Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Nisaidie wameru nataka kujitosa huko please
Wanawake wa kimeru ni watafutaji sana,wanajuhudi kwakweli ila pia ni wakorofi, wababe sana.... Sura wanazo ila shape hakuna kitu, miguu fito
All the best
 
JAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.

KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.

MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .

MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA

WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
umewasahau wanyiha awa ni wastarabu sana..
 
waha umesahau kuwa ukimuoa muha nyumban kwako patageuzwa kiwa jalala, choo na damper yaani wachafu hao. Mtoto anaweza kojolea au kunyea bakuli lakini likapakuliwa mboga mida ya msosi. mi simo mae.
uko sahihi kabisa pia wavivu wa kupika,wanavinyongo mkikosana atakili yameisha ila moyoni hapana naniwaongeaji wazuri sana.
 
uko sahihi kabisa pia wavivu wa kupika,wanavinyongo mkikosana atakili yameisha ila moyoni hapana naniwaongeaji wazuri sana.
kwenye uongeaji sasa ndio balaa yaani urafikir mdomoni amemeza memory card.
 
Wagogo: wazuri wanawake ila kwa uvivu ndo wenyewe wanawake wanaume ni wavivu sana.
Ndo maana hawaishi kuomba ilmradi tu kuomba utasikia "naomba chochote"

Warangi: ni wazuri wa sura vitu vyeupeee utadhani waarabu ila sasa mhh mwakitombile, warangi ni kiboko.

Wasukuma: wazuri wa mwonekano, wakarimu sana ndo maana mara nyingine wanaonekana mafalah sio ufalah ni ukarimu uliopitiliza, usiombe kukuta baadhi ya wasukuma wamefanikiwa ndo zinakua type hizi tunazozijua hapa.

Wairaq/wa mbulu: wazuri sana sura na shape zao ila wakorofi hatari, pia nao sio wachoyo kama warangi, afu hawa kugongana ndugu kwa ndugu sio ajabu.
 
Huyo jamaaa yangu anaetaka kuoa mkinga ajipange kule mizimu yake ni hatari INA kula damu za watu tu asije akawatesa wanawe
 
MIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.

NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......

1.MNYIKA NI MPARE

2.HALIMA. MDEE NI MPARE

3.ZUNGU NI MZUNGU

4.MWITA WAITARA NI MKURYA

5.BONNA KALUWA NI MUHAYA

6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI

7.MEYA WA JIJI NI MKURYA

HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
Kwa sababu ni washabiki na wana mapenzi ya dhati kwa chama wakipendacho ila si upendo kwa wagombea kama unavyodhani.
Kuna baadhi ya vyama hata vikisimamisha swines wanashinda.
hebu fikiria hata wanapocheza simba na yanga mwanamke yu radhi kwenda kwa kiingilio chochote hata watoto wasipokula.
Kweli?
 
Makabila ya pwani: wengi wao wanawake wanajua kupika, kujipodoa yani mwanamke wa pwani mguu una vumbi ila uso reception ng'ari ng'ari poda wanja wa kutosha lipstick.
Wanaume wavivu wengi wao hakuna kujishughulisha ye akiamka ni kunywa kahawa na kucheza bao kamaliza kuolewa na mwanaume wa hivi ni hasara
Du kwa tabia hizi itakuwa familia zao zinalishwa na wageni wa dar wanao piga kazi kiume sasa makao makuu yakihamia dodoma hakika mtakula chumvi bahari.
Chapeni kazi acha kushinda baoni
 
Asante kwa hamasa hiyo, Wagogo wenzangu tuchukue hoja ya Evelyn Salt kama changamoto ya kuongeza bidii ya kazi.
Hakika Tanzania tunahitaji mioyo kama hii.
Mtu akiku touch kwa ukweli jirekebishe. May God bless you and be fruitful ili tupate mbegu kama yako
 
Aaaah wapi katika wakurya 10 mstaarabu mmoja tu tena nae labda wa mjini wakurya wakorofi
Survival for the fittest,

yes kwao ujasiri na huo unao uita ukorofi ni means of survival kwa sababu mazingira yao yalikuwa yanachangamoto za kiusalama.

Enzi hizo kama hukuwa na mume thabit familia yenu aidha ihame isalimike au iwe jasiri iishi.

Changamoto ya kwanza ilikuwa UVAMIZI NA UFILISI WA MIFUGO KUTOKA NJE AU NDANI YA MKOA.

kwa hiyo people fought to death because cattle were one of their means of survival.

Second they were constantly attacked wild animals directly or indiretly you want to know why? easy fuata nyuki

But nowadays changamoto hizi zinapungua na taratibu people change their ways and what you just say now just covers their part of history.

Thanks

Still loading...
 
usinikumbushe mkuu mwaka 2015 nilipanda kisbo kutoka dar kwenda tbr du lile basi kwa kweli limekaa ka daladala za vijijini, manake tulivyotoka msamvu wakatoa dubwana la pembe karibia na radiator so radiator ikawa inapulizwa na upepo wa nje, ila nashukuru tulifika tabora salama,
Kisbo ndo mpango mzima.
 
Back
Top Bottom