Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Miaka ijayo wale jamaa wa kuweka X wakiweka wataweza kulipa kweli?

Hiyo nyumba alikuwa anaishi nani?

Ila mjini kuzuri kama Mengi mwenyewe alikimbia kijijini huko..

Mansion kama hiyo sio ya kuishi watu wawili haipendezi inaogopesha aiseee
Unakuta watoto wapo shule,wewe safari mke kabaki nyumbani na house boy na walinzi wht next.....
 
14. Hata uwe na nini vyote tutaviacha duniani..Vanity upon Vanity...
 
Back
Top Bottom