Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

Nani azifute wakati wanakusanya kodi tena nyingi si kidogo.
Magu alifunga hadi bereau lakini si kampuni za kubet
Hapo alikosea Magu.

Atokee kiongozi azifute, maana mbali na Kodi kiduchu wanazopokea, pesa nyingi, JASHO la Watz linaenda ulaya.

Sisi vijana wanabaki katika lindi kubwa la Umaskini.
 
Magufuli alishindwa kuifuta kamari licha ya kupewa ombi na yule sheikh.
Samia akipewa hili ombi surely atafuta kamari ndani ya siku moja .
Aliweza kufuta/kuzuia mitandao ya porno mara tu alipopata ombi.
Sema kizazi cha nyoka hakisikii kinawasha VPN kupata PORNO.
Akifunga kampuni za betting ataokoa mabilioni ya fedha kila siku.
Nguvu kazi ya taifa inaharibika, uchumi wa Taifa unaibwa na wageni kwa njia ya kamari
Samia akifuta hili,

Nitakuwa wa kwanza Kutoka kumpongeza.
 
1. Kodi
2. Kura

Kitu chochote kinachogusa mambo hayo mawili serikali hutokaa uione ikiingilia kati.
 
1. Kodi
2. Kura

Kitu chochote kinachogusa mambo hayo mawili serikali hutokaa uione ikiingilia kati.
Haipasi kuwa hivyo,

Bangi na drugs Zina pesa mingi sana, mbona hawapendi kuzihalalisha Ili wachukue Kodi?

Tunaua uzao wa vizazi vijavyo Kwa kuruhusu betting.
 
Haipasi kuwa hivyo,

Bangi na drugs Zina pesa mingi sana, mbona hawapendi kuzihalalisha Ili wamchukue Kodi?

Tunaua uzao wa vizazi vijavyo Kwa kuruhusu betting.
Ndio iko hivyo. Focus ni kupata kodi na kuendelea kubaki madarakani.
 
KAMARI KAMARI KAMARI
Nimekuita mara 3 KAMARI.

HUU NI ZAIDI YA USHETANI.
WAZUNGU WANAMIKATABA MIGUMU SANA NA SHETANI.
 
Salaam, Shalom!

Siku moja nilitoka nyumbani kwangu nilipanga kwenda mjini kununua baadhi ya mahitaji muhimu ya vifaa vya umeme,

Niliondoka nyumbani majira ya saa tisa hivi, baada ya nusu saa, nilifika mjini, Sasa Pana duka la vifaa vya umeme kubwa nililokuwa nikitumia kununua mahitaji yangu hapo mjini muda mrefu uliopita, nikiwa natembea nikasema, niende duka lile nikapate mahitaji yangu na kuokoa muda.

Nikapaki gari yangu pembeni kidogo ya sehemu lilipokuwapo duka lile, Nilishuka na kutembea kulikaribia duka lile.

Kilichonishangaza, nikakuta mazingira tofauti kabisa, nje Kuna huduma za chakula watu walionekana wanakula na kunywa Kwa furaha.

Nilikuta duka lile limeongezeka ukubwa na kuongewza urefu, nje alikaa afisa wa ulinzi smart, palifungwa camera za USALAMA, ofisi ilinakshiwa kisasa zaidi. Ndani palikuwa na wazungu kadhaa na wafanyakazi waliovalia mavazi nadhifu.

Nikavutiwa kuingia ndani ya ofisi hiyo kujua nini kinaendelea humo, pia nilitaka kujua muuza electronics alihamia wapi,

Kuingia ndani ya ofisi hiyo, nikakuta watu wenye Rika mbalimbali watanashati, wengi walikuwa vijana na wanawake Wachache,

Mle ndani palikuwa na utulivu wa kutosha, AC Kila Kona, kila mtu alikuwa ameshika kalamu na karatasi na alionekana kumakinika na kusoma kilicho kwenye karatasi,

Nikawaza hiki ni nini watu Hawa wanafanya, niliwaza, yaezakuwa wanafanya labda mtihani hivi, niliwaheshimu sana, nilipoona hali Ile, nami nikalazimika kusogea pembeni alipokuwa askari yule wa USALAMA na kuuliza watu wale wanafanya nini, na ofisi Ile inajishughulisha na nini,

Mlinzi yule alinijibu kuwa pale ni ofisi za BETTING, watu wanachukua mikeka kutabiri timu za mpira wa miguu.

Sura yangu ilifura ghafula, nilitoka haraka ndani ya ofisi Ile nikijilaumu kupoteza muda wangu kuingia ofisi ya ulaghai Kwa nguvukazi yetu ya Taifa inayowateka vijana kuamini kuwa maisha yaezapatikana Kwa Bahati nasibu.

OMBI: Atokee kiongozi mmoja mkorofi aina ya Magu, afute Ujinga huu unaopoteza nguvu KAZI ya Taifa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Amen.
MANCHESTER UNITED vs LIVERPOOL - Gg,(Bothteamtoscore) odd 4 Weka lakimoja upate lakinne
Ndio tunavyoishi hvyo
 
Salaam, Shalom!

Siku moja nilitoka nyumbani kwangu nilipanga kwenda mjini kununua baadhi ya mahitaji muhimu ya vifaa vya umeme,

Niliondoka nyumbani majira ya saa tisa hivi, baada ya nusu saa, nilifika mjini, Sasa Pana duka la vifaa vya umeme kubwa nililokuwa nikitumia kununua mahitaji yangu hapo mjini muda mrefu uliopita, nikiwa natembea nikasema, niende duka lile nikapate mahitaji yangu na kuokoa muda.

Nikapaki gari yangu pembeni kidogo ya sehemu lilipokuwapo duka lile, Nilishuka na kutembea kulikaribia duka lile.

Kilichonishangaza, nikakuta mazingira tofauti kabisa, nje Kuna huduma za chakula watu walionekana wanakula na kunywa Kwa furaha.

Nilikuta duka lile limeongezeka ukubwa na kuongewza urefu, nje alikaa afisa wa ulinzi smart, palifungwa camera za USALAMA, ofisi ilinakshiwa kisasa zaidi. Ndani palikuwa na wazungu kadhaa na wafanyakazi waliovalia mavazi nadhifu.

Nikavutiwa kuingia ndani ya ofisi hiyo kujua nini kinaendelea humo, pia nilitaka kujua muuza electronics alihamia wapi,

Kuingia ndani ya ofisi hiyo, nikakuta watu wenye Rika mbalimbali watanashati, wengi walikuwa vijana na wanawake Wachache,

Mle ndani palikuwa na utulivu wa kutosha, AC Kila Kona, kila mtu alikuwa ameshika kalamu na karatasi na alionekana kumakinika na kusoma kilicho kwenye karatasi,

Nikawaza hiki ni nini watu Hawa wanafanya, niliwaza, yaezakuwa wanafanya labda mtihani hivi, niliwaheshimu sana, nilipoona hali Ile, nami nikalazimika kusogea pembeni alipokuwa askari yule wa USALAMA na kuuliza watu wale wanafanya nini, na ofisi Ile inajishughulisha na nini,

Mlinzi yule alinijibu kuwa pale ni ofisi za BETTING, watu wanachukua mikeka kutabiri timu za mpira wa miguu.

Sura yangu ilifura ghafula, nilitoka haraka ndani ya ofisi Ile nikijilaumu kupoteza muda wangu kuingia ofisi ya ulaghai Kwa nguvukazi yetu ya Taifa inayowateka vijana kuamini kuwa maisha yaezapatikana Kwa Bahati nasibu.

OMBI: Atokee kiongozi mmoja mkorofi aina ya Magu, afute Ujinga huu unaopoteza nguvu KAZI ya Taifa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Amen.
Huyo Magu mwenyewe aliombwa na Mashekhe fulani afute hizo mambo lakini hakuwasikiliza..

Serikali inapata billions of money hapo..
 
Huyo Magu mwenyewe aliombwa na Mashekhe fulani afute hizo mambo lakini hakuwasikiliza..

Serikali inapata billions of money hapo..
Serikali inapata pesa kidogo vat Kwa anayekula na kulipwa,

Lakini pesa inayopelekwa nje kama faida 82% Serikali wawaichungulii.

Pesa hiyo ingebaki nchini ndani katika mizunguko wa ndani,

Uchumi usingedoda!!
 
Mtu kama wewe, wa kukutoa kwenye betting sijui atumie ushasishi Gani uelewe!!
Ofisi ile Mkuu iheshimike na inatambulika na Wizara ya Fedha na Serikali inachukua Kodi. Tatizo liko wapi? Mimi huwa sipendi unafiki nasema kweli
 
Serikali inapata pesa kidogo vat Kwa anayekula na kulipwa,

Lakini pesa inayopelekwa nje kama faida 82% Serikali wawaichungulii.

Pesa hiyo ingebaki nchini ndani katika mizunguko wa ndani,

Uchumi usingedoda!!
Bilioni 140 kwa mwaka kutoka sekta fulani sio hela ndogo kwenye mapato ya nchi..
 
Back
Top Bottom