October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,632
- 5,023
Sasa uhai unatafutwa??Hela au uhai?
Sasa uhai unatafutwa??Hela au uhai?
Nyumba kama hizo sasa kasheshe kwenye kumaintain
Hapo ndio utajua siri iliyofichika kwa mwanadamuHongera kwa sifa zote..
Kwa fani ya Uajenzi na Mwenye nyumba!!
Kwa bahati mbaya walisahau kujikinga na ulinzi wa kumzuia....MalakaAlmaut!!
Mungu amlaze pema na atulindi tuliyejuu ya mgongo wa Ardhi..Ameen
Kwasababu nimesema Mimi.. Ila angesema mchungaji wala msingeuliza manengelohater!??
wanasumbua watu tu kumbe hamna kitu utajiri wa madilimadili
waterproof🤔Hiyo namba 3, ni bulletproof au glass proof.....?
BulletproofHiyo namba 3, ni bulletproof au glass proof.....?
Ni kweli, kakuacha ww uko hai lakini kwenye single room ya kupanga.
Lakini amelala tayari hatoamka tena.
[emoji16]Huku sisi kwani tunaishi basi? Sisi huku tunajikinga na mvua tu
Uhai si ndo huo unao...hela je unayoooHela au uhai?
Hata tonny Blair alikua anaenda DubaiSasa Mengi walienda Dubai kupumzika kwa ajili gani, anveenda Machame burudani Hakuna kelele haya bwana RIP