Tatigha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,957
- 2,012
Una umri gani?Duh!!!
Naona unawachambua kama karanga.
For me. Mama ni Muha na Father mnyamwezi.
Nataka kuoa mwakani sasa nichagulie kabila la kuoa kwa uweledi wako wa kuyafahamu makabila na sifa zake.
Note. Sina mahusiano yeyote na mwanamkee ambae tamuoa, so ndo nataka nitafute mwanamke.