Son Of Almighty
Senior Member
- Jun 28, 2017
- 123
- 428
Habarini za usiku wana JamiiForums,
Aisee, katika vitu nimejifunza tena kwa ushuhuda katili kweli kweli, kamwe usimuamini kiumbe anayeitwa BINADAMU maana kubadilika/ kukubadilikia ni sekunde.
Katika maisha yangu nimesaidia watu wengi sana ikijumuisha ndugu, marafiki na watu baki ambao kwa huruma ya changamoto ambazo wanapitia nilishawishika kufanya hivo, sijawahi hata siku moja na sikuwasaidia kwa kutaka malipo yeyote bali nina roho ambayo nikiona mtu anapitia changamoto na nina uwezo wa kumsaidia basi nitafanya.
Imagine unampatia mtu permanent contract, ulipomtoa alikuwa na hatihati ya kufukuzwa, hivi sasa amekuwa adui mkubwa sana kwangu. Anakosoa kila unachofanya tena waziwazi, msimamo wangu tayari awali ulikuwa mwiba kwa wengine na wamefanikiwa kumwin sasa wameunda genge na wanapambana kweli kweli dhidi yako.
Now, imani kwa mabosi wako imepungua kwa sehemu kubwa sana, mengi yalokuwa ndani ya majukumu yako hivi sasa unaona wameingilia na wanafanya pasipo wewe kuwa na taarifa yeyote, mengi unakuja kutambua kwenye management meetings.
Binafsi si mtu wa kujikomba, kuabudu, kujipendekeza, au kuwa chawa ofisini as means ya kusurvive ofisini. To some extent naona as days go by wamewin trust from the management ambayo mostly hawako Tanzania.
Nina amini zaidi katika taaluma, ujuzi, uzoefu, na ndo njia pekoe ambayo imekuza career yangu kwa zaidi ya miaka 8 kufikia level niliyopo ambayo siwezi kudisclose.
Njaa ni kitu kibaya sana, na shibe hupumbaza watu. Watu wasiokuwa na shukrani kama hawa, hupelekea vijana wengine kukosa watu wa kuwashika mkono kwa kuogopa/ kuhofia mbeleni yataibuka kama haya.
Nimetafakari sana, mwisho nimeamua kukaa kimya, natambua itaniumiza ila muda sahihi utafika na ukweli wote utakuwa wazi.
Kwa ninayopitia, sidhani kama nitakuja kusaidia tena binadamu suala la kazi hasa ofisi moja. Nimejifunza pakubwa sana, na Mungu anipe hekima ya kudeal na yanayoendelea kwa sasa.
Aisee, katika vitu nimejifunza tena kwa ushuhuda katili kweli kweli, kamwe usimuamini kiumbe anayeitwa BINADAMU maana kubadilika/ kukubadilikia ni sekunde.
Katika maisha yangu nimesaidia watu wengi sana ikijumuisha ndugu, marafiki na watu baki ambao kwa huruma ya changamoto ambazo wanapitia nilishawishika kufanya hivo, sijawahi hata siku moja na sikuwasaidia kwa kutaka malipo yeyote bali nina roho ambayo nikiona mtu anapitia changamoto na nina uwezo wa kumsaidia basi nitafanya.
Imagine unampatia mtu permanent contract, ulipomtoa alikuwa na hatihati ya kufukuzwa, hivi sasa amekuwa adui mkubwa sana kwangu. Anakosoa kila unachofanya tena waziwazi, msimamo wangu tayari awali ulikuwa mwiba kwa wengine na wamefanikiwa kumwin sasa wameunda genge na wanapambana kweli kweli dhidi yako.
Now, imani kwa mabosi wako imepungua kwa sehemu kubwa sana, mengi yalokuwa ndani ya majukumu yako hivi sasa unaona wameingilia na wanafanya pasipo wewe kuwa na taarifa yeyote, mengi unakuja kutambua kwenye management meetings.
Binafsi si mtu wa kujikomba, kuabudu, kujipendekeza, au kuwa chawa ofisini as means ya kusurvive ofisini. To some extent naona as days go by wamewin trust from the management ambayo mostly hawako Tanzania.
Nina amini zaidi katika taaluma, ujuzi, uzoefu, na ndo njia pekoe ambayo imekuza career yangu kwa zaidi ya miaka 8 kufikia level niliyopo ambayo siwezi kudisclose.
Njaa ni kitu kibaya sana, na shibe hupumbaza watu. Watu wasiokuwa na shukrani kama hawa, hupelekea vijana wengine kukosa watu wa kuwashika mkono kwa kuogopa/ kuhofia mbeleni yataibuka kama haya.
Nimetafakari sana, mwisho nimeamua kukaa kimya, natambua itaniumiza ila muda sahihi utafika na ukweli wote utakuwa wazi.
Kwa ninayopitia, sidhani kama nitakuja kusaidia tena binadamu suala la kazi hasa ofisi moja. Nimejifunza pakubwa sana, na Mungu anipe hekima ya kudeal na yanayoendelea kwa sasa.