Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

kaaacha vyooote, kaingia kwa box! hizo sifa za nyumba watabakia wengine kujambia tu na kuruka ruka kuchafua tu!!
ninataka kusema nini!! utafuteni kwanza ufalme wa Mungu!! Ili hata ukirudi mavumbini basi siku ile asubuhi njema ukutane Yesu! vinginevyo ni ubatili mtupu chini ya Jua! aliandika mhubiri
 
Mengi alikuwa na mengi

Hilo lijumba ndio linaitwaje wajameni?
~ni mansion
~ni kasri
~ni bungalow
~ni apartment? Au mgongo Tembo
~ni quarter's? au msumbiji
~au ni ikulu
~au ngome?

mweeeh..!?
tena bulletproof
tena bombproof

*tupe na sifa za sanduku (jeneza) lake.!?
 
Hii palace ya machame imeonekana na kufahamika kiasi hiki baada ya mzee kufariki, palace za Diamond atazionyesha mwenyewe najua unamjua alivyo.

Unaweza kuhisi natania ila hii comment iweke kama kumbukumbu haitochukua muda mrefu utaiona palace mojawapo utai_review hii comment
Mkuu, hii nyumba moja inazidi utajiri wote wa Diamond.
 
Back
Top Bottom