamejitokeza na kujitangaza kuwaunga mkono Hamas wanaoongoza mapambano upande wa Palestina.

Watu hao ni wanamgambo wa Hizbullah na wale wa Houth wa Yemen.

Wakati Hizbullah ina silaha nzito kuliko za Houth lakini imekuwa ikipigana huku ikihofia kulaumiwa na serikalli yao ya Lebanon ambayo ina uhusiano mzuri nayo na kila mmoja akijizuia kumuudhi mwenzake.

Ukiacha Hizbullah,wanamgambo wa Houth wana ari zaidi ya kupigana na Israel na kila anayeisaidia kuuwa wanaowaita ni ndugu zao.

Inaonekana hasira na nia za Houth wangekuwa na silaha kama zile za Hizbullah tu basi mashariki ya kati pasingekuwa pahala salama tena kwa Marekani na Israel.

Katika hali hiyo ingetarajiwa sana kuwa Urusi ingeona ni fursa nzuri kuitia adabu Marekani ambayo imeisababishia hasara kubwa sana ikiwemo vifo vya maelfu ya askari wake.

Wangeipenyezea Yemen chini ya Houth makombora yenye uwezo wa kupiga meli na kuizamisha sio vile vikombora ambavyo hupiga na kusababisha moto tu ambao ukiwahi kuzimwa meli inaendelea na safari yake.

Urusi ingeipatia Yemen yale makombora yake yanayosafiri angani na kupiga chenga makombora yanayoyafukuza na hatimae kutua yalipokusudiwa.

Wangeipenyezea ndege angalau moja ya Sukhoi 24 au chini yake ambazo zina uwezo wa kuruka mpaka ndani Israel na kupiga na kurudi.

Iwapo yote hayo yataitangaza Urusi rasmi kuwa imeingia vitani na wachokozi hao, basi angalau ingetuma vikosi vya Wagner pamoja na droni z kisasa zaidi ili ziweze kupiga maeneo ya kusini ya Israel kama vile zinavyopiga bandari za ukraine zinazosafirisha ngano za nchi hiyo.

Yote hayo ingekuwa ni kulipiza kisasi kwa Marekani iliyoisababishia hasara kupitia Ukraine.

Kinyume chake Marekani imejileta karibu kwenye vita na Yemen imewachwa bila kupewa msaada wa maana kuendeleza au kumaliza vita hivyo.Sababu ni ipi hasa?
Matamanio yako hayatekelezeki shekhe.

Urusi mwenyewe silaha za kupigana na Ukraine anapewa msaada na Iran, North Korea, nk. Hizo za kupelekea magaidi atatoa wapi na atapitisha wapi?
 
Wenzako wa Gaza waliandamana kwa dakika kiduchu wakiwa wamebeba picha ya Putin na Kim lakini hakuna aliyethubutu kuwasaidia. Tunapo waambia kuwa Myahudi ndiye mtawala wa dunia, muwe mnaelewa. Hata kama Israeli akiamua kuwafyeka wapalestina wote hakuna wa kwenda kusaidia. Achana na viwete wa Yemen na Lebanon ambao hawana uwezo wowote.
 
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa.

Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina kwa Ukraine ili kipigo kwa Urusi kiwe ni cha haraka.

Misaada ya Marekani imekuwa ikitolewa kwa mafungu na kupitishwa kwenye mabaraza ya mabunge ya nchi hiyo.

Miongoni mwa silaha nzito zilizotolewa kwa Ukraine ambazo hata watoto wadogo wamezisikia ni pamoja na Himars, vifaru vya kisasa vya Abrams na Bradley.

Karibuni kabisa Ukraine imepatiwa silaha nzito zaidi za ndege za kivita matoleo ya kisasa.

Urusi imekuwa na fursa za uzoefu wa kivita na ukubwa wa jeshi na silaha za kisasa pengine kuliko za Marekani.

Hata hivyo imekuwa ikipata hasara kubwa za kivita ikiwa ni pamoja na kuzamishwa kwa meli zake za kivita na kuripuliwa vituo muhimu vya kijeshi pamoja na kuuliwa kwa idadi kubwa ya askari wake kutokana na silaha hizo za Marekani pamoja na washirika wake wa NATO.

Kuanza kwa vita vya Israel na Palestina kumeisogeza sana Marekani katika vita hivyo kutokana na ushirika wake na Israel.Kwa bahati mbaya wapalestina wamekosa watu wa kuwaunga mkono kati ya wale wenye nguvu za kijeshi na ambao ni ndugu na majirani zao.

Ni watu wawili pekee ambao wamejitokeza na kujitangaza kuwaunga mkono Hamas wanaoongoza mapambano upande wa Palestina.

Watu hao ni wanamgambo wa Hizbullah na wale wa Houth wa Yemen.

Wakati Hizbullah ina silaha nzito kuliko za Houth lakini imekuwa ikipigana huku ikihofia kulaumiwa na serikalli yao ya Lebanon ambayo ina uhusiano mzuri nayo na kila mmoja akijizuia kumuudhi mwenzake.

Ukiacha Hizbullah,wanamgambo wa Houth wana ari zaidi ya kupigana na Israel na kila anayeisaidia kuuwa wanaowaita ni ndugu zao.

Inaonekana hasira na nia za Houth wangekuwa na silaha kama zile za Hizbullah tu basi mashariki ya kati pasingekuwa pahala salama tena kwa Marekani na Israel.

Katika hali hiyo ingetarajiwa sana kuwa Urusi ingeona ni fursa nzuri kuitia adabu Marekani ambayo imeisababishia hasara kubwa sana ikiwemo vifo vya maelfu ya askari wake.

Wangeipenyezea Yemen chini ya Houth makombora yenye uwezo wa kupiga meli na kuizamisha sio vile vikombora ambavyo hupiga na kusababisha moto tu ambao ukiwahi kuzimwa meli inaendelea na safari yake.

Urusi ingeipatia Yemen yale makombora yake yanayosafiri angani na kupiga chenga makombora yanayoyafukuza na hatimae kutua yalipokusudiwa.

Wangeipenyezea ndege angalau moja ya Sukhoi 24 au chini yake ambazo zina uwezo wa kuruka mpaka ndani Israel na kupiga na kurudi.

Iwapo yote hayo yataitangaza Urusi rasmi kuwa imeingia vitani na wachokozi hao, basi angalau ingetuma vikosi vya Wagner pamoja na droni z kisasa zaidi ili ziweze kupiga maeneo ya kusini ya Israel kama vile zinavyopiga bandari za ukraine zinazosafirisha ngano za nchi hiyo.

Yote hayo ingekuwa ni kulipiza kisasi kwa Marekani iliyoisababishia hasara kupitia Ukraine.

Kinyume chake Marekani imejileta karibu kwenye vita na Yemen imewachwa bila kupewa msaada wa maana kuendeleza au kumaliza vita hivyo.Sababu ni ipi hasa?
Urusi mwenyewe sasahivi silaha hana anaomba Iran,korea kaskazini, South Africa, China
 
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa.

Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina kwa Ukraine ili kipigo kwa Urusi kiwe ni cha haraka.

Misaada ya Marekani imekuwa ikitolewa kwa mafungu na kupitishwa kwenye mabaraza ya mabunge ya nchi hiyo.

Miongoni mwa silaha nzito zilizotolewa kwa Ukraine ambazo hata watoto wadogo wamezisikia ni pamoja na Himars, vifaru vya kisasa vya Abrams na Bradley.

Karibuni kabisa Ukraine imepatiwa silaha nzito zaidi za ndege za kivita matoleo ya kisasa.

Urusi imekuwa na fursa za uzoefu wa kivita na ukubwa wa jeshi na silaha za kisasa pengine kuliko za Marekani.

Hata hivyo imekuwa ikipata hasara kubwa za kivita ikiwa ni pamoja na kuzamishwa kwa meli zake za kivita na kuripuliwa vituo muhimu vya kijeshi pamoja na kuuliwa kwa idadi kubwa ya askari wake kutokana na silaha hizo za Marekani pamoja na washirika wake wa NATO.

Kuanza kwa vita vya Israel na Palestina kumeisogeza sana Marekani katika vita hivyo kutokana na ushirika wake na Israel.Kwa bahati mbaya wapalestina wamekosa watu wa kuwaunga mkono kati ya wale wenye nguvu za kijeshi na ambao ni ndugu na majirani zao.

Ni watu wawili pekee ambao wamejitokeza na kujitangaza kuwaunga mkono Hamas wanaoongoza mapambano upande wa Palestina.

Watu hao ni wanamgambo wa Hizbullah na wale wa Houth wa Yemen.

Wakati Hizbullah ina silaha nzito kuliko za Houth lakini imekuwa ikipigana huku ikihofia kulaumiwa na serikalli yao ya Lebanon ambayo ina uhusiano mzuri nayo na kila mmoja akijizuia kumuudhi mwenzake.

Ukiacha Hizbullah,wanamgambo wa Houth wana ari zaidi ya kupigana na Israel na kila anayeisaidia kuuwa wanaowaita ni ndugu zao.

Inaonekana hasira na nia za Houth wangekuwa na silaha kama zile za Hizbullah tu basi mashariki ya kati pasingekuwa pahala salama tena kwa Marekani na Israel.

Katika hali hiyo ingetarajiwa sana kuwa Urusi ingeona ni fursa nzuri kuitia adabu Marekani ambayo imeisababishia hasara kubwa sana ikiwemo vifo vya maelfu ya askari wake.

Wangeipenyezea Yemen chini ya Houth makombora yenye uwezo wa kupiga meli na kuizamisha sio vile vikombora ambavyo hupiga na kusababisha moto tu ambao ukiwahi kuzimwa meli inaendelea na safari yake.

Urusi ingeipatia Yemen yale makombora yake yanayosafiri angani na kupiga chenga makombora yanayoyafukuza na hatimae kutua yalipokusudiwa.

Wangeipenyezea ndege angalau moja ya Sukhoi 24 au chini yake ambazo zina uwezo wa kuruka mpaka ndani Israel na kupiga na kurudi.

Iwapo yote hayo yataitangaza Urusi rasmi kuwa imeingia vitani na wachokozi hao, basi angalau ingetuma vikosi vya Wagner pamoja na droni z kisasa zaidi ili ziweze kupiga maeneo ya kusini ya Israel kama vile zinavyopiga bandari za ukraine zinazosafirisha ngano za nchi hiyo.

Yote hayo ingekuwa ni kulipiza kisasi kwa Marekani iliyoisababishia hasara kupitia Ukraine.

Kinyume chake Marekani imejileta karibu kwenye vita na Yemen imewachwa bila kupewa msaada wa maana kuendeleza au kumaliza vita hivyo.Sababu ni ipi hasa?
Viongozi wa Russia wana busara siyo kama wewe
 
Nakubali inawezekana warusi wakawa wajinga lakini sio kwa upumbavu huo ulionao wa kufikiria yasiyowezekana.

Ukikalia tu elimu ya madrasa lazima tu reasoning capacity iwe ndogo hata ufanyeje.
Unadanganya watu na unajidanganya.Kama hujui uwezo wa kufikiri kwa undani sana wa jambo uko kwa waislamu na wamehimizwa kufanya hivyo ndani ya dini yao.
Kama wakristo wangekuwa na uwezo huo basi hata papa Francis asingekalia kiti cha upapa.Na kusingekuwepo na watu wanaoingia makanisani tena.
 
Back
Top Bottom