Siku Rais Samia akigundua wanawake ndio wanaompinga zaidi, atawapigia magoti wanaume

Huyo mama ni kipusa awezi kuona mbali
 
Si kweli bana acheni kumpinga Rais kisa jinsia yake na kusingizia eti tuna amini wanaume kimaamuzi si kweli.
Samia akosolewe kiuomgozi na sio kumshambulia mara dhaifu kisa jinsia yake.
Lakini yeye ndo ameweka kipaumbele hayo mambo ya kijinsia kuliko hata changamoto zinazoikabili nchi yetu kwa Sasa, Mimi nilivyowaelewa watanzania hawajali Rais awe mwanamke au mwanaume, watanzania wanataka Rais atatue kero zao za ajira, uchumi na huduma za jamii.

Kwa Sasa mama alitakiwa ajikite katika utendaji zaidi ili watu waone matokeo wawe na Imani nae, hayo maswala ya kijinsia awaachie wamaharakati na taasisi za kijamii zinazohusika. Yeye ni Rais wa jinsia zote hatakiwi kuchagua upande.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Hangaya anazingua sana
 
So far TL is the best Candidate ukiondoa magaidi wa ccm. Anashinda mchana kweupe.
 
Hata mama mwenyewe anaaminj hivyo hivyo. Yeye mwenyewe anajua kuwa waliomwezesha kuwa ni mgombea mwenza ni wanaume!!
 
Udibidhe wewe uliza wanawake wakioko jirani t'yaki utapata majibu mwenyewe
Ulihoji majirani wangapi? ukilinganisha na wanawake walio nchi nzima? Je sample size yako ni halali kweli? Tuache kutoa hoja zisizo na mashiko bado nasema ni sweeping statement. Tujihadhari na maelezo kama haya.
 
Sasa hivi,madaraka yanaamliwa na ukubwa wa K,yu wapi miss Natafuta aliyedai K yake ina uzito wa kilo kumi?
 
Kwani tume imekuwa huru? Katiba je,imebadilika?
 
Wanawake wa kwenye vikao na posho, naamini watampa kura, ila wengi wasiohudhuria vikao jaribu kuwasikiliza utaogopa, ila kwenye kushangilia wanawake wote kitu kimoja, ila kwenye box tofauti, hatende haki tu itasaidia!
 
Si kweli bana acheni kumpinga Rais kisa jinsia yake na kusingizia eti tuna amini wanaume kimaamuzi si kweli.
Samia akosolewe kiuomgozi na sio kumshambulia mara dhaifu kisa jinsia yake.
Sasa huyo mama anasahau yeye nirais muda wote anaongelew wanawake utazan yuko kwenye harakat zafeminism
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…